Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Sijui nianze kusimulia yupi wapo zaidbya wanne
Wakwanza tulipatana mtandaon kimasihara sana yani tumefahamiana leo kesho katia miguu nikachakata akanogewa ikapita miezi mingi tunachati tu akaja tena nikachapa zaidi ndo kanogewa mno kidgo anipe jicho kwa utalam wangu. Mumewe napeda muita dady

Mwingine nae nikamnasa huyu ye alikuwa na shida ktk ndoa yake akawa anadai hajawahi ona raha ya kulana mpka alipokutana na mimi nikamfunguwa bomba ananipenda adi kapagawa

Mwingine ni demu wangu anaolew soon nae atakuwa mke wa mtu ila kasema atazid kuprovide huduma non stop wacha asitiriwe, wanawake wanapenda ndoa sana kuvaa shela ni kila ndoto ya mwanamke ila kuishi ndoa ni wachache sana
Na siku wakwko akianza kuchakatwa usiache kuleta mrejesho
 
Mimi huyo mwanamke nilikutana naye barabarani nikamshobokea nikaamua kumpiga sounds akakubali.Tukabadilishana number.

Mume wake alikuwa anafanya kazi mjini kwa hiyo siku Moja mwanamke alinialika kwake nikaenda nikala mzigo Kisha Usiku huo huo nikarudi kwangu.

Niliamua kuachana naye tu.
 
Ukifikiria maumivu atayopata mwanaume mwenzio kwa kutembea na mke wake, kama una akili timamu hauwezi kuthubutu kabisa kutembea na mke wa mwenzio, yale maumivu ni makali sana matokeo yake unaharibu familia nzima ya mwenzako mke ataachika watoto watateseka, sio sahihi kabisa kutembea na mke wa mtu haikufanyi uonekane mwanaume rijali zaidi ya kuonekana ni mwehu
 
Mimi siku nikigundua mke wangu anacheat namuacha wife then jamaa namfungia kazi akibaki hai basi atakuwa kilema maisha yake yote
Mke anauma aisee me kicheche ila nishajiwekea sheria sijawah na sitowah kula mke wa mtu
Wa kudili nae ni mkeo anaegawa utamu nje na anajijua ni mke wa mtu. Utadhuru wangapi? Wee malizana na mkeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
L
Ukifikiria maumivu atayopata mwanaume mwenzio kwa kutembea na mke wake, kama una akili timamu hauwezi kuthubutu kabisa kutembea na mke wa mwenzio, yale maumivu ni makali sana matokeo yake unaharibu familia nzima ya mwenzako mke ataachika watoto watateseka, sio sahihi kabisa kutembea na mke wa mtu haikufanyi uonekane mwanaume rijali zaidi ya kuonekana ni mwehu
Sahihi
 
Sijawahi kutongoza mwanamke yeyote ninaemjua bwana wake, pia sijawahi kumtongoza mwanamke ninaetambua kabisa ni mke wa mtu.

Wanawake wasimbe wapo wengi sana, lakini kwanini ufanye mapenzi na mtu unaetambua kabisa ni mke wa mtu na kila mara anatoka kwa mwanamme kama wewe kipindi anakuja kwako?

Inafikirisha sana.
 
Back
Top Bottom