Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Neno hili
 
Niko kwa harakati zangu nimepiga gambe pisi flani ikajitokeza kumbe ni mke wa mtu. Nikaichukua mpaka gheto nikaichapa. Mida ya saa 10 kasoro nikapanga Kuirudisha nikamtuma msela wangu aipeleke na usafiri wangu. Kufika mume wake kazuia chuma kuondoka, mara pisi ikabadilika niliilazimisha show, wakati nilimlipa fresh

Mara napokea simu chuma imezuiwa kuondoka mwamba kaizuia na ameanza kuamsha wananchi wenye hasira kali.
Ikabidi nimpandie hewani mjuba. Akanipa dau analotaka sikutaka kesi iende mbali manake ilikuwa saa 10 inalelekea asubuhi.

Nikaingia ATM nikadrow nikamtuma boda akaipeleka eneo la tukio chuma ikaachiwa, almanusura ichomwe moto. Ingeniharibia CV yangu kitaa kutokana na mishe zangu.

Mke wa mtu ni hatari, wakati mwingine wanawake wanatuingiza kwa misala
 
Huo mtego tu wanacheza sana mademu ili kula hela hapo wamekuchezea mchezo hakuna mke wa mtu wala nn.
 
Ndyo uliona umlipe hv mwenye nyumba
 
Ukiendelea na hio tabia lazma utapakwa mafuta siku moja
 
hii ilitokea Tanzania aisee? mbona hatujawahi kusikia?
 
Ni ngumu sana kunifanyia hivyo na kamwe haitowezekana labda niwekewe dawa ya usingizi ila sio nipo kawaida hivi
Labda kama umeacha wake na madem za watu ila kama bado kuna siku utavunjiwa yai na viuno utakata mwenyewe
 
Tena wewe mbishi mbishi ni mtam kwelikweli maana utaleta ngenga gobole likielekea huko
Hajabisha, kasema labda apewe dawa ya usingizi. Yaani kama anayesema kwa elfu tano hapana labda elfu 10.
 
genius indeed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…