Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

na wewe tunakuua Eti nisikie umeua Ndugu yangu
walahi hutomaliza wiki!
Kwa Risasi au Kwa Sumu kazima Nikuue!
Huwezi Kumuua Ndugu yangu kisa Eti Mke wako tena Mtu mzima mliekutana nae Ukubwani!
Labda Umuue Jamaa ambae ndigu zake ni Fala
Kumuua ni rahisi kusema tu mdomoni,na ukifanikiwa kumuua,jitahidi ukwepe mkono wa dola.Hiyo gemu zuri sana.Majuzi mdada nampanga,kuja kujua ameolewa,na jamaa yake ananijua,niliachana na plan ya kulala nae.Mke wa mtu siyo mzuri,mwanaume wake akijua,ni hatari,bora umshawishi aachane na mumewe,ili uwe huru nae,kuliko uwe unamuiba,halafu mumewe yukoresponsible kwa kila kitu.
 
Nikishajua huyu ni mke wa mtu wala mazoea huwa sitaki kabisa.

Kama vile ambavyo usingependa mkeo atoke na mwanaume mwingine basi yakupasa na wewe mwanaume usimfanyie huo upuuzi mwanaume mwenzio. Ikitokea ni labda ukiwa hujui ila sio ukiwa conscious kabisa.
 
na wewe tunakuua Eti nisikie umeua Ndugu yangu
walahi hutomaliza wiki!
Kwa Risasi au Kwa Sumu kazima Nikuue!
Huwezi Kumuua Ndugu yangu kisa Eti Mke wako tena Mtu mzima mliekutana nae Ukubwani!
Labda Umuue Jamaa ambae ndigu zake ni Fala
Hahaha huna guts za kumiliki silaha... wewe ni mlugha lugha tu
 
Niliendelea tu mpaka msimu ulivyoisha kuna kitu kikinipa nguvu kidogo ni kwamba ile nyumba mzee sio yakwake ni ya yule mke ndio maana sikuogopa sana yule mama alikuwa ananiambia hakuna chakutufanya yule mzee,halafu pia kule umwerani wanatuogopa mno wamakonde na wiki 2 zijazo naenda tena msimu umeanza na nitafikia nyumba ile ile
𝐙𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐤𝐢𝐛𝐚𝐨𝐧𝐢,𝐧𝐣𝐢𝐧𝐣𝐨 𝐚𝐮 𝐧𝐚𝐤𝐢𝐮
 
Ukweli mke wa mtu sumu. Ila wao pia wana nyege na tamaa so unakuta mnapeana vikojoleo.

Tucheze kwa akili na amani. Sema ukipata mke wa mtu anayependa kukanyagiwa choo afu mumewe hajui au hafanyi utakula mema ya nchi
Mara nyingi mume hajuagi,na kwa mumewe full respect,hawezi kumuonyesha kama anakanyagwa choo.
 
Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa[emoji848]
Hahaha ha kumbe uko single
 
Huwa nawaza tu kitu kimoja. Kama ninamshika mke wangu na mwanaume mwingine, sina haja ya kugomnana na mwanaume huyo.

Adui yangu ni mke wangu kwa kuwa ni mtu mzima na anajua anachokifanya na anakifanya kwa sababu anazozijua yeye.

Hakuna haja ya kumwua mwanaume mwenzangu, nitapamabana na mkewangu. Naye sitapigana naye bali achukue hamsini right kutoka nilipomfumania kuelekea ama kwao ama kwa huyo jamaa yake.

Hatagusa nyumbani kwangu tena.
Yaani wewe ndio uko sahihi kwa 100% Hawa wengine wanaweka mihemko mbele hali ya kwamba wekamilika kweli.
Wake zetu tulio wengi hatuwatimizii nahitaji Yao. Mfano kuwa maliza miwasho, hela na mda wa kukaa nao
 
Siyo mke wa mtu,mimi hata ile kujua tu alishamegwa na flani halafu na mimi niunge tela!
Hiyo ngumu sana na sipendi.
Mimi hata mke wangu nilishamwambia kuwa akihisi kuna kitu hakipati kwangu ila kinapatikana mahala,yeye asinifiche. Aende kwa kuniaga hata usafiri wa kusafirisha mizigo yake nitampatia kuliko ku share mapenzi.

Hapo ni kiroho safi kabisa yaani.
Hili lilinifanya niwe na tabia ya kuwa na mwanamke mmoja tu hata enzi za ujana wangu,akizingua nakata mti,baada ya mwaka mmoja au zaidi ndo naziba nafasi.
Wewe sio mtombaji
 
na wewe tunakuua Eti nisikie umeua Ndugu yangu
walahi hutomaliza wiki!
Kwa Risasi au Kwa Sumu kazima Nikuue!
Huwezi Kumuua Ndugu yangu kisa Eti Mke wako tena Mtu mzima mliekutana nae Ukubwani!
Labda Umuue Jamaa ambae ndigu zake ni Fala
Sasa uhoni na wewe ukiua ndugu zake wataanza kukuwinda na wewe.
Yani umalaya wa kaka yako au mjomba wako au baba mkubwa au Baba mdogo au mtoto wa Shanghai yako, au mtoto wa baba mkubwa au baba mdogo unataka kukuathili familia yenu yote. Wewe uhoni kama wewe ndo utakuwa na matatizo.
Mkianza kuwindana itakuwaje just image.
 
Kumuua ni rahisi kusema tu mdomoni,na ukifanikiwa kumuua,jitahidi ukwepe mkono wa dola.
Anafikili ni rahisi kufanya hivyo.
Sasa kama akiuwa na wewe ukajua ni mtu flani mbae ni mume wake ndo kafanya hivyo.
Inamaana na ndola itakuwa is washajui na kumkamata mume huyo.
Sasa na wewe unaenda kuuwa tena ajioni na yeye atakamatwa 🤣🤣🤣🤣🤣.
Hasira zingine bwana.
 
Mke wa mtu sio mtu mzuri jamani acha tuu kunakisa kimoja nilisikiliza simulizi la sauti Channel ya YouTube.
Jamaa watu walimwambia mkeo anakucheat mtaani hapa.
Akaamua kumpangia tukio akajifanya anasafili ili amkamate.
Siku hio akapanga na wahuni akaaga jioni watu wakamwambia njoo huko tayari , jamaa kafika pale home akamkuta kweli mkewe yupo na njemba ndani , vurugu za wananchi zikaanza jamaa mwenye mke akaaita police.

Police wamefika pale akawaambia mchukueni jamaa mimi nitabaki na mke wangu coz ndie mwenye makosa.
Police wakaamchukua jamaa na kutawanya watu.

Mkewe kesho yake asubui akamtoroka jamaa na kurudi kwao.

Baada ya wiki mbili jamaa akasikia mkewe kafaliki kwenda kwenye mazishi walimzuia asiuzulia kutoka familia ya mkewe.
Ila cha kushangaza mgoni naye akafaliki wiki moja baada ya kifo cha mkewe.

Jamaa anasema hakuwafanya chochote.

Mke wa mtu sumu .
 
Watu wengi wanaotembea na wake au wahume za watu wanakuja kujutia baadae tena sana.
Sana sana tena sana.
Na maumivu akija kujua ndoa ya kule imevurugika mtu wa namna hio anakuwa anapata majuto sana baadae,
Wewe fanya sasahivi ila kunakipindi ukifika utaumia sana kwa uchofu huo.
 
Back
Top Bottom