Ulishawahi kupewa zawadi hewa mbele za watu?

Ulishawahi kupewa zawadi hewa mbele za watu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka siku ya harusi ya dada, ukumbini nilitoa ahadi ya kumnunulia Dinner set,

Watu walicheka hadi hoi, akati mda huo niko O level.

Sema nilimnunulia nikiwa Chuo, nilitimiza Ahadi. Woiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka siku ya harusi ya dada, ukumbini nilitoa ahadi ya kumnunulia Dinner set,

Watu walicheka hadi hoi, akati mda huo niko O level.

Sema nilimnunulia nikiwa Chuo, nilitimiza Ahadi. Woiii
Pamoja ulikuwa O level ila bado hukutaka kuwa nyumaπŸ˜‚πŸ™Œ kikubwa ulitimiza kauli Hadi YakoπŸ‘
 
Hello Wadau wa JF!

Weekend ipo vipi pande hizo?

Binafsi ipo poa nimeshapata breakfast ya chapati za kusukuma, rosti la maini na kachai ka maziwa pembeni.

Kwa wale wapenzi wa Korean Drama Leo nimerudi 2016 naangalia Shopaholic Luis.

Kwenye 1 2 3 nimekumbuka siku ya sherehe yangu kaka yangu nitampa jina la Steve , wakati wa kutoa zawadi ulipofika na yeye alikuwa miongoni waliotoka mbele kufanya hivyo, basi bwana zamu yake ikafika akachukua MIC pale Kwa mikogo tena alikuwa amejipigilia suti na shades juuπŸ™Œ akatangaza kuwa amenipa zawadi ya kunilipia trip ya kwenda DubaiπŸ˜‚ niliposikia tu hii kitu nikajua hii ni zawadi hewa kabisa Kwa sababu najua fika Kaka Steve yeye mwenyewe Kwa kipindi kile Dubai anaiona Kwa picha za googleπŸ˜‚

Je, wewe ulishawahi kupewa zawadi hewa mbele za watu?
View attachment 2998805
Huyo Bro wako ni baharia sana,sema watu kama hao kuna wakati wanasaidiaga sana kwenye kusolve majanga na misala
 
Umenikumbusha mkuu mshua alimpa sister check ya sh milioni 5 na hati ya kiwanja vyote vikiwa feki. Alienda mbele kwa mbwembwe yeye na mkewe eti zawadi ya wazazi hahaha sisi tukawa tunmchora tu maana tulikuwa na uhakika hiyo kitu haipo. Uzuri hata sister alijua tu ni uzushi akawa anacheka kinoma
 
Back
Top Bottom