Ulishawahi kupoteza marafiki sababu ulishindwa kutoa mchango wa harusi?

Ulishawahi kupoteza marafiki sababu ulishindwa kutoa mchango wa harusi?

Tafuteni Hela Mtoe Michango Bila Manung’uniko.

Daah, Kweli Tupo Tofauti.

Mimi michango ya ndugu na jamaa flan flan lakini huwa naikumbatia vibaya mnoo na nachanga bila hiyana yoyote.

Binafsi kuna kitu na gain from such friendships na kuwa social than just kujumuika na watu na kusherekea.

Wachache Watanielewa. Yani sijai pewa card na mtu naemjua nikaacha kuchanga…tofauti ni kwamba tu intensity ya ule mchango unaendana na ukaribu nlionao na hao wahusika.

Sijai changa chini ya laki 1 toka nianze kujitegemea na kula jasho langu mwenyewe

Naombeni mnielewe kitu kimoja watu hupenda kufanya biashara au kushirikiana na watu wanao wapenda. So kwenye maisha jitahdi sana ku build genuine relations. Moja ya mbinu yangu katika hili ni kuchangia na ku participate shughuli za watu…so not just everyone ila kuna watu kabisa unaona hapa gains zipo tena sana.

Lazima uwe na jicho la kujenga relations zenye tija. Binafsi zimenilipa sanaa. Mi hata liquor store sioni shida kumlipia mtu beer 3 mpaka 5 hata wawe mtu 3 instantly if naona kabisa mwamba ana madini huyu. Sijui kama mnanipata lakini.

Add value to ur circle, know the art of winning and influencing the right people thru serving them. Unamkuta mtu liquor store masaki. How tha fxxxk huyo mtu ni njaa ?? Lazima ana information itakayokusogeza mbele sio lazima mtu akupe hela.

(No bragg but ni ukweli / facts)
 
Wakuu,

Imekuwa kawaida mtu anapokuwa anatarajia kuoa/kuolewa kutoa kadi za michango kwa ndugu, jamaa na marafiki ili wakamilishe jambo lao.

Kimbebe kinakuja pale umepewa kadi halafu kutokana na changamoto mbalimbali ukashindwa kutoa mchango huo. Jamaa huwa hawaelewi na ndio inaweza kuwa chanzo cha mawasiliano yenu kuharibika kuanzia hapo au kuisha siku hiyo hiyo unapomjulisha kwamba umeshindwa kuchangia kwenye harusi yake.

Urafiki wangu na besti yangu uliisha kisa nilikosa elfu 50,000 ya mchango kwenye harusi yake. Na hapo mtu umejipiga kwelikweli kutafuta mchango lakini umekosa!

Vipi wewe, imewahi kutokea ukakosana na rafiki yako kisa kushindwa kutoa mchango wa harusi? Mliweza kuwekana sawa juu ya jambo hilo baadaye au kila mmoja yuko na 50 zake mpaka leo?
Mimi sio marafiki tu

Hadi ndugu nimefarakana nao kisa michango ya harusi
 
Baada ya kuamua kuoa, niliwashirikisha marafiki zangu wa karibu na kweli watu walichnaga na sikupeleka kwenye kamati, cha kushangaza kuna watu niliwachangia hawakuchanga na wengine familia nzima maana nilishiriki harusi mbili za familia hiyo pamoja na kuwapa gari na mimi nikawa dereva bure kabisa lakini ile familia yaani baba, mama, vijana wawili na binti hawakutoa kitu. Iliniumiza sana. Again, kamati ya kule nyumbani wakachangisha hela alafu wakajichagua kujipa kazi na kupiga hela, huku mzazi wangu akikusanya zawadi zote zilizopatikana kwenye sherehe ( niligharamia sherehe ya nyumban complete+ ya ukumbini niliwaongezea 2mln). Nilichukia sana, nilibaki bankrupt na hela ilikata kabisa ikiwa honeymoney. Ninachoweza kuwashauri watarajiwa maharusi, jiandaeni wenyewe na bajeti ndogo, fanyeni sherehe ndogo nyumbani au ukumbini msisikilize makelele ya wazazi au ndugu ni kelele tu mwisho wa siku unaumia mwanamme. Wanawake pia msipende sana masherehe makubwa, ni kufaidisha watu tu. Mwisho, sichangii mtu hela ya harusi isipokuwa yupo kwenye orodha yangu ya walionichangia.
 
Harusi za vijijini hizi huwa zinanogaa balaa, changanyikenii tyuuh.
Hata mjini zamani tuliishi hivi tatizo likaibuka kundi la wajanja wajanja matokeo yake ndio haya mnamchangia pesa mc, mapambo na chakula shubamit huuu ujinga never
 
Mbna vijijini shuguri wana andaa wahusika, hakuna kukomoanaa
Tatizo mjini, kinacho kwamishaa ni kamatii, afu pia, ukumbi, MC, etc.

Aaaah wee
Changuzaa mjini kuna furani kila kamati hawakosi hao ni wapigaji balaaa miye huu ujinga wa kamati sijui ukumbi kwa wanangu hautokuwepo mume au mkewe akitaka mbwebwe hizo andae mwenyewe yani ujinga wakupigia watu sm mchango mchango jamani mbona sherehe za kipa imara upatizo au sikuku za Christmas au pasta au Eid huwa zinachangamka sana ukiwa na ndugu na jamaa kwako
 
Mimi imeshanitokea. Jamaa na mkewe wana watoto tena wakubwa tu eti wanafanya harusi yenye bajeti ya 18M huku wamekaa nyumba ya kupanga. Mapumbavu kabisa, mchango 100,000 kwa double na 50,000 kwa single .

Mi nikauchuna kwani imani yangu hairuhusu kuchangia harusi ya watu waliokwisha zaa. Ingekuwa ndio wanajuana au vijana wadogo (mabikra) sawa ila mmeshazaa na watoto wakubwa huwa sitoi hata mchango uwe 500. Jamaa tukavunja urafiki, poa.

Nyingine kipaimara. Nayo imenivunjia undugu kwa dada yangu mtoto wa mama mdogo kabisa. Toka 2017 hatujawasiliana na hata kwenye msiba wa baba yangu uliofanyika kwenye kijiji alichokuwepo hajaja. Ananipigia simu eti "Mjomba wako anabarikiwa kwa hiyo naomba mchango wa kreti 3 za bia" nikasema Mpumbavu wewe, mi sinywi bia alafu nitoe kreti 3 za bia kwa ajili ya ubarikio wa mtoto. Mbona sisi tulibarikiwa na hatukufanyiwa sherehe kwani tulikufa? Mbona tunaishi na bado tunaenda Kanisani. Napo nikauchuna sikutaka. Hahahaaa naye ndio akaimchukia na undugu ukaisha.

Mwaka Jana kulikuwa pia na kipaimara huko Machame wa mtoto wa Mama mdogo wangu. Bajeti 1.5M ya kula na kunywa pombe na mambege kule Machame. Nao nikauchuna, hahaaa sasa miezi 7 hajawahi nipigia simu wala ongea nami.

Ulimwengu wa sasa unatulazimisha tuishi kikauzu kwani watu wanapenda sifa na ufahari kuliko uwezo wao. Kuna masherehe ya hovyo kila mara yasiyo na sababu na yanahitaji gharama ambazo wengine hawana uwezo nazo. Kama una taka ufahari, fanya kwa pesa zako sio kulaumu na kununia watu.

Mi nimeoa, tumeenda kanisani. Tumefungishwa ndoa then tukarudi nyumbani na Mama chanja. Watu hawakunywa hata maji ya bomba nyumbani kwangu.
 
Tafuteni Hela Mtoe Michango Bila Manung’uniko.

Daah, Kweli Tupo Tofauti.

Mimi michango ya ndugu na jamaa flan flan lakini huwa naikumbatia vibaya mnoo na nachanga bila hiyana yoyote.

Binafsi kuna kitu na gain from such friendships na kuwa social than just kujumuika na watu na kusherekea.

Wachache Watanielewa. Yani sijai pewa card na mtu naemjua nikaacha kuchanga…tofauti ni kwamba tu intensity ya ule mchango unaendana na ukaribu nlionao na hao wahusika.

Sijai changa chini ya laki 1 toka nianze kujitegemea na kula jasho langu mwenyewe

Naombeni mnielewe kitu kimoja watu hupenda kufanya biashara au kushirikiana na watu wanao wapenda. So kwenye maisha jitahdi sana ku build genuine relations. Moja ya mbinu yangu katika hili ni kuchangia na ku participate shughuli za watu…so not just everyone ila kuna watu kabisa unaona hapa gains zipo tena sana.

Lazima uwe na jicho la kujenga relations zenye tija. Binafsi zimenilipa sanaa. Mi hata liquor store sioni shida kumlipia mtu beer 3 mpaka 5 hata wawe mtu 3 instantly if naona kabisa mwamba ana madini huyu. Sijui kama mnanipata lakini.

Add value to ur circle, know the art of winning and influencing the right people thru serving them. Unamkuta mtu liquor store masaki. How tha fxxxk huyo mtu ni njaa ?? Lazima ana information itakayokusogeza mbele sio lazima mtu akupe hela.

(No bragg but ni ukweli / facts)
Hela ikiwepooo mkuu hakuna kisichoshindikanaa.. kuna point unabanwaaa hutambaii aiseee!
 
Ofisini zimepita harusi 3, na zote sijatoa ht 100 mbovu. Siku moja wakaniweka kikao eti ohhh unajitenga unafanya vibaya.
Niliwauliza kazi haziendi kwsbb sijatoa pesa ya mchango???
Huyo mke au mme mi nafaidika nae vipi??
Kwenye jambo langu kuna alienichangia humu???
Wakakosa majibu, niliwaambia wawe na mipaka na adabu, sio kwa kuwa tunafanya kazi pmj basi ndio wajikute wana hati miliki na pesa yangu.

Kwenye ugonjwa au matatizo hapo sawa, ila harusi ht huwa siwazi kbs.
 
Hela ikiwepooo mkuu hakuna kisichoshindikanaa.. kuna point unabanwaaa hutambaii aiseee!
Hakuna kitu kama hiko. Wengine pesa tunazo na hatuwezi shindwa toa mchango wa 100,000 au 50,000 kwa kadi hata 10 ila unawaza natoa kwa ajili ya nini? Nimpendeze mtu.

Binafsi, kwenye ugonjwa au msiba natoa kiasi chochote ila harusi, kipaimara, birthday, kitchen party na ufala mwingine sitoi hata 100. Yaani mtu unataka makuu kwa expense ya wengine. Kama una sherehe yako na unataka kuifanyia mwezini, gharamikia mwenyewe. Huo ndio msimamo wangu.
 
Watu wanalazimisha kufanya mambo mazuri kwa hela za watu wengine . Masikini wanapenda sherehe kubwa ajabu matajiri wanafanya sherehe ndogo .
We mbona ulipewa nyama ya ngamia kwa expense ya wengine?!#%&(!!!!. Vipi nyama ya ngamia bado ipo au ilishaisha na ulishainya? Kwahiyo uliuza utu wako kwa vipande 30 vya nyama ya ngamia?
 
kuna mtu yeye hakunichangia ila alikuja akajumuika anaoa mwez huu ntarajia kwenda kujumuika ajabu ananipigia et mchangovwangu vipi nikamuuliza ulinichangia?? nina kawaida moja kama mtu alinichangia ajue mchango wangu ataupata
 
Tafuteni Hela Mtoe Michango Bila Manung’uniko.

Daah, Kweli Tupo Tofauti.

Mimi michango ya ndugu na jamaa flan flan lakini huwa naikumbatia vibaya mnoo na nachanga bila hiyana yoyote.

Binafsi kuna kitu na gain from such friendships na kuwa social than just kujumuika na watu na kusherekea.

Wachache Watanielewa. Yani sijai pewa card na mtu naemjua nikaacha kuchanga…tofauti ni kwamba tu intensity ya ule mchango unaendana na ukaribu nlionao na hao wahusika.

Sijai changa chini ya laki 1 toka nianze kujitegemea na kula jasho langu mwenyewe

Naombeni mnielewe kitu kimoja watu hupenda kufanya biashara au kushirikiana na watu wanao wapenda. So kwenye maisha jitahdi sana ku build genuine relations. Moja ya mbinu yangu katika hili ni kuchangia na ku participate shughuli za watu…so not just everyone ila kuna watu kabisa unaona hapa gains zipo tena sana.

Lazima uwe na jicho la kujenga relations zenye tija. Binafsi zimenilipa sanaa. Mi hata liquor store sioni shida kumlipia mtu beer 3 mpaka 5 hata wawe mtu 3 instantly if naona kabisa mwamba ana madini huyu. Sijui kama mnanipata lakini.

Add value to ur circle, know the art of winning and influencing the right people thru serving them. Unamkuta mtu liquor store masaki. How tha fxxxk huyo mtu ni njaa ?? Lazima ana information itakayokusogeza mbele sio lazima mtu akupe hela.

(No bragg but ni ukweli / facts)
wewe umeshaoa?? watu kama nyinyi likikufika ndio utaelewa, hutaona hata mmoja mbaya zaidi hata michango ndio hutaiona kabisa, nilikua kama wewe najitoa sana kwa watu kilichonikuta ni bumbuwazi nilichojifunza ninamchangia alienichangia
 
Nilipoteza ndugu yangu mmoja ambae ni kijana wa Baba mdogo, alikuwa rafiki yangu sana, alipotaka kuoa mimi nikiwa chuoni aliniomba mchango japo hali kwangu ilikuwa mbovu sana hivyo sikutoa. Tangu siku kipindi hicho mpaka sasa hata salam kwangu ni ngumu sana, namba yangu ya simu alifuta na hakupokea simu yangu kabisa, nami nikaachana nae mpaka sasa kila mmoja anaendelea na mambo yake..

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kama hiko. Wengine pesa tunazo na hatuwezi shindwa toa mchango wa 100,000 au 50,000 kwa kadi hata 10 ila unawaza natoa kwa ajili ya nini? Nimpendeze mtu.

Binafsi, kwenye ugonjwa au msiba natoa kiasi chochote ila harusi, kipaimara, birthday, kitchen party na ufala mwingine sitoi hata 100. Yaani mtu unataka makuu kwa expense ya wengine. Kama una sherehe yako na unataka kuifanyia mwezini, gharamikia mwenyewe. Huo ndio msimamo wangu.
Sikatai mkuu nina rafiki yangu nae ana msimamo huoo huo hata ukimuadd kwenye Group la harusi yako analeft...!! Kifupi nae hatakuja kuchangisha watu kwenye Harusi yakeee anavyodai... Ila kuna wengine Unakuwa unatamani sana kuchangia maana unakuta anaeoa ni rafiki na ndugu ila sasa mambo yanatusongaaa... hela ina mambo mengi
 
Back
Top Bottom