ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Weeeee niache kabisa, simtaji ng'o.Aaah usikae kimya bana brod darling
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeeee niache kabisa, simtaji ng'o.Aaah usikae kimya bana brod darling
Mtaje bhanaa usinifanyie hivyo Eli79😂😂😂😂Niache Chakorii!
umeonesha msimamo mzito mnooo Eli79Weeeee niache kabisa, simtaji ng'o.
Hata ukinitaja najua sio mimi coz ulishaapa katu hutamtaja.😁😁Mtaje bhanaa usinifanyie hivyo Eli79
😄😄😄
Ngoja nikutaje mimi basi
Ati upumbavu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu ni upumbavu mwingine wa binadamu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikiona like yake tu, dadeq....
The thing is,..... ngoja nikae kimya!
Mbona una kosa imani na mimi Eli79 jamani...😄😄nimeona bora nikutaje tu au unaonaje!!Hata ukinitaja najua sio mimi coz ulishaapa katu hutamtaja.😁😁
Huyu mtu bwana, huenda hata anajijua tu! Nizidi kukaa kimya, aliimba nani yule..."jifunze kunyamaza"😂😂
Wewe unaonaje Anne, sio upumbavu wa binadamu kweli?Ati upumbavu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂 Noma sana!!!Mbona una kosa imani na mimi Eli79 jamani...😄😄nimeona bora nikutaje tu au unaonaje!!
Au ni mimi ila umenisahau tu Eli 🤪🤪🤪
Na kuna ule wimbo unaitwa “Yote Mema”aliimba nani yule vile....
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unaonaje Anne, sio upumbavu wa binadamu kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Noma sana!!!
Mnanichekesha nyie watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona una kosa imani na mimi Eli79 jamani...[emoji1][emoji1]nimeona bora nikutaje tu au unaonaje!!
Au ni mimi ila umenisahau tu Eli [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Na kuna ule wimbo unaitwa “Yote Mema”aliimba nani yule vile....
Kama kushindwa kutaja ni upumbavu, basi na iwe hivyo😂😂😂.[emoji23][emoji23][emoji23]
Si upumbavu ila utakuwa upumbavu pale utakaposhindwa kutaja[emoji23][emoji23][emoji23]
Watoto wa kike tumejitoa kimasomaso kutaja halafu wanaume mnashindwa jamani!
Mnaliangusha taifa.
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kushindwa kutaja ni upumbavu, basi na iwe hivyo[emoji23][emoji23][emoji23].
Japo anapita sana kwenye hizi nyuzi kwa namna yake, hivi hajapita kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Noma kweli!😂😂😂😂😂 Noma sana!!!
Hivi mnawezaje kufa na tai shingoni?
Tukiwezeshwa tunaweza..tumeshawezeshwaHivi mnawezaje kufa na tai shingoni?
Ngoja nimshike mkono nimlete hapa😎😎Kama kushindwa kutaja ni upumbavu, basi na iwe hivyo😂😂😂.
Japo anapita sana kwenye hizi nyuzi kwa namna yake, hivi hajapita kweli 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukiwezeshwa tunaweza..tumeshawezeshwa