rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Hao ambao hawachangi na wanataka kuchangiwa ndo hawafaiii...!! Mimi binafsi nisipomchangia mtu hata group simuadd au kumpigia simu kuomba mchangokuna mtu yeye hakunichangia ila alikuja akajumuika anaoa mwez huu ntarajia kwenda kujumuika ajabu ananipigia et mchangovwangu vipi nikamuuliza ulinichangia?? nina kawaida moja kama mtu alinichangia ajue mchango wangu ataupata