Maisha ya mitandaoni ni ya kiboya ujueπKwanza nini maana ya chakorii? Life is easy kwa baadhi ya mambo alafu usiniitie Chakorii wangu Lichakorii [emoji16]
Yule niliemtag kwenye huu huu uzi au kuna sehem nyingne ?
Nilishamfanyia mtu enzi hizoπππ siku ya kuonana niliwahi nikakaa sehemu nilivyoona ni kakitu ka ajabu hakaeleweki πππ nkaondoka zangu kimyakimyaMkija kuonana ndo utaona umuhimu wake... Wengine wanapanga kuonana lakini mtu anajibanza sehemu aone kama yaliyomo yamo ndo atie timu
Roho mbaya haijengi π€©π€©π€© wote pua zetu zimeangalia chini hata kama sijapendeza ungenipa hala tu kwanzaNilishamfanyia mtu enzi hizoπππ siku ya kuonana niliwahi nikakaa sehemu nilivyoona ni kakitu ka ajabu hakaeleweki πππ nkaondoka zangu kimyakimya
Hata kama...ndo univalie jezi nyekundu suruali ya kitambaa na raba ππππaii we kuwezaRoho mbaya haijengi π€©π€©π€© wote pua zetu zimeangalia chini hata kama sijapendeza ungenipa hala tu kwanza
Sahizi nimeshajulia pamba utanipenda, fanya tuonane tenaHata kama...ndo univalie jezi nyekundu suruali ya kitambaa na raba ππππaii we kuweza
Wanasemaga mjaasili haachi asili kama sijakosea ππ sikuhizi unavaa yeez na suruali ya kitambaa auSahizi nimeshajulia pamba utanipenda, fanya tuonane tena
Sahizi navaa pensi nyanyapuza na shati la mikono mirefu! Na Convesi nyekundu! Yeez bei ghali sana af viatu gani kama boflo vile?Wanasemaga mjaasili haachi asili kama sijakosea ππ sikuhizi unavaa yeez na suruali ya kitambaa au
ID nyingi za kiume ni wanaume kweli, lakini zenye kuonesha mtumiaji ni wa kike miaka yote JF hizo ndio zimekuwa na utata...Hii ipo sana kuna mkaka humu JF nampendaga sijui hata kama ni mwanaume kweli[emoji27]
πππwauza simu wa makumbusho watakumaind ohoooo, ila rangi nyekundu unaipenda msukuma weweππ½ππ½Sahizi navaa pensi nyanyapuza na shati la mikono mirefu! Na Convesi nyekundu! Yeez bei ghali sana af viatu gani kama boflo vile?
Hahahaha wauza simu kumbe wanapenda ile mikate ya kanye West! π€©π€©π€©πππwauza simu wa makumbusho watakumaind ohoooo, ila rangi nyekundu unaipenda msukuma weweππ½ππ½
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliongeaga na mtu kwa simu ile sauti khaaaa nikahisi yani mtu mtu kweli, mwili mwili, fua fua baba....nlichokuja kukiona daaah ile sura hapana asee
ππRoho mbaya haijengi π€©π€©π€© wote pua zetu zimeangalia chini hata kama sijapendeza ungenipa hala tu kwanza
Ulifanya ukatili wa kiwango kikubwa mno kupata kutokea dunianiπHata kama...ndo univalie jezi nyekundu suruali ya kitambaa na raba ππππaii we kuweza
[emoji23][emoji23]Hata kama...ndo univalie jezi nyekundu suruali ya kitambaa na raba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aii we kuweza
πππSahizi nimeshajulia pamba utanipenda, fanya tuonane tena
Kama vp na sisi tukutane mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thank you so much mkuu, nakukubali pia π₯°π₯°
Hata wewe uko kwenye list yanguππKazi kwenu myajenge sasa. Kutaneni haraka sana ili mjuane sura zenu.
Hata wewe uko kwenye list yanguππ