Dah mwamba umenichekesha mnoMkuu unaitwa kule PM na Carleen nishawawekea na viti na glass za maji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mwamba umenichekesha mnoMkuu unaitwa kule PM na Carleen nishawawekea na viti na glass za maji.
Ooh hapana gari tutatafuta wote tu [emoji3] tatizo haka kababe kelphin kepph kaliahidi kenyewe katanipa gari eti ana uwezo ye ni tajiri mwaka wa 5 huu kimya[emoji849]
yes, humuhumu id tatu, mbili, moja inaanzia na S ya pili ni C ya tatu nabaki nayo.Habari za wakati huu wakuu!!
Wakuu hadi naandika hapa binafsi huwa natokewa na hali hii for instance, kupitia mitandao ya kijamii mfano, hapa jf kupitia mada au comment za mtu unaweza jikuta unampenda mtu usiemfahamu.
Mara kadhaa hali hii huwatokea watu na ushahidi anao kila aliewahi kutokewa na hali hii. Note: sio lazima umpende kimapenzi japo inatokea kuna wengine anapenda tu japo aone comments zako au kila anapoingia online lazima apitie profile kwako au timeline yako.
Mbaya zaidi sasa, watu wanaogopana sana humu ndani kiasi kwamba hata ukivutiwa nae au amevutiwa na wewe unapata/anapata shida anaanzanje/unaanzaje kumuaminisha kuwa wewe ni mtu mwema kwake na huna nia ovu.
Mkijitahidi sana mtachat PM akiona niaje niaje anakupiga block kimasihara. Offcoz nafahamu wapo wengi wenye mgongano wa aina hii ya kuvutiwa na baadhi ya watu hususani humu ndani watatoa ushuhuda hapa.
Ninae mpenda akisoma hii thread atajijuwa.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Alteza yale makelele yake sitaki mimi, afu wanaoendesha Alteza ni kama kuna kitu wanatumia kama mibangi hivi ,mbona wana vurugu sana😀😀Lakin nlinunua alteza ukasema huitaki nyeeee[emoji23][emoji23]
😂 😂 😂Nishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
😘😘😘😘....@Chakorii [emoji2960]
Kabisa aisehNi kawaida sana hiyo. Nadhani kuna wataokataa ku admit lakini humu kila mtu kuna ID au IDs anazipenda (yani anampemda huyo mtu) kutokana na jinsi alivyo hapa jukwaani. (Michango yake hapa jukwaani).
Hapana siwezi kumtaja hapa..haitokuja kutokea😄😄Mtag ajijuwe kabisa.
Maumivu yalishaishaga muda sana.ilikuwa haipiti sijamchungulia aise😄😄Pole basi endelea kuugulia maumivu.
Bila picha huo ni uzushi mzee baba....We
Mhh kasura kangu hakachukizi Sana ,sijui naweza pewa upendeleo?
Hahahaha mkuu huu uzi unatamanisha nishushu mkasa wangu but nitarudi badee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]