Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Kuna marafiki natarajia kuwapoteza soon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejikaza kweli kweli afu unakuja kuambulia block au namba kufutwa....sio poa kabisaMi shoga angu alinipa mchango wa 35k au 30k sasa kipindi yeye anaolewa nilikua napitia kipindi kigumu sana mi na mume wangu jamani nilijikakamua nikamtumia 15k kaninunia hadi leo na namba angu kafuta
Too much expectations kills!!!!Wakuu,
Imekuwa kawaida mtu anapokuwa anatarajia kuoa/kuolewa kutoa kadi za michango kwa ndugu, jamaa na marafiki ili wakamilishe jambo lao.
Kimbebe kinakuja pale umepewa kadi halafu kutokana na changamoto mbalimbali ukashindwa kutoa mchango huo. Jamaa huwa hawaelewi na ndio inaweza kuwa chanzo cha mawasiliano yenu kuharibika kuanzia hapo au kuisha siku hiyo hiyo unapomjulisha kwamba umeshindwa kuchangia kwenye harusi yake.
Urafiki wangu na besti yangu uliisha kisa nilikosa elfu 50,000 ya mchango kwenye harusi yake. Na hapo mtu umejipiga kwelikweli kutafuta mchango lakini umekosa!
Vipi wewe, imewahi kutokea ukakosana na rafiki yako kisa kushindwa kutoa mchango wa harusi? Mliweza kuwekana sawa juu ya jambo hilo baadaye au kila mmoja yuko na 50 zake mpaka leo?
Nilikua nimemuambia week 1 kabla ya shughuri, yeye alitegemea kupewa vikubwa, ko hata nisipo kuwepo haina shida, sasa alipokuja kuona tofauti ndo ikawa mzozo zaidi.Huwa hawaelewi kabisa, na hapo unakuta hata umeelezea sababu ila shingo inashupazwa kuwa umedhamiria
Harusi za vijijini hizi huwa zinanogaa balaa, changanyikenii tyuuh.Miye nashangaa sana hivi unajua sherehe ya harusi wanufaika ni mc, watu wa mapambo, watu wa chakula, na watu watu wa vinywaji na ujinga mwingine MC ndio anamua mkae ukumbini mda gani mc akiwa mhuni masaa matatu anamaliza sherehe yani mmekaa vikao miezi mitatu mc anawaweka ukumbini masaa matatu
Sikia wewe bibi harusi mtalajiwa na baba harusi kafunge ndoa rudi nyumbani kula chakula na wana ndugu na jamaa vizuri , jioni amua sasa unasherekea hapo hapo nyumbani au nje ya nyumbani kama nyumbani funga mziki mzuri dj mzuri kiamshe kuleni hapo wa kunywa wanywe uone itakavyochangamka kwanza hakuna limit ya mda mnajimwaga mnavyoweza.
Mbna vijijini shuguri wana andaa wahusika, hakuna kukomoanaaNimetoka kuzungumza na mtu Leo hichi kitu, Nina rafiki yangu sikumchangia pia na wakati alikuwa anashuhudia michango mingine nilikuwa natoa kama kawaida, (tupo group moja),
akaninunia kabisa kabisa, asichojua ni kuwa wakati huo yeye anawaza harusi Mimi nina struggle vibaya mno na maisha yamebana balaa,
Hivi, huwa haiwezekani baada ya kufunga ndoa watu wakawa tu na family dinner kisha kama wataenda honeymoon waende maisha mengine yaendelee..? Why tuna-force kuwa na mambo makubwa ambayo pengine hatuna hata uwezo nayo..?
Tatizo mjini tunataka mambo makubwa alafu pesa tunategemea za michango ndio chanzo cha kununiana.Mbna vijijini shuguri wana andaa wahusika, hakuna kukomoanaa
Tatizo mjini, kinacho kwamishaa ni kamatii, afu pia, ukumbi, MC, etc.
Aaaah wee
Eti jamani, kakitu kadogo tu classic basii, cha msingi jambo lenye umuhimu 'kufunga Ndoa' limefanyika, hizi mbwembwe zingine tuachane nazo..!!Mbna vijijini shuguri wana andaa wahusika, hakuna kukomoanaa
Tatizo mjini, kinacho kwamishaa ni kamatii, afu pia, ukumbi, MC, etc.
Aaaah wee
Mimi nina michango kama mi5 hivi hapa imagine, unampa nani unamuacha nani..!?ndo naelekea huko kwenye kununiwa so sad naenda kupoteza rafiki lakini ndo maisha yalivyo
Wanune tu kiukweli, I can't force myself kufanya kitu kiko nje ya uwezo wangu..!!Tatizo mjini tunataka mambo makubwa alafu pesa tunategemea za michango ndio chanzo cha kununiana.
Hapo sasa, yaan tabu tupuu.Tatizo mjini tunataka mambo makubwa alafu pesa tunategemea za michango ndio chanzo cha kununiana.
Nilistuka kuna ndoa ya sista ake rafiki angu ilifanyika Iringa, MC ni Gara B, eti malipo yake ni 4M, sasa fikiria MC anachukua 4M kwa kazi ya masaa isozidi 6, si upuuzi huu.Eti jamani, kakitu kadogo tu classic basii, cha msingi jambo lenye umuhimu 'kufunga Ndoa' limefanyika, hizi mbwembwe zingine tuachane nazo..!!