Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Mwanamke kutoachana ex kwa ubaya bali mazingira au namna iliyokuwa nje ya uwezo wake. Hapa sasa ndio wengi hutafunwa haswa wale wanaosafiri kwenda maeneo maEx wanapoishi...
Ni vizuri kabla hujaoa au hujaolewa jua ex wa mwenzio na kwa nini wameachana.
Ni muhimu
 
Mke wa mtu mgongee kwako, sio hotelini au gesti au kwake; ukifumaniwa na mke wa mtu ktk hayo maeneo utaliwa kiboga na kufanyiwa kitu cha aibu...
Mchepuko usimgongee kwako..
 
Umeongea ktu sahihi sana ndugu mungu akubariki sn ww n familia yko
 
Mimi siku nikigundua mke wangu anacheat namuacha wife then jamaa namfungia kazi akibaki hai basi atakuwa kilema maisha yake yote
Mke anauma aisee me kicheche ila nishajiwekea sheria sijawah na sitowah kula mke wa mtu

na wewe tunakuua Eti nisikie umeua Ndugu yangu
walahi hutomaliza wiki!
Kwa Risasi au Kwa Sumu kazima Nikuue!
Huwezi Kumuua Ndugu yangu kisa Eti Mke wako tena Mtu mzima mliekutana nae Ukubwani!
Labda Umuue Jamaa ambae ndigu zake ni Fala
 

Sio Kweli
Women are not careless
Wewe utakuwa Msomi mjanja unaopenda mteremko…Yaani Kuwala wanawake wasiosoma.
Ambao sio intellectual
Ni Ngumu sanaaa Kumgundua Mwanamke tofauti na Mwanamme.
Wanawake ni wasiri sanaa aisee haswa wale wasomiGraduate!
 
After there tuliendelea kuwasiliana, kuendelea kufarijiana,…akaja akapata mchumba mwingine….. bahati mbaya alifariki kabla ya hiyo ndoa mpya nilipenda nione anaolewa ila ndio hivyo mungu kamchukua.
So hajaolewa mpka now??
Si anaona ni mkosi huwo.
Daaa
 
After there tuliendelea kuwasiliana, kuendelea kufarijiana,…akaja akapata mchumba mwingine….. bahati mbaya alifariki kabla ya hiyo ndoa mpya nilipenda nione anaolewa ila ndio hivyo mungu kamchukua.
Hila mpaka sasa hajajutia kweli kweli kabisa?
Si majuta anayo au vipi huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…