Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Kwanza nini maana ya chakorii? Life is easy kwa baadhi ya mambo alafu usiniitie Chakorii wangu Lichakorii [emoji16]

Yule niliemtag kwenye huu huu uzi au kuna sehem nyingne ?
Maisha ya mitandaoni ni ya kiboya ujueπŸ˜ƒ

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ehee bhana yule uliyemtag kwenye huu uzi.we nae mbona unasahau mapema hivyo
 
Mkija kuonana ndo utaona umuhimu wake... Wengine wanapanga kuonana lakini mtu anajibanza sehemu aone kama yaliyomo yamo ndo atie timu
Nilishamfanyia mtu enzi hizoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ siku ya kuonana niliwahi nikakaa sehemu nilivyoona ni kakitu ka ajabu hakaeleweki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nkaondoka zangu kimyakimya
 
Nilishamfanyia mtu enzi hizoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ siku ya kuonana niliwahi nikakaa sehemu nilivyoona ni kakitu ka ajabu hakaeleweki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nkaondoka zangu kimyakimya
Roho mbaya haijengi 🀩🀩🀩 wote pua zetu zimeangalia chini hata kama sijapendeza ungenipa hala tu kwanza
 
Hii ipo sana kuna mkaka humu JF nampendaga sijui hata kama ni mwanaume kweli[emoji27]
ID nyingi za kiume ni wanaume kweli, lakini zenye kuonesha mtumiaji ni wa kike miaka yote JF hizo ndio zimekuwa na utata...
 
Sahizi navaa pensi nyanyapuza na shati la mikono mirefu! Na Convesi nyekundu! Yeez bei ghali sana af viatu gani kama boflo vile?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wauza simu wa makumbusho watakumaind ohoooo, ila rangi nyekundu unaipenda msukuma weweπŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wauza simu wa makumbusho watakumaind ohoooo, ila rangi nyekundu unaipenda msukuma weweπŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½
Hahahaha wauza simu kumbe wanapenda ile mikate ya kanye West! 🀩🀩🀩

Mie si simba damu mama la mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…