Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
mtoto hana dhambi?? nqni kakwambia ebu mpe andazi afu mwombe tuone atakupa kiasi gan?
Kumbuka hawa watoto ni wasafi hawana dhambi hata mmoja na wamebatizwa kabisa kanisani, ili takiwa watoto wawaone Malaika live lakini wapi
Hata sisi tulikuwa watoto lakini hatukuwaona Hao malaika