Ulishawahi kuona malaika?

Ulishawahi kuona malaika?

Kwa ufupi malaika ni wajumbe wa Mungu wa Biblia! Kuna malaika wasiokuwa na miili wanaokuja kwa mission maalum na malaika ambao ni Walokole (hapa naongelea walokole wa ukweli sio wale wanaojitafuta) kibiblia wanaitwa "malaika", katika kitabu cha Ufunuo "kwa malaika wa makanisa yale saba", hao malaika wanaotajwa ni "walokole"! Mungu wa Biblia anaweza kuwatumia walokole walioko hapa duniani kufanyakazi kama "malaika" wasiokuwa na miili!
Kama unayoyasema ni Kweli,mbona watoto wadogo hawaoni Hao malaika
 
Kwaiyo kwenye kuona unanishauri nini?
Okoka! Hata hivyo kuokoka sio kigezo saana cha kuwaona malaika! kwasababu walokole wanaishi kwa imani! Mungu wa Biblia anapenda watu wanaoishi kwa imani sawasawa na maandiko na Biblia! Hila ikiwa umeokoka ukamwomba Mungu kuwa unataka kuwaona malaika watajifunua na utawaona ni wazuri muno na utajaa amani (tofauti na majini na mapepo ambayo ukitaka kuyaona au ukiingia kwenye anga zao utajaa hofu!). Ushindi wanaoupata walokole unatokana na malaika!
 
Malaika ni wengi na hujitokeza katika maumbo ya wanadamu na kusema na watu mara nyingi bila watu hao kufahamu.

Utakutana na mtu usiyemjua akakuongoza katika jambo na baadaye akatoweka na utakuja kushangaa yule alikuwa nani mbona hata sikumuuliza jina au kumtizama sana usoni? Hao huwa malaika mara nyingine.

Kuna wachache hutokewa na malaika live inapokuwa lazima sana.

Pia wengine hukutana na malaika katika ndoto.

Jua pia kuwa mashetani huja kwa watu kwa njia hizo hizo.

Nikwenda Nairobi miaka mingi iliyopita kutafuta chuo. Nilifuatilia registration lakini sikupata. Wakati nipo jijini mle nilichujua hosteli kama kilometer 2 kutoka chuoni. Lakini ilinibidi kuhama hostel hizo baada ya kukosa usajili ili nikae nyumba ya wageni usiku ule kabla ya kurejea Tanzania.

Nilighadhbika sana mchana ule hadi kukaribia usiku. Nilisali sana kumwomba Mungu anisaidie niwe salama. Wakati natoka getini nilikuwa nimebeba shehena ya mabegi yangu kichwani narudi nyumba ya wageni na ilikuwa kuelekea saa 1 usiku.

Nairobi ya 2003 ilikuwa na uhalifu wa kutisha. Ghafla ilikuja tax nyuma yangu na mtu mmoja nisiyemfahamu alifungua mlango na kuniambia unafika wapi, nikupeleke? Unajua wakenya sio wakarimu kama watanzania tena ndani ya nairobi na tena kwa mtu asiyekujua ndio usiseme.

Bila kuwa na hofu nipanda tax na kumwambia nilikokuwa nakwenda. Mtu yule alinipeleka hadi hatelini na kuniacha pale huku akinipa namba ya simu na hakunichaji chochote! Kenya tena katikati ya Nairobi?!!! Alikuwa mkarimu ajabu!

Ajabu ni kwamba siku mark sura yake na hata ile namba ya simu sikujua niliiweka wapi!

Niliporudi Tanzania niliwaadithia ndugu zangu wanaojua Nairobi na walitetemeka sana kusikia nimepanda tax Nairobi ya mtu nisiyemjua!

Baadaye nilipata ufunuo kuwa hakuwa mtu wa kawaida ila malaika! Bwana Mungu asfiwe sana!
Wee jamaa! Ulienda Nairobi na mizigo yoote hiyo iliyokuwa kwenye mabegi kutafuta chuo? Chuo kinatafutwa kama unatafuta bidhaa dukani? Acha urongo wewe!
 
Kweli kabisa nikiwa form six pale. Yaani ile shule ndo nilipata spiritual encounters.
Hongera natamani ningekuwa mimi
Hakuna siri kwenye ulimwengu wa roho. Kila kitu kipo wazi, hafanani na Yesu wa movie.
Yani angenitokea mimi Ningemuuliza mengi sana
Labda mzimu [emoji28]msukule hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
Whattt
Nikisema malaika ain't real ni product ya imagination delusions na hallucinations caused by religious or cultural indoctrination nitaambiwa naharibu Uzi..🥺ngoja niache mtoe shuhuda
Unapepo wa chafu au wewe ndo pepo mwenyewe
Mwamini Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako.
Kama hujabatizwa , kabatizwe.
Jazwa na Roho Mtakatifu.
Ishi maisha matakatifu, soma Maandiko matakatifu upate maarifa alafu tumia maarifa hayo pamoja na maneno yako kuomba kwenye sehemu ya siri, fanya consistently. Utaanza kuona. Ukifunga itakuwa vizuri zaidi.
Nimeokoka sijabatizwa na nina wito fulani japo bado sijayanyoosha sana maisha yangu ila sidhani kama ni sababu
Haya masharti Hayana tofauti na ya mganga wa kienyeji
Idiot
Kama unayoyasema ni Kweli,mbona watoto wadogo hawaoni Hao malaika
Wewe ndo macho yao
Kwahiyo watoto wadogo walikaa wakakwambia tumeona malaika?
Hapo sasa
Okoka! Hata hivyo kuokoka sio kigezo saana cha kuwaona malaika! kwasababu walokole wanaishi kwa imani! Mungu wa Biblia anapenda watu wanaoishi kwa imani sawasawa na maandiko na Biblia! Hila ikiwa umeokoka ukamwomba Mungu kuwa unataka kuwaona malaika watajifunua na utawaona ni wazuri muno na utajaa amani (tofauti na majini na mapepo ambayo ukitaka kuyaona au ukiingia kwenye anga zao utajaa hofu!). Ushindi wanaoupata walokole unatokana na malaika!
Nimeokoka tayari ngoja niombe waje kwa ruhusa ya Mungu wetu
 
Cha nyongeza, mengine pia ni neema za Mungu wa Wakristo kuweza kuwaona.

Jambo lililo bora zaidi sio kuwaona, Jambo bora zaidi ni kuamini kuwa Mungu yupo na Yeus Kristo yupo, na wanaweza kukusaidia wakati wowote ule, ndo Imani hii.
Lakini imeandikwa ombeni lolote kwa jina langu nitalifanya ili baba atukuzwe ndani ya mwana

Sidhani kama kuzungunza nao ni dhambi?

Zamani nilikuwa na chuki nao sana hawa viumbe ila leo nataka ni prove wrong
 
Tofauti ni kwamba hutoi hela wala sadaka ya ng'ombe, mbuzi au binadamu. Hupigwi chale wala huzunguki na kibuyu njia panda ya kike au kiume.

Sadaka yote ishatolewa na Yesu Kristo mara moja kwa vizazi vyote duniani, jukumu lako ni kumtafuta kwa bidii.
Yesu kusukubiwa ni sawa na kutolewa kafara Kwa ajili ya viumbe alivyoviumba mwenyewe,

Ni sawa na mganga anavyo chinja Kuku Kwa ajili ya kafara
 
Kwahiyo watoto wadogo walikaa wakakwambia tumeona malaika?
Kumbuka hawa watoto ni wasafi hawana dhambi hata mmoja na wamebatizwa kabisa kanisani, ili takiwa watoto wawaone Malaika live lakini wapi

Hata sisi tulikuwa watoto lakini hatukuwaona Hao malaika
 
Hongera natamani ningekuwa mimi

Yani angenitokea mimi Ningemuuliza mengi sana

Whattt

Unapepo wa chafu au wewe ndo pepo mwenyewe

Nimeokoka sijabatizwa na nina wito fulani japo bado sijayanyoosha sana maisha yangu ila sidhani kama ni sababu

Idiot

Wewe ndo macho yao

Hapo sasa

Nimeokoka tayari ngoja niombe waje kwa ruhusa ya Mungu wetu
Hongera Mkuu kama umeshajua with wako wewe songa mbele itumie Io karama ambayo Mungu amekupa Kwa ajili ya watu wake
 
Kumbuka hawa watoto ni wasafi hawana dhambi hata mmoja na wamebatizwa kabisa kanisani, ili takiwa watoto wawaone Malaika live lakini wapi

Hata sisi tulikuwa watoto lakini hatukuwaona Hao malaika
Sasa wakiwaona watakwambia??? Na watoto wakiwaona malaika ili iweje??? Malaika ni wajumbe wa Mungu wa Biblia hutuma kwa kusudi maalamu! Sasa watoto wadogo watumiwe malaika kwa kusudi lipi hasa???? Hao ni watoto hatakuongea hawajui! Hata kutofautisha huyu ni binadamu huyu ni malaika hawajui! Haya ni mapokeo ya dini!!!
 
Back
Top Bottom