Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlikulana kwa bluetooth nini.
Na wewe nae huwa unakosha moyo wangu ,ngoja niseme maradhi yasije niumbua.
Pole MKUU. Naona kama huna hamu kabisa hahahahaHizi ID zinaficha mengi sana......get prepared for "disappointments"!
Unaweza kuona ID kama ya kike na profile ya kuvutia... kumbe ni njemba! Wengine ni wadada na sauti nzuri hasa, kutana nae sasa....!
Wengine wakongwe humu, tumeshapitia mengi!
Mimi piaNishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
Daaah hatari sana why usimfatilie mkuu au hukumpenda?dah umenkumbusha mbali sana mie nshawahi tongozwa na manz na nikatokea kumpenda vibaya mno mtanga yule kila baada ya nusu saa ananipigia video call,
alinisapoti sana shuleni hasini hasini zilikuwa hazinipigagi chenga ila mwisho wa siku tukaachana bila hata kuonana sura face to face so hyo ipo mzee
Momy usijal days are numbered, hujapona tu bado nikuague !!
Na akatuma na ya kutolea [emoji3][emoji3]Nishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
Hizi ID zinaficha mengi sana......get prepared for "disappointments"!
Unaweza kuona ID kama ya kike na profile ya kuvutia... kumbe ni njemba! Wengine ni wadada na sauti nzuri hasa, kutana nae sasa....!
Wengine wakongwe humu, tumeshapitia mengi!