Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,803
- 1,601
Na wewe eti ni great thinker! hakuna unachowaza zaidi ila kupekua pekua maisha yasiyowahusu! People with simple minds....
hahahahaha!I will be back with ukweli
hapa greti thinka limeongea kwa hasira kweli. heheeh inawezekana hela ya cafe imemaliza na bado linataka kupost yuziful post ndio chanzo cha hasira zake. au labda fomu zake za kugombea ubunge hazikupokelewa jimboni/bungeni.
ah klorokwin dawa ya malaria. afadhali umetokea, maana kuna watu wana hasira utadhani wametoka kufumania, wallah ningekuwa karibu naye angenipiga kofi lol. anatamani kuboboa monitor yake.
Am not married na sijawahi kuwa na mahusiano na mtu mwenye ndoa.
Geof mbona huja-vote?
Huyo uliyenaye unacheat au la?
Carmel rafiki hope hutajali kama nitaendelea kukaa kimya sawa ee:A S 465:....
Carmel rafiki hope hutajali kama nitaendelea kukaa kimya sawa ee:A S 465:....
Carmel rafiki hope hutajali kama nitaendelea kukaa kimya sawa ee:A S 465:....