OK kiongozi Nita change kwa hilo. thanksHebu chunguza mwandiko huenda ndio unakufelisha.
Msomi kama wewe huoni aibu kuandika x, yetyu, ivi?
Huko kuwahudumia wagonjwa herufi moja itasababisha mgonjwa apewe dawa tofauti.
Wasomi kama wewe ndio mnafanya sisi tusiosoma tuone kusoma sio kuelimika.
Pumbavu mkubwa!Clinical uwa atuandik just clerking and performing
Daktari mzima hujui maana ya typing error. Ulifeli kihalali.Sorry typing error
nyie wasomi pumbavu kabisa , mwandiko gani huu ? 'tyu' ndio nini ?Ndugu clinical xhit pale Kuna kuandika kwel pale au unajaza tyu namba kuonesha kuwa umefany mtihan
Huwezi kuwa medical doctor,rather unasoma clinical medicine, hata hivyo jibidiishe Sana kwani uwezo wako ni mdogo sana, japo unamlaumu daktari ila ukweli wewe uko chini sana.Ndugu clinical xhit pale Kuna kuandika kwel pale au unajaza tyu namba kuonesha kuwa umefany mtihan
OK Sawa kiongozi ila mimi ni MD ntajitahidi kulifanyia kazi kiongoziHuwezi kuwa medical doctor,rather unasoma clinical medicine, hata hivyo jibidiishe Sana kwani uwezo wako ni mdogo sana, japo unamlaumu daktari ila ukweli wewe uko chini sana.
Pambana na changamoto zako usije tuulia watanzania huko utakakoenda kutibia.
Sijajua tuna changamoto ya walimu au ufahamu wa hiki kizazi una shida.
Usimfokee daktari weweeeupumbavu ni :
a. kufupisha fupisha maneno ovyo ovyo
b. kutumia 'x' badala ya 's'
Stop nonsense excuse, kuna wanafunzi wanasomea udaktari wanajielezea vizuri na kuandika vizuri tu..wanapangilia hoja zao vizuri tu, wewe na hizo xaxa, lkn, mm nadhani kuna shida mahalaKwa sisi tunasoma Medicine sijuagi tatizo nini linapokuja swala La kujieleza sorry lkn
Alafu anategemea awe daktari huyu kweli??Unasema hutaki kejeli wakati sisi unatukejeli kutuandikia uxhauli, mtanixamehe na mwandixhi.