Mungu Akulinde Kipenzi
Senior Member
- Jan 7, 2017
- 180
- 644
Nikiwekaga picha mods wanamind, mcheki anaitwa LethiePichaa??
Usisahau kunywa dawaWakuu,
Kuna binti mmoja wa TikTok, ni mzuri sana.
Yani nikikutana na video au picture yake hisia zinanipanda hadi utosini.
Ni yule binti ambaye mwili wake ni kama nywila ya kufuli zangu za hisia
Imebidi hadi ni uninstall TikTok kwa ajili yake
ebu weka hawamindNikiwekaga picha mods wanamind, mcheki anaitwa Lethie
uzi bila picha haujakamilika, Tungekusaidia mdogo wetu usije ukawehukaπWakuu,
Kuna binti mmoja wa TikTok, ni mzuri sana.
Yani nikikutana na video au picture yake hisia zinanipanda hadi utosini.
Ni yule binti ambaye mwili wake ni kama nywila ya kufuli zangu za hisia
Imebidi hadi ni uninstall TikTok kwa ajili yake
TikTok ni ya mademu. Wewe umefuata nin huko? ndiyo tatizo limeanzia hapoWakuu,
Kuna binti mmoja wa TikTok, ni mzuri sana.
Yani nikikutana na video au picture yake hisia zinanipanda hadi utosini.
Ni yule binti ambaye mwili wake ni kama nywila ya kufuli zangu za hisia
Imebidi hadi ni uninstall TikTok kwa ajili yake
π₯π₯π₯π₯π₯π₯View attachment 2686235
View attachment 2686236
NI HATARIπππ
Huu ndo ulimwengu wa social media, hakuna namna.
Hii ina tumia nguvu nyingiView attachment 2686235
View attachment 2686236
NI HATARI[emoji119][emoji119][emoji119]
Huu ndo ulimwengu wa social media, hakuna namna.
Ni mstaafuUtakuwa na matatizo ya macho sio bure