kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Duuuh mkuu pole na mimi najipa.pole pole yetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu ka mtu kenyew hakana hata time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh mkuu pole na mimi najipa.pole pole yetu.
Babe safari hii nisipokuacha sijui, ahadi ya IST new model hutaki kunipa hadi sasa so sielewii [emoji3]
Ujasiri wa kumwambia nashindwaUsifiche maradhi mamaa mwambie halafu ukifiche hahahaha
😂😂😂🤕🤕 hayo mambo watu wanakuwaga kama matahira tu
Wacha weeehInatokea sana, mimi nakaribia hadi kufa maana kuna mdada nampenda sana halafu ni zaidi ya mwezi sasa hajaingia Jamii Forum, nahisi mwili umezimia kabisa, sijawahi kumuona wala kuwasiliana nae ila the love i have for her is too much
Baada ya kugundua hajaingia humu muda mrefu nilijisemea ngoja nisepe JF mazima na sitarudi tena, leo nimeamka amenijaa kichwani nikashindwa kuvumilia mtu mzima nikazama PM, bahati mbaya PM imefungwa na last seen yake ni mwezi uliopita[emoji24][emoji24][emoji24]
Niwe mkweli naipenda Ile I'd ya yule member mpaka najishangaa natamani nimwambie nakufa na tai shingoniii uwiiii uwiii
Niliongeaga na mtu kwa simu ile sauti khaaaa nikahisi yani mtu mtu kweli, mwili mwili, fua fua baba....nlichokuja kukiona daaah ile sura hapana asee
Ndio hivo mkuuWacha weeeh
Vi kabagadu ndiyo vinini tena babe?😛Mama ka gari kenyew ghalama yaani kifupi napambana kukapata
Ila ungesema kabagadu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ningeshakupa viwili[emoji23][emoji23][emoji23]
Ooh hapana gari tutatafuta wote tu 😀 tatizo haka kababe kelphin kepph kaliahidi kenyewe katanipa gari eti ana uwezo ye ni tajiri mwaka wa 5 huu kimya🙄Kumbe tusiokuwa na uwezo wa gari tutamwagwa asubuhi tu hahahaha
Carleen ingekuwa ngumu kuja direct tena kwa mtu ambae hanifahamu kama wewe. Niliendelea kufurahi kila mara nilipoona postszako humu JF, hata kuna kipindi uliwahi kupost kitanda kinauzwa kama sikosei ni 250k, sio siri nilitamani niwe mteja wako wa kwanza kabisa.Good Lord..!!
Fohadi thank you so much, Amen, Amen..!! kwanini sasa huniambii jamani..??