Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Duuh
Usisahau cc ya kila event niisome
 

Hayo makusudi sasa sio kwa visa hivi mpagausho
 
😅😅48 hours
 
So amazing! Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Part 1: huyo demu yeye nilikuwa nae alikuwa ananielewa fresh bila shida yoyote kipind hiko tupo o level sasa hakuwa na simu mm na yeye mpk tukutane school kuna siku kanimiss kaazima simu kwa rafk ake kunichek fresh mazoea ndo yakaanzia hapo na huyo rafk ake ikiwa kama nina zawad nampa huyo rafk ake ndo anapeleka shida ilikuja huyo demu alipoanza nilitea upopoma rafk ake ndipo rafk ake akajirahisisha kwangu mimi nikala mzigo huyu mwingne alivojua ugomv mpka leo ila kwa vile n mapito mm huwa sijal hata kidogo watajuana wenyew huko

End of part 1 ninazo kama 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa ni mwana tangu utoto, akaja kuanza date na demu wangu, tulivyokuwa tunapishana mchizi akawa mfariji, demu akajilengesha kwa yule jomba wakawa pamoja. Kinachoniuma zaidi Niliwapoteza wote, mpaka kesho sitakaa niwe na mahusiano na huyu mwana.
 
Ki ukweli Mademu wangu woote wapato 10 walikuwa wapenzi au mademu wa Washikaji labda nilikuwa na nyota ya Chips, hata wife alichumbiwa na Jamaa yangu na akaishia kuwa mke wangu hatari tupu

 
YAH: Kitaani kwetu jiji DSM, alitokea mtoto Mmoja matata sana mwenye mchanaganyiko wa kisukuma na Kinyaturu hatari, kitaani pale Mabishoo na wapenda papuchiiii wooote wakaanza kujipitisha mabifu kama yote Kisa Binti huyo. Sasa Mchizi wangu mmoja Dingi yake alikuwa Hakimu akafakiwa kumnyakua bana, kidume kikajiona mjanja sana ahh ahhh , Basi siku mmoja bana Mchizi kaja na demu uwanjani wana tunakipiga cha Ndimu. kama kaja kutulingishia tuuu hivi, wakwale macho yakatutoka mwana kang'oa dahhh..... huku na huku for the first Time ndo demu ananiona kwa karibu maana sikuwa nampitia karibu yake ni chuma mpaka nilikuwa namuogopa.
Kwenye Stori tukachomekea mambo ya Movie bana, kumbe yeye mpenzi wa movie, stori zikanoga aseee ehhh, Tap kanialika kwao nikachuke movie mmoja hivi ya kimahaba( two Can Play that Game) mchizi akapiga jicho la kikuda na ajawai kualikwa ndani kwa kina demu bana ahh ahh.
kesho yake saa Saba shap mwana geteni Kubonyesha kikengere ahhh ahh ........ nasikia mtu mbio anakimbilia getini ahh ahh huku na kule yeye bana kavaa kipensi na kitop flani wana ehh (Mzee wa shimo kainuka) ehhh.. Mzee nikajisogeza mpaka Subuleni stori mara juice hiyo kidogo korosho za baba mwenye nyumba sijakaa sawa
" A " for apple hiloo pressure akanipanda wallah.
Ya mungu mengi ya shetani mazambi tuu , tukajikuta chumbani kwa demu ehh, bafuni kwake mara kitandani kisha bafuni tena kisha kitandani tena ehh Kiza kimengia saa 1 hiyo mida ya baba na mama kurudi hiyo. Sasa mzee vuta pensi yangu na Jezi yangu ya Arsenal ya Ugenini, wapi sendosi, bibie alipagawa sana siku hiyoo 3 Bila Ugenini na ball possession nimetawala dahh.
Hawa Mademu hawa daahh... siku moja tuu baada ya tukio mchizi akanipitia na Toyota Surf la dingi yake tukampitia demu Ngoma LivingStone kula kone kwa Mzee Said Salim B. nikampisha akae siti ya mbele na mchizi, demu kagoma bana anataka akae Nyuma na mimi ehh mchizi anahalisa za kihaya kamind kilicho endelea huku nyuma mungu nisamehe tuuu
 
ilikuaje,mlikuja kutemana?
 
Aione rikiboy

komesha korona
 
Kosa la huyo wa tatu ndilo linawaponza wanaume wengi.
 

Baadhi ya wanawake wako faster mno, hapo hadi kuwa na rafiki yako target ni wewe lakini aliona akiwa na rafiki yako itakuwa rahisi zaidi kukufikia, wao huona ni sahihi kwa wakati bila kujali urafiki wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…