Mbona anafundisha hadi saiviMtu anaongea masaa sita tu. Analipwa milioni nne.
Kweli maisha ni kuji Brand tu
Enzi Gara B anafundisha shule ya kata hiyo milion 4 ilikuwa ndio net ya mshahara wake wa miezi nane.
Watu wengi wanadhani labda ni uchoyo, kuna muda mtu unakua huna unaweza ukajipiga piga ukatoa hata nusu bado watu wananuna. Alafu hali za maisha zinatofautiana unakuta mwingne kisa maisha yake kashajipata fresh basi anadhani na wengine wako na hali kama yake. Maisha tunatofautiana sana basi tu kuna wengine wanajisahaulisha.Shida sio kutoa michango, shida ni pale unatakiwa kutoa mchango lakini uko vibaya kiuchumi na unapitia changamoto kadhaa ambazo zinakufanya ushindwe kutoa mchango huo... na ikitokea umeshindwa kutoa mchango huo wanaotarajia kuoa/kuolewa hawakuelewi na kuvunja urafiki wenu mazima
Shule flan ya kata ipo ilala nimesahau jinaAnafundisha shule gani ?
Jamaa anaingiza 4mil kila sherehe tena na zaidiii means kwa mwezi akiwa na sherehe 10 minimum ni mil 40[emoji1][emoji1][emoji1] Aisee bado zile za kiserikali anapokea zaidi ya 10mil per sherehe ukutee.. Daah kufumba kufumbuaaa jamaa yulee amepaaaa maishaa hayaaUkiona umeanza na kusema umesahau. Ujue ni unahisi ama unabahatisha
Uhalisia ni kwamba Gara B alikuwa mwalimu wa somo la English na Georgaphy katika shule ya kata inayoitwa Temeke Secondary. Ipo nyuma ya jengo la stesheni ya Tazara.
Kazi ya ualimu aliacha mwaka 2016. Toka hapo ni anafanya kazi zake za kujiajiri tu. Na walimu wenzake wa temeke sec. walimfanyia sherehe ndogo ya kumuaga
Ilala Garab ni kwao alipokulia.
Amesoma shule ya msingi msimbazi iliyopo ilala