Tatizo madem wengi hufikiri wanaume ni ATM kitu ambacho vijana wengi hawana huo uwezo hivyo kulazimika kuchukua njia mbadala ya madada poa ambao akiwa na 10k wanamalizana na hakuna kudaiwa kitu kingine..Hilo linawashinda pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo madem wengi hufikiri wanaume ni ATM kitu ambacho vijana wengi hawana huo uwezo hivyo kulazimika kuchukua njia mbadala ya madada poa ambao akiwa na 10k wanamalizana na hakuna kudaiwa kitu kingine..Hilo linawashinda pia
Dah 😀😀Aaaah ww si umesema uko single
Hao madem wengi wanaokuomba pesa unakutana nao wapi wakati unae wa kwako mmoja? Na nyie mna matatizo pia. TulieniTatizo madem wengi hufikiri wanaume ni ATM kitu ambacho vijana wengi hawana huo uwezo hivyo kulazimika kuchukua njia mbadala ya madada poa ambao akiwa na 10k wanamalizana na hakuna kudaiwa kitu kingine..
Tufanye mpango mwaka usiishe huu tufanye mambo 🧑🎄👰Dah 😀😀
😀😀 na kadi za harusi tutaleta humu humuTufanye mpango mwaka usiishe huu tufanye mambo 🧑🎄👰
In deedMke wa mtu sumu
Shida siyo yangu shida ni huyo mke wako kama kweli anajijua mke wa mtu kwa nn akubali mpka anaenda kuvua chupi anapachikwa mboo mpk hapo anakuwa hayambui kama ni mke wa mtu?Ila ni ufahari kutembea na mke wa mtu wakati unajua ni mke wa mtu na ulikanywa kua uyo mke wa mtu na mwenye mke.
All the best
Nimecheka kwa sauti aisee!Kawaida yaani kama mambo vp dada nimependa kalio hilo [emoji3]
What goes around comes around broKwamba usipogonga mwanamke wa mtu ni Kinga tosha kuwa mke wako hatogongwa?
Ni zaidi ya sumu, ni vile tu haijakukutaMke wa mtu sumu hii kauli Haina nguvu now days[emoji23][emoji23]
Kabisa Mkuu, mke anauma mnooMoja ya vitu unajiweka kwenye hatari ya kuondolewa maisha yako ni kutembea na Mke WA MTU. Kifo nje nje!
Nimewahi kushuhudia MTU anauawa Kwa kutembea na Mke WA MTU.
Tembea na Mke WA MTU Ila tambua unatembea na kifo
Kuna watu kuua sio issue tembea uone. Yani ukitembea na Mke wake ni either akuue wewe mwanaume. Au awaue nyie wote au nyote watatu mfe.
Ogopa Sana mahusiano Yana hisia Kali mno
Peleka ushamba wako hukoKuzungumzia ulimlaje mke wa mtu sio ufahari. Ni kuidharirisha taasisi ya ndoa ambayo ndio msingi wa jamii tuliyopo.
Swali la hivi ni kuonyesha namna gani uzinifu unavyohalalishwa wakati ni chukizo kwa Allah... kwa imani zetu mke wa mtu mwingine si wa kumkaribia ukitaka kuishi maisha ya kumkaribia Muumba wako.
Wanawake na wanaume wote wanatafsiri mbili tofauti za kutoka nje ya ndoa. Mwanaume anatafuta kutimiza tamaa mwanamke anatafuta faraja. Kwa nini tusiwe sehemu ya kuisaidia jamii kutoka hapo na tuwe watu wa kushabikia uzinzi?
Mfano wewe unaesoma piga picha kichwani mwako wazazi wako wapo katika ndoa then unamshuhudia mama yako (au kinyume chake) anatoka kingono na mwanaume mwingine asie baba yako utajisikiaje? Haya ndio mambo yanayofanya kwa sasa tunakizazi kisicho thamani ndoa... kimeibuka kuipinga wakati tatizo tunalitengeneza wenyewe.
Masihara haya tuje PMAah waliosingle hatujui kukataa [emoji3] wake za watu ndiyo inabidi wawe wachoyo bana
Unataka tuje kuupdate uzi wa Rikiboy eeh?Masihara haya tuje PM
Kabsa na wewe n single lady hakuna shida.Unataka tuje kuupdate uzi wa Rikiboy eeh?
Okay so kuwa single ina maanishq hakuna ustaarabu ni kujiachia tu? Sawa sawa.Kabsa na wewe n single lady hakuna shida.
sahihi mkuuUkifikiria maumivu atayopata mwanaume mwenzio kwa kutembea na mke wake, kama una akili timamu hauwezi kuthubutu kabisa kutembea na mke wa mwenzio, yale maumivu ni makali sana matokeo yake unaharibu familia nzima ya mwenzako mke ataachika watoto watateseka, sio sahihi kabisa kutembea na mke wa mtu haikufanyi uonekane mwanaume rijali zaidi ya kuonekana ni mwehu