Ulishawahi kumsaidia mtu kupata kazi lakini malipo yake yakawa kukuumiza?

Ulishawahi kumsaidia mtu kupata kazi lakini malipo yake yakawa kukuumiza?

I have bad experience japo sikuwa nimejariwa .Nilikuwa najishkiza kwenye kibanda cha mpesa kipindi nipo likzo fulani ya chuo mwaka jana. Yule niliyeomba aletwe tusaidiane naye alichonifanyia hakika simpingi mtu anayemnyima mtu mchongo. Nilitamani nilipize kisasi ila nikikumbuka mkono wa dola ni mrefu nikawa najifariji na msemo wa life is full of misfortunes ,forgive and forget
 
I have bad experience japo sikuwa nimejariwa .Nilikuwa najishkiza kwenye kibanda cha mpesa kipindi nipo likzo fulani ya chuo mwaka jana. Yule niliyeomba aletwe tusaidiane naye alichonifanyia hakika simpingi mtu anayemnyima mtu mchongo. Nilitamani nilipize kisasi ila nikikumbuka mkono wa dola ni mrefu nikawa najifariji na msemo wa life is full of misfortunes ,forgive and forget
Ilikuwaje kwako?
 
Ili usiumie siku nyingine ukiamua kumsaidia mtu saidia kwa kuwa upo au ulikuwa katika nafasi ya kumsaidia na usitegemee postive yoyote kwake, hapo hautaumia na utaishi kwa amani tatzo wengi mnasaidia kama investment, ndio maana mnaishia pabaya na watu wenu
 
Habari ya asubuhi.

Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu[emoji174].

Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹.

Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.

Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba, ”Tafadhali usiniletee shida kazini, ninaamini hustahili kunilipa chochote.” Ukikaa mbali na mimi nitashukuru.

Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi, now things are getting worse 🥹. Nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.

Nina imani utausoma huu uzi.

Thank you.[emoji3577][emoji1635]
Ulitaka akupe Mshahara wake wa Mwezi mmoja?
 
Unapomsaidia mtu jambo basi kazi yako inaishia hapo,hakuna haja ya kuanza kumfuatilia tena mpaka uone kua eti anajikuta matawi ya juu,au siku hizi anaringa,

Hapa tatizo lako ni kua,unamsaidia mtu kisha unasubiri reaction yake kwako kwa msaada uliompa,ndio hapo inakuja issue kua,jamaa anaringa,siku hizi hanisalimii,kumsaidia mtu haimaanishi kua awe mtumwa kwako ili kulipa fadhila,

Kila mtu amewahi kusaidiwa kwa njia moja au nyingine katika safari yake ya maisha,kulipwa wema wako sio jambo la lazima,uliyemsaidia nae anatakiwa amsaidie mwingine mwenye shida,kulipa wema kwako ni sawa na kukulipa malipo kwa wema wako kwake.

Ilikuwaje kwako?
Kale kabinti kalikuwa kanachepusha hela kwa kuhonga wanaume asee af msala ukanigeukia mimi. Maana kila tukifunga hesabu naona kuna shoti za kutosha daily .Yeye kumbe alikuwa na mipango yake anatuma miamala kwa mabwana zake halafu hata ukimwelewesha baadhi ya vitu akawa hataki kwa kujifanya much know. Siku moja katuma muamala kwa mteja kupitia nmb . Sasa network ikawa inazingua kwenye vile vimashine haikuleta response yoyote . Kwamba muamala failed au successed yeye akaamua kumrudishia mteja zile milion 5 plus zote akasepa akiamini hela haijaenda na ni kitu anajua nishamweleza. Baada ya kuja kukagua miamala mikubwa ilofanyika halafu nikilinganisha na keshi ni vitu viwil tofauti. Nikaona nishapigwa. Ikabidi niwapandie nmb customer hewani. Baada ya kujieleza wakasema muamala ule ulikuwa successed ikabidi niwaombe wauzuie. Kufupisha ni kwamba ile hela kuja kurudi ilinigharimu sana kwa upande wangu na ilichukua mwezi . hiyo haitoshi siku moja nikamwambia mteja anayetaka umeme wa kuanzia milioni moja usinunue. sa sikumoja kaja mama staff wa wizara fulani ambayo ipo hapo dom akitaka umeme wa luku wa 3.9m wa ofisi. yeye kwakuwa anapenda masifa si akanunua. tena hili la umeme nilishawahi leta thread humu. token hazikutoka na hela ikakatwa. kupiga tena simu benki customer kuelezea scenario wakasema tatizo haliko kwao lipo kwa upande wa tanesco. ikabidi nianze mchakato wa kufuatilia na kuandikishwa mabarua n.K. Nachoshukuru hela ilirudi pasipo kuletewa token. Mambo yakawa mengi maana mwenye mpesa aliniangushia msala .Na hako kademu wala kakawa hakawazi. Kabisa. Hilo moja kati ya 100. Mambo yalikuwa ni mengi sana. Nikaja kuhitimisha kwamba. 1. Mwenye mpesa alikuwa anakabandua kale kamform five dropout.2. Mabwana alokuwa anawahonga walikuwa wanamtumia tu . Maana kuna laki 5 mpaka leo hii alimpa muhuni wake haijawahi rudi. 3.Kutokana na ka exposure kadogo ka uelewa wa mambo mengi nilokuwa nao, ikatokea kukubalika na watu wengi nikajengewa chuki kubwa sana kiasi kwamba imenifanya niwe na roho ya kisasi sana.Ila nikaona ya nini kufa kisa hela za watu ikabidi niyaage mashindano.
 
Msaada ni huu, yupo humu naasome nenda kwa mchungaji kaombewe ili akutokee katika maisha yako, jingine mpenzi maisha sio yakuyachezea kuwa makini sana nawatu wanaokuzunguka . Au ukiwa ni unaona bora kule basi nenda huko akusahau
 
Habari ya asubuhi.

Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu💔.

Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹.

Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.

Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba, ”Tafadhali usiniletee shida kazini, ninaamini hustahili kunilipa chochote.” Ukikaa mbali na mimi nitashukuru.

Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi, now things are getting worse 🥹. Nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.

Nina imani utausoma huu uzi.

Thank you.✌️🥂
1691920291577.png
 
Back
Top Bottom