Ulishawahi kumsaidia mtu kupata kazi lakini malipo yake yakawa kukuumiza?

Ulishawahi kumsaidia mtu kupata kazi lakini malipo yake yakawa kukuumiza?

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Habari ya asubuhi.

Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu💔.

Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹.

Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.

Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba, ”Tafadhali usiniletee shida kazini, ninaamini hustahili kunilipa chochote.” Ukikaa mbali na mimi nitashukuru.

Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi, now things are getting worse 🥹. Nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.

Nina imani utausoma huu uzi.

Thank you.✌️🥂
 
Habari ya asubuhi.

Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu💔💔

Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹🥹.

Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.

Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba…”tafadhali usiniletee shida kazini ninaamini hustahili kunilipa chochote” ukikaa mbali na mimi nitashukuru.

Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi now things are getting worse 🥹🥹nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.

Nina imani utausoma huu uzi.

Thank you.✌️🥂

Ukiona mahali kuna uadui, ujue wema ulitangulia!! Pole sana.

Huyo hapana kucheka nae mfuate mbele ya mumewe mkamalizane nae mbele ya familia yake!!

Once ukiona au ukisikia mtu hasaidii ndugu msianze kutupa lawama wengine tayari wana hii bad experience unayoipata leo!!
 
Habari ya asubuhi.

Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu💔💔

Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹🥹.

Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.

Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba…”tafadhali usiniletee shida kazini ninaamini hustahili kunilipa chochote” ukikaa mbali na mimi nitashukuru.

Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi now things are getting worse 🥹🥹nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.

Nina imani utausoma huu uzi.

Thank you.✌️🥂
Niunganishe namimi nipate kazi
hopefully sitokuanguasha boss😀
 
Kamwe usijiwekee kurudishiwa wema ule umefanya kwa mtu, tenda wema nenda zako waswahili hawakukosea, pole dada naelewa hali unayopitia. Kaa nae mbali huyo mtu, acha mazoea nae yani mkimbie kabisa… fanya kazi zako vizuri wacha kumuwaza, fanya ibada ikiwezekana utoe na sadaka ya shukrani kabisa… msamehe yani mtangazie msamaha hata kama hajakuomba halafu achia universe iende inavyoenda. Usiumie tena, ni afadhali ya adui unaemjua itakusaidia uishi vipi, jipe moyo mkuu ni jaribu lako utashinda. Mungu akutie nguvu❤️
 
Habari ya asubuhi.

Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu💔.

Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹.

Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.

Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba, ”Tafadhali usiniletee shida kazini, ninaamini hustahili kunilipa chochote.” Ukikaa mbali na mimi nitashukuru.

Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi, now things are getting worse 🥹. Nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.

Nina imani utausoma huu uzi.

Thank you.✌️🥂
Kakufabga nini tena embu elezea kidogo tukio lipoje na tujue tunasolve vip
 
Back
Top Bottom