Katika umri wangu huu nilionao,,
Nimetembea na wanawake zaidi ya 400.
Kati ya hao wanawake 400,, wanawake 20 ni wake za watu..
Leo naanza na 1.
Jinsi nilivyokula mke wa jirani yangu
siku moja nipo nyumbani,,asubuhi nikawa nazunguka zunguka uani kwangu kukaguwa mazingira,,
Nikashtuka kumwona mke wa jirani yangu akiwa kajiinamia pembeni mwa fancy yangu ya nyumba,,
Kwa jinsi alivyokaa anaonyesha ana mawazo mengi Sana,
Nilipomuona nikamsogelea kwa karibu ili nijuwe kulikoni?
ikawa Mimi nipo upande wa nyumba yangu na yule dada yupo upande wa nyumba yao,,
Nyumba yangu na yao imetofautishwa na fancy ya senyenge tu,,
hakuna kizuizi cha ukuta,
hivyo tunaonana muda wote na hata kila mtu akiwa kwake unamwona mwenzio,,
Nilimsogelea yule jirani nikamuuliza kwa utani ,,
"Jirani vipi mbona umejiinamia unaumwa?
Mke wa jirani "hapana jirani maisha tu."
Kuna mambo yananichanganya Sana.,
Nikamwambiya Mimi ni jirani yako usiwe na mawazo kwa Jambo ambalo pengine naweza kukusaidia,,
Shida nn?
Yule dada akainuwa uso wake akanitazama usoni,,
Ndy hapo nilipojiridhisha huyu Dada alikuwa mzuri haswa,
Dada mmoja wa kikurya mweusi wa kung'aa kama jongoo,,
Halafu shepu yake ni balaa na nusu.,
Macho yake mazuri kama yanataka kudondoka,,
akikutazama usoni lazima uhisi Jambo la kusaliti ndoa,,
Mdada yupo so sexy ,,
Ikiwa hapo ni asubuhi amevaa khanga tu kifuani,,
sehem kadhaa za maungo yake ikibaki wazi,,
mapaja lainii,,,
Ziwa dodo ,,
Nikajisemea kimoyomoyo""
huyu dada nilikuwa namtamani siku nyingi Sana,"Leo mbuzi kafia kwa muuza soup,
Na kwa kitendo cha kuonyesha ana shida ikawa nimeshapata upenyo wa kuanzia kumtongoza,,
Nikamwambiya nipe no zako tutaongea kwa simu sababu ya kiusalama hapa nilipo sio pazuri,,
Hiyo ndy code zangu za kumwingia mwanamke ambaye nahisi ni ngumu kueleza hisia zangu moja kwa moja,,
Hua natengeneza mazingira kama kuna hatari fulani ktk Jambo lile la mazungumzo ya hadharani,,
Hivyo natengeneza mazingira ya kukutana pembeni faragha.
Mwanamke atakapoonyesha ushirikiano kwamba kwl hapa tulipo sio pazuri,,
Anakuwa ameshanirahisishia malengo yangu kwake,,
Mke wa mtu, au shemeji,,sitongozi direct,,huna natumia indirect
Natumia code za kufikisha ujumbe kwa kuzunguka lakini naeleweka,,ili hata akiwa hajaelewa somo,,
Ni rahisi kuruka na kusawazisha message ,
Basi pale pale nikamuwekea yule mke wa jirani 50,000 cash muamala kwenye simu yake..
Nikamsindikiza na text jiioni tuonane
Hapo ndy safari ya mapenzi na mke wa jirani yangu ilianza rasmi.
Nilikuwa nazagamua kama nimeoa,,