Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
πππππππsasa si niliambiwa hivyo ndugu zangu kwamba haijawahi kutumika kabisa π
kuhusu jina sidhani ubongo mbaya ndugu yangu π
Pamoja ulikuwa O level ila bado hukutaka kuwa nyumaππ kikubwa ulitimiza kauli Hadi Yakoπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka siku ya harusi ya dada, ukumbini nilitoa ahadi ya kumnunulia Dinner set,
Watu walicheka hadi hoi, akati mda huo niko O level.
Sema nilimnunulia nikiwa Chuo, nilitimiza Ahadi. Woiii
Yeaah nilitimiza kwa baadae, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja ulikuwa O level ila bado hukutaka kuwa nyuma[emoji23][emoji119] kikubwa ulitimiza kauli Hadi Yako[emoji106]
Na hii kitu huwa siipendiNi kweli π
Utakoma sio kidogoUkiwaahidi wanaanza kufatilia hizo ahadi nyie mtakoma
Nmeenda kula sio benki mkuu adi nitembee na malaki maniniKhaaa mkuu kusema hata ka laki kaziada huna upeleke
Huyo Bro wako ni baharia sana,sema watu kama hao kuna wakati wanasaidiaga sana kwenye kusolve majanga na misalaHello Wadau wa JF!
Weekend ipo vipi pande hizo?
Binafsi ipo poa nimeshapata breakfast ya chapati za kusukuma, rosti la maini na kachai ka maziwa pembeni.
Kwa wale wapenzi wa Korean Drama Leo nimerudi 2016 naangalia Shopaholic Luis.
Kwenye 1 2 3 nimekumbuka siku ya sherehe yangu kaka yangu nitampa jina la Steve , wakati wa kutoa zawadi ulipofika na yeye alikuwa miongoni waliotoka mbele kufanya hivyo, basi bwana zamu yake ikafika akachukua MIC pale Kwa mikogo tena alikuwa amejipigilia suti na shades juuπ akatangaza kuwa amenipa zawadi ya kunilipia trip ya kwenda Dubaiπ niliposikia tu hii kitu nikajua hii ni zawadi hewa kabisa Kwa sababu najua fika Kaka Steve yeye mwenyewe Kwa kipindi kile Dubai anaiona Kwa picha za googleπ
Je, wewe ulishawahi kupewa zawadi hewa mbele za watu?
View attachment 2998805
Sijui kwanini lakin nahisi nishaisoma hii code...na ofisi nazijua...π π πNdio, kwakua nilikua nausika na suala zima la bajeti, pili ile kuenda pale ofisi za mkoa mara kwa mara bila kuambulia chochote zaidi ya baridi na upepo mkali wa kwenye zile korido
Alafu wewe inaonekana ni yule dada uliyekua unanidanganya mkuu yuko nakikao kumbe anasoma magazetiiSijui kwanini lakin nahisi nishaisoma hii code...na ofisi nazijua...π π π
Sema yule mzee jau sana.....msamehe bure...enzi zake zilishapita!!!!!Alafu wewe inaonekana ni yule dada uliyekua unanidanganya mkuu yuko nakikao kumbe anasoma magazetii
Naona unanichota code ifunguke waje kuninanga namsema mkuu.Sema yule mzee jau sana.....msamehe bure...enzi zake zilishapita!!!!!
Basi yameisha mkuu.....Naona unanichota code ifunguke waje kuninanga namsema mkuu.
Usiwaze mkubwaBasi yameisha mkuu.....