Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Hakuna wanawake ninaowachukia kama hao walioolewa halafu wanagawa, ni zaidi ya mbwa

Nimeishawakataa 4 na sina mda nao kabisa wanasema what goes around comes around

Siwezi kuwa msaliti hata siku moja
Vijana ogopeni sana dhambi na kama hamuamini Mungu, basi msiwape ushirikiano wake za watu hawafai
Kama wanasaliti ndoa zao huoni na wewe utakuja kuchapiwa pia?
Je utajisikiaje?
🔨
 
Mwaka jana niliwahi kutongozwa na mke wa mtu,mume wake ni mwanasheria na lecture wa chuo flani town.

Aliipata namba yangu akaanz kunitext hakuzunguka kabisa akanambia moja kwa moja kuwa anavutiwa na mimi.

Sababu,anasema mume wake hamridhishi sasa sjhi alijuaje kama mimi ntamridhisha,akaandaa hadi mahali pa kukutana ili nimle mbususu,ila siku tuliyopanga sikutokea.

Nilifanya makusudi cos ni ahadi niliyojiwekea kuwa sitakuja kula mke wa mtu ilihali najua fika kuwa ni mke wa mtu.

Mpaka leo akiniona huwa anaona aibu ila huwa hajawahi kunambia chochote nahisi ananiogopa.

N.B MWANAUME WA KWELI HACHAPI MKE WA MTU.
 
Mwaka jana niliwahi kutongozwa na mke wa mtu,mume wake ni mwanasheria na lecture wa chuo flani town.

Aliipata namba yangu akaanz kunitext hakuzunguka kabisa akanambia moja kwa moja kuwa anavutiwa na mimi.

Sababu,anasema mume wake hamridhishi sasa sjhi alijuaje kama mimi ntamridhisha,akaandaa hadi mahali pa kukutana ili nimle mbususu,ila siku tuliyopanga sikutokea.

Nilifanya makusudi cos ni ahadi niliyojiwekea kuwa sitakuja kula mke wa mtu ilihali najua fika kuwa ni mke wa mtu.

Mpaka leo akiniona huwa anaona aibu ila huwa hajawahi kunambia chochote nahisi ananiogopa.

N.B MWANAUME WA KWELI HACHAPI MKE WA MTU.
Wewe una akili sana.!
 
Wakati fulani sisi wanaume ndio chanzo cha wake zetu kuchepuka.

Mwanaume unaondoka nyumbani kwenda kulala kwa mchepuko. Unamwacha mkeo na watoto nyumbani. Hujui wamekula au la. Huachi mahitaji wala hela ya mahitaji.

Mkeo kawa kama siyo mke wa mtu. Anajipigania yeye na watoto. Unategemea nini?

Akikwama lazima atafute mbinu mbadala. Na silaha pekee aliyonayo mwanamke ni kidudu chake. Lazima ataangukia mikononi mwa mbaharia ili wamsaidie kutatua shida zake.

Nimeyaona mengi na mengine nimehusika. Mwanamke umemsaidia, anaamua kujikabidhi kama shukrani na hata kuhitaji msaada zaidi.

Lakini ukumbuke kuwa na yeye ni binadamu. Unachokifuata huko kwa mchepuko na yeye anacho na kinahitaji kuhudumiwa. Nani amhudumie ikiwa wewe umemtelekeza? Ndiyo maana wengine husema WANANDOA WENGI HUPATA RAHA YA NDOA NJE YA NDOA. Huenda sababu ni

1. Wanaume kutotenga muda wa kutosha kuhudumia ndoa zao. Wako busy na majukumu.

2. Baadhi yetu tukishapewa utamu na mchepuko, nyumbani tunalipua kazi. Mama hashibi, anaamua atafute pa kumalizia hamu.

3. Kitendo cha mwanaume kulala nje ya nyumba yako tena mtaa wa pili tu, husababisha mke kuchukia na kuona kama amedharauliwa. Kifuatacho atatafuta kulipiza.

Ushauri wangu, wanaume tujenge tabia ya kuzungumza na wake zetu kuhusu mapungufu ya chumbani na kutafuta namna ya kuyapunguza ili kuwafanya wake zetu kufurahia ndoa zao. Itasaidia sana kukwepa vishawishi.

Pia tuhudumia familia zetu kikamilifu na kwa upendo. Mama ajue kama analala njaa ni kwa vile mumewe hana kitu kabisa.

Nina mengi, muda hautoshi.
Acha kutetea ujinga, hakuna justification yoyote inayohalalisha mtu utoke nje ya ndoa..eti atunzwi,sijui arizishwi,ooh kulipa kisasi ..big no!!!

Mwanamke akiamua toka nje ya ndoa ni maamuzi yake na mapendo yake sio Kwa sabb flani..yupo tu hvo ni malaya period.
 
SSio
Mwanamke hampi mwingine kama hakuna sababu ukiona kampa mwingine basi ujue kuna sababu imetokana na

SSio
Mwanamke hampi mwingine kama hakuna sababu ukiona kampa mwingine basi ujue kuna sababu imetokana na mwanaume
Sio kweli mwanamke kama ni Malaya ni malaya tu,hakuna sabb inayotoka nje ni ndani yake..ww kama umeoa malaya atachakatwa tuu no way out!!!
 
JAMAA YANGU ALINUSURIKA KIFILO


Ngoja nielezee kisa kimoja kilichomkutaa Jamaa Yangu wa Karibu maeneo ya Dodoma Pestana Pub mwkaa 2019 kama sikosei

Tulikuwa tuna kawaida ya kukesha siku ya Jumamosi kuamkia Jumapili, yani tungi mpka morning kwasababu jumapili tulikuwa off.

Sasa Jamaa yangu yeye alikuwa na tabia mbaya ya kujibebea mwanamke yyte pale pub na kwenda kumchakata kwao( yani anaenda kwenye nyumba ya demu badala ya lodge)

Nilimshauri lakini hakusikiaa.
————————————————————
Siku ya siku akakutana na manzi hivi umri kama 32-35 kimuonekano hivi zikaivana na demu akamwambia kuwa amegombana na mume wake na wameachana mume kahamia kwa nyumba ndogo hivyo anatafuta “A shoulder to cry on” lakini tunajua hii hubadilika kuwa “A dick to ride on”

Jamaa yangu hata hakuniaga, wakabebana na mapombe hao kwa manzi.

Kumbe banaa kuna mtu anamfahamu mume wa yule dada na akamsanua,

KILICHOTOKEA.

Mume wa yule manzi katimba na kikosi cha mtu 4 saa 11 alfajiri fulu mafuta fulu condom fulu KY kuja kumpa Jamaa yangu Kifilo kitakatifu[emoji23][emoji23][emoji23]

Yule mseng. ana bahati hakuwa amelewa sana na katika purukshani za zile mbavu kutaka kubomoa mlango wa nyumba ili waiingie wagawe kifilo(Jamaa na manzi waligoma kufungua kwa uoga), Akajitokeza jirani nyumba ya 2 ni mwanajeshi alitoka na bunduki akijua labda ni Panya road wamemvamia jirani.

Badae kuja kujua msala akawatuliza na majirani wakajaa jaa Jamaa yangu akafungua mlango akapigwa makofi ya hapa na pale akabebwa polisi kutoa faini.



LEO HII ANABAKI KUSIMULIA KISA HIKI MAISHA YAKE YOTE[emoji23][emoji23][emoji23]


ENDELEENI KULA WAKE ZA WATU.
 
JAMAA YANGU ALINUSURIKA KIFILO


Ngoja nielezee kisa kimoja kilichomkutaa Jamaa Yangu wa Karibu maeneo ya Dodoma Pestana Pub mwkaa 2019 kama sikosei

Tulikuwa tuna kawaida ya kukesha siku ya Jumamosi kuamkia Jumapili, yani tungi mpka morning kwasababu jumapili tulikuwa off.

Sasa Jamaa yangu yeye alikuwa na tabia mbaya ya kujibebea mwanamke yyte pale pub na kwenda kumchakata kwao( yani anaenda kwenye nyumba ya demu badala ya lodge)

Nilimshauri lakini hakusikiaa.
————————————————————
Siku ya siku akakutana na manzi hivi umri kama 32-35 kimuonekano hivi zikaivana na demu akamwambia kuwa amegombana na mume wake na wameachana mume kahamia kwa nyumba ndogo hivyo anatafuta “A shoulder to cry on” lakini tunajua hii hubadilika kuwa “A dick to ride on”

Jamaa yangu hata hakuniaga, wakabebana na mapombe hao kwa manzi.

Kumbe banaa kuna mtu anamfahamu mume wa yule dada na akamsanua,

KILICHOTOKEA.

Mume wa yule manzi katimba na kikosi cha mtu 4 saa 11 alfajiri fulu mafuta fulu condom fulu KY kuja kumpa Jamaa yangu Kifilo kitakatifu[emoji23][emoji23][emoji23]

Yule mseng. ana bahati hakuwa amelewa sana na katika purukshani za zile mbavu kutaka kubomoa mlango wa nyumba ili waiingie wagawe kifilo(Jamaa na manzi waligoma kufungua kwa uoga), Akajitokeza jirani nyumba ya 2 ni mwanajeshi alitoka na bunduki akijua labda ni Panya road wamemvamia jirani.

Badae kuja kujua msala akawatuliza na majirani wakajaa jaa Jamaa yangu akafungua mlango akapigwa makofi ya hapa na pale akabebwa polisi kutoa faini.



LEO HII ANABAKI KUSIMULIA KISA HIKI MAISHA YAKE YOTE[emoji23][emoji23][emoji23]


ENDELEENI KULA WAKE ZA WATU.

Kuanzia hapo kwenye mjeshi kutoka na Bastola kama kuna editing ya story!?
 
Ulishawahi: Ndio mara mbili

Mlianzaje: Ya kwanza Kimasihara, Wa pili alitupanga wawili ila mwenzangu akaoa ila akawa bado ananiletea.

Ilikuwaje:

Ya kwanza:

Work-mate,ilianzia siku ya Birthday yake nilimuahidi zawaid ya kumpa hug,kulana ilianza siku niliposahau kitu cha ofisini nyumbani nikataka chukua boda nirudi home, ila yeye akasema ngoja niku rush.

Tulipoona tunaenda deep,tuliamua kusitisha kuchakatana na yule dada, siku tunaagana kwa msgs yule mdada alisahau kufuta texts afu zilikua full kuliliana. At last mume alikuja kuta hizo msgs.

Ya pili:
Mnaelewa kuoa mke sio wako kimahesabu, kifupi jamaa kaoa demu wangu ingawa yeye ndio alianza.
 
Back
Top Bottom