Kama unayoyasema ni Kweli,mbona watoto wadogo hawaoni Hao malaikaKwa ufupi malaika ni wajumbe wa Mungu wa Biblia! Kuna malaika wasiokuwa na miili wanaokuja kwa mission maalum na malaika ambao ni Walokole (hapa naongelea walokole wa ukweli sio wale wanaojitafuta) kibiblia wanaitwa "malaika", katika kitabu cha Ufunuo "kwa malaika wa makanisa yale saba", hao malaika wanaotajwa ni "walokole"! Mungu wa Biblia anaweza kuwatumia walokole walioko hapa duniani kufanyakazi kama "malaika" wasiokuwa na miili!
Kwahiyo watoto wadogo walikaa wakakwambia tumeona malaika?Kama unayoyasema ni Kweli,mbona watoto wadogo hawaoni Hao malaika
Hahah eti sadaka ishatolewaTofauti ni kwamba hutoi hela wala sadaka ya ng'ombe, mbuzi au binadamu. Hupigwi chale wala huzunguki na kibuyu njia panda ya kike au kiume.
Sadaka yote ishatolewa na Yesu Kristo mara moja kwa vizazi vyote duniani, jukumu lako ni kumtafuta kwa bidii.
Kwan watoto Wana dhambi?Kwahiyo watoto wadogo walikaa wakakwambia tumeona malaika?
Okoka! Hata hivyo kuokoka sio kigezo saana cha kuwaona malaika! kwasababu walokole wanaishi kwa imani! Mungu wa Biblia anapenda watu wanaoishi kwa imani sawasawa na maandiko na Biblia! Hila ikiwa umeokoka ukamwomba Mungu kuwa unataka kuwaona malaika watajifunua na utawaona ni wazuri muno na utajaa amani (tofauti na majini na mapepo ambayo ukitaka kuyaona au ukiingia kwenye anga zao utajaa hofu!). Ushindi wanaoupata walokole unatokana na malaika!Kwaiyo kwenye kuona unanishauri nini?
Wee jamaa! Ulienda Nairobi na mizigo yoote hiyo iliyokuwa kwenye mabegi kutafuta chuo? Chuo kinatafutwa kama unatafuta bidhaa dukani? Acha urongo wewe!Malaika ni wengi na hujitokeza katika maumbo ya wanadamu na kusema na watu mara nyingi bila watu hao kufahamu.
Utakutana na mtu usiyemjua akakuongoza katika jambo na baadaye akatoweka na utakuja kushangaa yule alikuwa nani mbona hata sikumuuliza jina au kumtizama sana usoni? Hao huwa malaika mara nyingine.
Kuna wachache hutokewa na malaika live inapokuwa lazima sana.
Pia wengine hukutana na malaika katika ndoto.
Jua pia kuwa mashetani huja kwa watu kwa njia hizo hizo.
Nikwenda Nairobi miaka mingi iliyopita kutafuta chuo. Nilifuatilia registration lakini sikupata. Wakati nipo jijini mle nilichujua hosteli kama kilometer 2 kutoka chuoni. Lakini ilinibidi kuhama hostel hizo baada ya kukosa usajili ili nikae nyumba ya wageni usiku ule kabla ya kurejea Tanzania.
Nilighadhbika sana mchana ule hadi kukaribia usiku. Nilisali sana kumwomba Mungu anisaidie niwe salama. Wakati natoka getini nilikuwa nimebeba shehena ya mabegi yangu kichwani narudi nyumba ya wageni na ilikuwa kuelekea saa 1 usiku.
Nairobi ya 2003 ilikuwa na uhalifu wa kutisha. Ghafla ilikuja tax nyuma yangu na mtu mmoja nisiyemfahamu alifungua mlango na kuniambia unafika wapi, nikupeleke? Unajua wakenya sio wakarimu kama watanzania tena ndani ya nairobi na tena kwa mtu asiyekujua ndio usiseme.
Bila kuwa na hofu nipanda tax na kumwambia nilikokuwa nakwenda. Mtu yule alinipeleka hadi hatelini na kuniacha pale huku akinipa namba ya simu na hakunichaji chochote! Kenya tena katikati ya Nairobi?!!! Alikuwa mkarimu ajabu!
Ajabu ni kwamba siku mark sura yake na hata ile namba ya simu sikujua niliiweka wapi!
Niliporudi Tanzania niliwaadithia ndugu zangu wanaojua Nairobi na walitetemeka sana kusikia nimepanda tax Nairobi ya mtu nisiyemjua!
Baadaye nilipata ufunuo kuwa hakuwa mtu wa kawaida ila malaika! Bwana Mungu asfiwe sana!
Yeah kupitia kifo cha Yesu kila kitu kilikwisha. Hiyo ndo sadaka bora kuliko zote ulimwenguni.Hahah eti sadaka ishatolewa
Ni kweli nilizuiwa kuingia paradiso kwakuwa sikuishi MAISHA matakatifu kipindi kile nilipoamua kuwa Atheist.Mmmh hii ni kweli
Cha nyongeza, mengine pia ni neema za Mungu wa Wakristo kuweza kuwaona.Mbona hivyo vitu havitokei kwangu na ulijuaje ni Yesu
Hongera natamani ningekuwa mimiKweli kabisa nikiwa form six pale. Yaani ile shule ndo nilipata spiritual encounters.
Yani angenitokea mimi Ningemuuliza mengi sanaHakuna siri kwenye ulimwengu wa roho. Kila kitu kipo wazi, hafanani na Yesu wa movie.
WhatttLabda mzimu [emoji28]msukule hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
Unapepo wa chafu au wewe ndo pepo mwenyeweNikisema malaika ain't real ni product ya imagination delusions na hallucinations caused by religious or cultural indoctrination nitaambiwa naharibu Uzi..🥺ngoja niache mtoe shuhuda
Nimeokoka sijabatizwa na nina wito fulani japo bado sijayanyoosha sana maisha yangu ila sidhani kama ni sababuMwamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako.
Kama hujabatizwa , kabatizwe.
Jazwa na Roho Mtakatifu.
Ishi maisha matakatifu, soma Maandiko matakatifu upate maarifa alafu tumia maarifa hayo pamoja na maneno yako kuomba kwenye sehemu ya siri, fanya consistently. Utaanza kuona. Ukifunga itakuwa vizuri zaidi.
IdiotHaya masharti Hayana tofauti na ya mganga wa kienyeji
Wewe ndo macho yaoKama unayoyasema ni Kweli,mbona watoto wadogo hawaoni Hao malaika
Hapo sasaKwahiyo watoto wadogo walikaa wakakwambia tumeona malaika?
Nimeokoka tayari ngoja niombe waje kwa ruhusa ya Mungu wetuOkoka! Hata hivyo kuokoka sio kigezo saana cha kuwaona malaika! kwasababu walokole wanaishi kwa imani! Mungu wa Biblia anapenda watu wanaoishi kwa imani sawasawa na maandiko na Biblia! Hila ikiwa umeokoka ukamwomba Mungu kuwa unataka kuwaona malaika watajifunua na utawaona ni wazuri muno na utajaa amani (tofauti na majini na mapepo ambayo ukitaka kuyaona au ukiingia kwenye anga zao utajaa hofu!). Ushindi wanaoupata walokole unatokana na malaika!
Lakini imeandikwa ombeni lolote kwa jina langu nitalifanya ili baba atukuzwe ndani ya mwanaCha nyongeza, mengine pia ni neema za Mungu wa Wakristo kuweza kuwaona.
Jambo lililo bora zaidi sio kuwaona, Jambo bora zaidi ni kuamini kuwa Mungu yupo na Yeus Kristo yupo, na wanaweza kukusaidia wakati wowote ule, ndo Imani hii.
Yesu kusukubiwa ni sawa na kutolewa kafara Kwa ajili ya viumbe alivyoviumba mwenyewe,Tofauti ni kwamba hutoi hela wala sadaka ya ng'ombe, mbuzi au binadamu. Hupigwi chale wala huzunguki na kibuyu njia panda ya kike au kiume.
Sadaka yote ishatolewa na Yesu Kristo mara moja kwa vizazi vyote duniani, jukumu lako ni kumtafuta kwa bidii.
Kumbuka hawa watoto ni wasafi hawana dhambi hata mmoja na wamebatizwa kabisa kanisani, ili takiwa watoto wawaone Malaika live lakini wapiKwahiyo watoto wadogo walikaa wakakwambia tumeona malaika?
Kwa ulivomuona yukoje kuanzia juu mpaka chiniHakuna siri kwenye ulimwengu wa roho. Kila kitu kipo wazi, hafanani na Yesu wa movie.
Nyie ndio watu wa kutembea na uziKwa ulivomuona yukoje kuanzia juu mpaka chini
Hata wewe ulikuwa ni mtoto Tena uliebatizwa kabisa ,Je uliwaona Malaika, ?Wewe ndo macho yao
Hongera Mkuu kama umeshajua with wako wewe songa mbele itumie Io karama ambayo Mungu amekupa Kwa ajili ya watu wakeHongera natamani ningekuwa mimi
Yani angenitokea mimi Ningemuuliza mengi sana
Whattt
Unapepo wa chafu au wewe ndo pepo mwenyewe
Nimeokoka sijabatizwa na nina wito fulani japo bado sijayanyoosha sana maisha yangu ila sidhani kama ni sababu
Idiot
Wewe ndo macho yao
Hapo sasa
Nimeokoka tayari ngoja niombe waje kwa ruhusa ya Mungu wetu
Bado sijabatizwa mimi na ninavyojua mtoto ataona malaika mpaka pale watakapoanza kuongea ila kumbukumbu ndio hazitakuwepoHata wewe ulikuwa ni mtoto Tena uliebatizwa kabisa ,Je uliwaona Malaika, ?
Sasa wakiwaona watakwambia??? Na watoto wakiwaona malaika ili iweje??? Malaika ni wajumbe wa Mungu wa Biblia hutuma kwa kusudi maalamu! Sasa watoto wadogo watumiwe malaika kwa kusudi lipi hasa???? Hao ni watoto hatakuongea hawajui! Hata kutofautisha huyu ni binadamu huyu ni malaika hawajui! Haya ni mapokeo ya dini!!!Kumbuka hawa watoto ni wasafi hawana dhambi hata mmoja na wamebatizwa kabisa kanisani, ili takiwa watoto wawaone Malaika live lakini wapi
Hata sisi tulikuwa watoto lakini hatukuwaona Hao malaika
Ina maana wewe ilianza kufanya dhambi ulivyoweza kuongea Tu 😂Bado sijabatizwa mimi na ninavyojua mtoto ataona malaika mpaka pale watakapoanza kuongea ila kumbukumbu ndio hazitakuwepo