Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu, waarabu na wengineo walituweza hapo....Ahaaa oky naona umejaliwa hekima, sema kiukweli huwa napingana na kauli na.maandiko ya kiimani.(dini) kwamba sote ni mfano wa Muumba. Sasa swali Yeye ana sura ngapi ?
Au tumetafasiri juu juu???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jinga wewe nimecheka sanaUmechukua jimbo lililoachwa wazi?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Asante sana....nitapata wa kufanana nae siku mojaPole sana gerald
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante sana....nitapata wa kufanana nae siku moja
inauma sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mr kausha[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
View attachment 1762020
Ahaaa oky naona umejaliwa hekima, sema kiukweli huwa napingana na kauli na.maandiko ya kiimani.(dini) kwamba sote ni mfano wa Muumba. Sasa swali Yeye ana sura ngapi ?
Au tumetafasiri juu juu???
Alaaah!Hahhaha mbona hiyo sijabembeleza
Nikiona yaliyokutokea kama hayo nitakupa pole
Hahahahhaha tengeneza basi nikupe pole na weweAlaaah!
Ngoja nitengeneze mazingira basi ya kupewa pole
Maana nilipoisoma hiyo pole akili yangu ikaenda kwa ule wimbo wa Prof Jay alipokuwa akipewa pole na Nargis
Ahsante mtumishi ,unajuwa hawa wazungu bhana. Halafu pia hawa walimu wetu wa dini nao waendege shule ili wasipotoshe.Mtu ni roho na sio mwili...naye Mungu ni roho pia, hivyo tuliumbwa kwa mfano wa Roho yake...
Ulimwengu huu ni mkusanyiko wa maroho mengi tu, sasa mtu yeye aliumbwa kwa mfano wa hiyo Roho moja yenye utimilifu/ukamilifu
Pole mkuu ungekaa nae muda ungemzoea na kumpenda, unadhani aliko hapendwi ??Nishawahi kumpenda mtu sijawahi kumwona. Tumewasiliana kwa simu na mpaka nyimbo kuimbiana.
Siku nakuja kumuona aiseee........... na mahusiano yakaishia pale pale.
I got Total disappointment kwa picha niliyokuwa nayo jinsi alivyo kichwani kwangu na reality... vimepishana kama ardhi na mbingu!
what fun brother [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maombi yako yawekubaliwa nipange sasa location[emoji4]Twende nikutoe out weekend miss.
Mimi nipo Nadosoito, wewe je?Maombi yako yawekubaliwa nipange sasa location[emoji4]