MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Muache apende hivo bwana je angekua addicted na wanawake si ungelia kila mara kama umetiwa kitunguu maji.
hahaa hujaelewa tu maana ya addiction ya mpira !ni hana tym ya kukaa na familia yake !huwa namshauri achukue hata kaform kakugombea bas ukatibu wa mpira mkoani kwake !jaman hapaana jaman too much! yaan nataman sijui kufanya nn !hapanaa