Ulishawahi kuwa addicted?

Huwa nadhani niko peke yangu. Naweza nikasahau nilipokuwa naenda nikikuta mpira hata wa timu ambazo sizifahamu.
Sasa kimbembe ni pale Man United anapokuwa uwanjani, hata mke wangu aniambie njoo namwambia asubiri mpira uishe.
 
Nimeshindwa kuacha kuvuta unga toka mwana 98


Na kucheza video games mpk kesho mm bado nacheza game tena sasa hivi mwanangu akifunga shule ndio tunapiga game mpk saa 8 usiku


na umeoa? duh !mkeo anajua unavuta unga ? ila nyie wanaume nyie jaman !
 
kupika kupika kupikaa do ba
Nimeshindwa kuacha kuvuta unga toka mwana 98


Na kucheza video games mpk kesho mm bado nacheza game tena sasa hivi mwanangu akifunga shule ndio tunapiga game mpk saa 8 usiku
hivi alosto haikupati..mazee acha bora bangi kuliko unga doh
 
Duh madam kuna wakati nikiwa mvulana niliwah kumpenda Bhooke mpenzi wangu hadi nikipishana na mwanamke mwingine njiani alomzidi sura najishtaki kwake...siku hizi ni ex wangu na huwa namtumia happybirthday sms mara moja kwa mwaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…