Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

K zote zilizotapakaa huzioni mpaka ukamgonge mke wa mtu,kuna wanawake kibao wenye sifa za kila aina wanatafuta kugongwa hata kwa one night stand.

Wewe sema kwa mke wa mtu unatafuta kitonga, mtelezo,ganda la ndizi.
Hee kwani nimekuambia nataka kukugonga kisa ww ni mke wa mtu?
 
Hee kwani nimekuambia nataka kukugonga kisa ww ni mke wa mtu?
Kwa hiyo kwenu kwenye familia yenu pamoja na baba yako mzazi wanaume wanagongwa au sio?au may be kwenye ukoo wenu wanaume wangongwa may be inawezekana ushawahi kugongwa maana asifiaye mvua ishamnyeshea.
 
Kwa hiyo kwenu kwenye familia yenu pamoja na baba yako mzazi wanaume wanagongwa au sio?au may be kwenye ukoo wenu wanaume wangongwa may be inawezekana ushawahi kugongwa maana asifiaye mvua ishamnyeshea.
Ushawahi kujinusa damu yako ya hedhi?
 
Yaani wewe ndio uko sahihi kwa 100% Hawa wengine wanaweka mihemko mbele hali ya kwamba wekamilika kweli.
Wake zetu tulio wengi hatuwatimizii nahitaji Yao. Mfano kuwa maliza miwasho, hela na mda wa kukaa nao
Nimeiapia nafsi yangu sitaingiia kwenye vita.
Nikifumania mke wangu(kama nitaoa sijui),
Nitamwacha sina haja ya mapambano...nitajuuliza nakosea wapi ama sina nini...!nikose vyote sio afya,pesa na nguvu za kiume.
Nishamjua msaliti naenda bar kujipongeza,hakuna majuto kila kitu kinatokea kwa sababu,can't complain.
 
Nimeiapia nafsi yangu sitaingiia kwenye vita.
Nikifumania mke wangu(kama nitaoa sijui),
Nitamwacha sina haja ya mapambano...nitajuuliza nakosea wapi ama sina nini...!nikose vyote sio afya,pesa na nguvu za kiume.
Nishamjua msaliti naenda bar kujipongeza,hakuna majuto kila kitu kinatokea kwa sababu,can't complain.
Hebu oa kwanza, na uhakikishe umemzalisha huyo mkeo ndipo urudi kutoa comment zako hapa!
 
Hebu oa kwanza, na uhakikishe umemzalisha huyo mkeo ndipo urudi kutoa comment zako hapa!
Kwani ndoa ni nini si utumwa?
Kwani unadhani sijawahi kumfumania mpenzi ambaye namweka mjini?

Kama napata maziwa kwanini nifuge ng'ombe?
Unajua nimeshazalisha wangapi?

Ndoa ni utapeli
 
Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa[emoji848]
Namimi niko single afu sipendi kabisa wake za watu
 
Kwani ndoa ni nini si utumwa?
Kwani unadhani sijawahi kumfumania mpenzi ambaye namweka mjini?

Kama napata maziwa kwanini nifuge ng'ombe?
Unajua nimeshazalisha wangapi?

Ndoa ni utapeli
Watoto usiowalea; mpenzi usiye na malengo naye, mwanamke unayemhonga hao wote sio mke! Mke ni yule uliyemlipia mahari, ukatambulishwa kwao naye kwenu, mkawekwa wakfu kwa imani ya dini yako; mkazaa watoto, mkajenga na kutengeneza familia pamoja. Tafuta mwanamke wa dizaini hiyo kisha rudi hapa ucomment. Hao uliowaelezea, wangefaa zaidi kwenye uzi wa jinsi nilivyokula tunda kimasihara!
 
Watoto usiowalea; mpenzi usiye na malengo naye, mwanamke unayemhonga hao wote sio mke! Mke ni yule uliyemlipia mahari, ukatambulishwa kwao naye kwenu, mkawekwa wakfu kwa imani ya dini yako; mkazaa watoto, mkajenga na kutengeneza familia pamoja. Tafuta mwanamke wa dizaini hiyo kisha rudi hapa ucomment. Hao uliowaelezea, wangefaa zaidi kwenye uzi wa jinsi nilivyokula tunda kimasihara!
Kwani dini ni nini?
Kwanini unataka niamini kama unavyoamini wewe?
Kwa kua umekremishwa ndoa ni msikitini na kanisani endelea kuamini...una mengi ya kujifunza
 
Kwani dini ni nini?
Kwanini unataka niamini kama unavyoamini wewe?
Kwa kua umekremishwa ndoa ni msikitini na kanisani endelea kuamini...una mengi ya kujifunza
Unaongeza matawi kwenye mada nyepesi. Umewahi kuishi na mke hata kwa ndoa ya kimila? Au kwa imani yako ya kipagani ndoa ni nini? Nielimishe basi
 
Katika wanawake ambao Wako rais kutongza ni wake wa watu
Hawa watu ni rais saana
Nimewahi kujaribu kwa wanawake takribani 7 ningekuwa cha uroho Mimi ningelala na wote lakini hali ya uoga inaniingiliaga
 
Katika umri wangu huu nilionao,,
Nimetembea na wanawake zaidi ya 400.
Kati ya hao wanawake 400,, wanawake 20 ni wake za watu..
Leo naanza na 1.


Jinsi nilivyokula mke wa jirani yangu

siku moja nipo nyumbani,,asubuhi nikawa nazunguka zunguka uani kwangu kukaguwa mazingira,,
Nikashtuka kumwona mke wa jirani yangu akiwa kajiinamia pembeni mwa fancy yangu ya nyumba,,
Kwa jinsi alivyokaa anaonyesha ana mawazo mengi Sana,

Nilipomuona nikamsogelea kwa karibu ili nijuwe kulikoni?
ikawa Mimi nipo upande wa nyumba yangu na yule dada yupo upande wa nyumba yao,,

Nyumba yangu na yao imetofautishwa na fancy ya senyenge tu,,
hakuna kizuizi cha ukuta,
hivyo tunaonana muda wote na hata kila mtu akiwa kwake unamwona mwenzio,,

Nilimsogelea yule jirani nikamuuliza kwa utani ,,

"Jirani vipi mbona umejiinamia unaumwa?
Mke wa jirani "hapana jirani maisha tu."

Kuna mambo yananichanganya Sana.,

Nikamwambiya Mimi ni jirani yako usiwe na mawazo kwa Jambo ambalo pengine naweza kukusaidia,,
Shida nn?

Yule dada akainuwa uso wake akanitazama usoni,,
Ndy hapo nilipojiridhisha huyu Dada alikuwa mzuri haswa,
Dada mmoja wa kikurya mweusi wa kung'aa kama jongoo,,
Halafu shepu yake ni balaa na nusu.,

Macho yake mazuri kama yanataka kudondoka,,
akikutazama usoni lazima uhisi Jambo la kusaliti ndoa,,
Mdada yupo so sexy ,,
Ikiwa hapo ni asubuhi amevaa khanga tu kifuani,,
sehem kadhaa za maungo yake ikibaki wazi,,
mapaja lainii,,,
Ziwa dodo ,,

Nikajisemea kimoyomoyo""
huyu dada nilikuwa namtamani siku nyingi Sana,"Leo mbuzi kafia kwa muuza soup,

Na kwa kitendo cha kuonyesha ana shida ikawa nimeshapata upenyo wa kuanzia kumtongoza,,

Nikamwambiya nipe no zako tutaongea kwa simu sababu ya kiusalama hapa nilipo sio pazuri,,

Hiyo ndy code zangu za kumwingia mwanamke ambaye nahisi ni ngumu kueleza hisia zangu moja kwa moja,,

Hua natengeneza mazingira kama kuna hatari fulani ktk Jambo lile la mazungumzo ya hadharani,,
Hivyo natengeneza mazingira ya kukutana pembeni faragha.

Mwanamke atakapoonyesha ushirikiano kwamba kwl hapa tulipo sio pazuri,,
Anakuwa ameshanirahisishia malengo yangu kwake,,

Mke wa mtu, au shemeji,,sitongozi direct,,huna natumia indirect

Natumia code za kufikisha ujumbe kwa kuzunguka lakini naeleweka,,ili hata akiwa hajaelewa somo,,
Ni rahisi kuruka na kusawazisha message ,

Basi pale pale nikamuwekea yule mke wa jirani 50,000 cash muamala kwenye simu yake..

Nikamsindikiza na text jiioni tuonane

Hapo ndy safari ya mapenzi na mke wa jirani yangu ilianza rasmi.

Nilikuwa nazagamua kama nimeoa,,
 
Watu wengi wanaotembea na wake au wahume za watu wanakuja kujutia baadae tena sana.
Sana sana tena sana.
Na maumivu akija kujua ndoa ya kule imevurugika mtu wa namna hio anakuwa anapata majuto sana baadae,
Wewe fanya sasahivi ila kunakipindi ukifika utaumia sana kwa uchofu huo.
Mbona mimi sijawahi kujutia?
Hiyo baadae ni lini
 
Wake za watu wana lahana sio bure.
Wanajitongozesha , wepesi , wanajifanya hawarizishwi na Waume zao. Bumbav zenu🥲🥲🥲

Yaani imefika kuwa , ni usumbufu kumtongoza single girl na imekua rahis kutoka na mke wa mtu..???[emoji848][emoji848]

Wanandoa mjitafakari mna feli wapi ??[emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom