Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goodmorning honey...Mimi ninadhani niko kwenye hali hiyo, sijawahi kupigwa ban, lakini babu Aspirin akitaka hug usiku ananikuta niko JF, mbona kasheshe.
Me more...I ❤️U
yawezekana kweli...itabidi nitafute kungwi anifundishe lolMm natumia unga wenyewel kbs kutoka medelin colombia
doh hauna madhara kama huu unaouzwa kinondoni eh..
Kupika huwezi ww
yawezekana kweli...itabidi nitafute kungwi anifundishe lol
kwa kweli nimekusikia ndo maana nimesema nitaenda shule kabsa lolUnaunguza kila cku
Mkuu hiyo ni homa ya jiji watu tunasahau hadi kula.Mimi mpaka sahivi nipo addicted na video games nikijifungia kucheza Ps3 huwa nasahau kula na ninaweza nikakesha nacheza tu nashindwa kuacha sababu nayapenda mno
Nimecheza sana Mpira nina hadi medals za ndondo cupCha ajabu huo mpira kuucheza huweziii[emoji34][emoji34]
kwa kweli nimekusikia ndo maana nimesema nitaenda shule kabsa lol
Nimecheza sana Mpira nina hadi medals za ndondo cup
BIG NO bora nivute bangi kuliko hii kitu,ilikua namwambia hapo nitaenda shule ya mapishi,nikafundwe kwasababu anadai kila nikipike lazima niunguze hahahahaaa! au nitakuja kwa MBITIYAZA unifundee shost...charty unataka kuanza kuvuta unga?? au sijakuelewa
mumeo ana bet pia? maana raha ya kupenda mpra ujue na kubet ili ukufaidishejaman mie unavyoongea hvyo ni mume wangu !jaman sipend mwanaume aliyetumbukia kwenye janga la mpira !!!!!!hamnaga ya kufikiri mengine zaid ya kuangalia mpira ! nakereka sana jaman !dah yeye anaitwaga shevishenko kbs !arghh
mumeo ana bet pia? maana raha ya kupenda mpra ujue na kubet ili ukufaidishe
Muache apende hivo bwana je angekua addicted na wanawake si ungelia kila mara kama umetiwa kitunguu maji.balaa had nachefuka!
BIG NO bora nivute bangi kuliko hii kitu,ilikua namwambia hapo nitaenda shule ya mapishi,nikafundwe kwasababu anadai kila nikipike lazima niunguze hahahahaaa! au nitakuja kwa MBITIYAZA unifundee shost...