Wema ukigeuka machungu basi sio wema tena.Tenda wema nenda zako
Binadamu anamauziMfadhili mbuzi.
Huyu mdada atakua yupo serious hivi maana very rare kumuona akianzisha thread labda kweli kuna mahali kaguswaKinamtisha usiku 😂
Kuna jamaa ni mwana JF mwenzetu ila ID siijui yake na yeye naamini hajui yangu. Kulikuwa na nafasi ofisini kwake. Kuna jamaa fulani mpe jina X, alikuwa katika msoto baada ya kupunguzwa kazi. Kwa vile hao jamaa wanatoka sehemu moja, jamaa wa JF akaona amchukue ili afanye kazi katika shirika lao.Habari ya asubuhi.
Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu💔.
Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹.
Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.
Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba, ”Tafadhali usiniletee shida kazini, ninaamini hustahili kunilipa chochote.” Ukikaa mbali na mimi nitashukuru.
Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi, now things are getting worse 🥹. Nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.
Nina imani utausoma huu uzi.
Thank you.✌️🥂
Ahahaha kweli kuna bidamu humu unaweza ona watu kumbe kwato za mbuzi😂😂😂🙌
Pole sana uncle.. Kuna watu ni wanyama kwenye sura ya binadamu, na hawa ndio mabingwa wa kuwaumiza watu wema kama wewe ankoHabari ya asubuhi.
Leo nina maumivu mno🥹. Moyo wangu unawaka moto wa tanuru na nahisi katika hali ya kibinadamu ninakosa uvumilivu[emoji174].
Nilimpa mtu connection ya kazi lakini amegeuka mwiba kwangu🥹. Yes, ninajijua ni mwanamke jasiri sana katika kuvumilia changamoto lakini katika hili ninahisi moyo umeshindwa kuhimili. Umepondeka vibaya mno🥹.
Uwepo wako kazini umetokea kwangu na ninamshukuru Mungu sana kupitia hii kazi your parent, siblings, kids na mumeo wanapata mkate wa kila siku. Wakikushukuru na mimi ninapata Baraka pia.
Kuna siku nilikuona ukisoma nyuzi za JF so najua upo humu ndani. Sijawahi kukuomba chochote kama malipo ya kazi lakini leo ninakuomba, ”Tafadhali usiniletee shida kazini, ninaamini hustahili kunilipa chochote.” Ukikaa mbali na mimi nitashukuru.
Najua wengi mtasema kwanini usimwambie? Yes, nimeshajaribu kuzungumza nae lakini si mwelewa; yawezekana hajui thamani ya kazi, now things are getting worse 🥹. Nimejaribu kukaa mbali nawe lakini bado unanifuata. Tafadhali maumivu si sehemu ya malipo ya wema wangu.
Nina imani utausoma huu uzi.
Thank you.[emoji3577][emoji1635]
Unapomsaidia mtu jambo basi kazi yako inaishia hapo,hakuna haja ya kuanza kumfuatilia tena mpaka uone kua eti anajikuta matawi ya juu,au siku hizi anaringa,Wengi nimewapa michongo baadae wanajikuta matawi ya juu, ila hua sijali kikubwa wanapata rizki na kusaidia familia zao.
Hongera Sister...Wengi tu nimewapa michongo baadae wanajikuta matawi ya juu, ila hua sijali kikubwa wanapata rizki na kusaidia familia zao.
Natamani ningeandika zaidi
Sijakurupuka kusema "matawi ya juu" nilifupisha tu ila maana yangu ni zile dharau na kuanza kukupiga majungu, nina visa vingi sana ila sijawahi kuchoka kusaidia watu pale wanapohitaji msaada sababu naangalia familia zao hata mimi nasaidiwa tena sana tu.Unapomsaidia mtu jambo basi kazi yako inaishia hapo,hakuna haja ya kuanza kumfuatilia tena mpaka uone kua eti anajikuta matawi ya juu,au siku hizi anaringa,
Hapa tatizo lako ni kua,unamsaidia mtu kisha unasubiri reaction yake kwako kwa msaada uliompa,ndio hapo inakuja issue kua,jamaa anaringa,siku hizi hanisalimii,kumsaidia mtu haimaanishi kua awe mtumwa kwako ili kulipa fadhila,
Kila mtu amewahi kusaidiwa kwa njia moja au nyingine katika safari yake ya maisha,kulipwa wema wako sio jambo la lazima,uliyemsaidia nae anatakiwa amsaidie mwingine mwenye shida,kulipa wema kwako ni sawa na kukulipa malipo kwa wema wako kwake.
Yah kuna vijana wa hovyo sanaHuyu mdada atakua yupo serious hv maana very rare kumuona akianzisha thread labda kwel kuna mahali kaguswa
Ngoja akirudi akianza kureply tutaona mengiYah kuna vijana wa hovyo sana