Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

Umewahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

  • NDIO

    Votes: 48 60.0%
  • HAPANA

    Votes: 33 41.3%

  • Total voters
    80
mmefikia wapi na mahesabu yenu..... :brick:

sijawahi cheat,ila sina mipaka! mtu akinitongoza...siangalii huyu ni mume wa mtu ama sio!...na habari ndio hii!

nyie mnaoswear hapa,kuwa waume zenu hawajawahi cheat,nina hamu ningepata 'wasaa' hata kama mchache na waume zenu...:target::target:.
 
You are definetely not my type, so arguing with you is wastage of my time. you dont even know what you are saying. You are full of bitterness and stress. take a break pal, drink a glass of water and go to sleep. you will be fine when you wake up and thats when you will realize men dont dont talk like that unless they are gays.😛ainkiller:

Oh! Gosh! Did I tell you that you're my type? When did I do that? Sina stress yoyote ile ila nakushangaa wewe kila siku huna cha maana cha kuzungumza ila ngono tu. Hakuna topic za kutaka kujiendeleza kielimu, kibiashara n.k. ni ngono ngono ngono tu. Ukilala unawaza ngono na ukiamka unawaza ngono na kutaka kupekua maisha ya watu. Inaonyesha ni jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyokuwa finyu. Umeshafahamu wanaume wangapi na wanawake wangapi wanaocheat katika ndoa zao? na wanacheat mara ngapi kwa wiki, mwezi na mwaka? Akili finyu utazijua tu hazipotei hata kwenye kadamnasi.
 
Ndoa yangu ina miaka 4 sijawahi kucheat kwenye ndoa. ila huko nyuma kwenye ubachela nimeshawahi kucheat
 
Kama wewe ni married sema ' Mimi ni married na nimesha wahi kucheat mara kadhaa''.QUOTE]

My friend Carmel, sikutaka kuchangia humu ila ngoja niseme tu.

6 months baada ya kuoa, niliamua kugeuka jiwe na kuanza ku''cheat'' kidogo na mabinti kama watano tofauti lakini bahati mbaya sana wote nilipata same experience.

Baada ya kufanya mambo, usumbufu uliofuata ulikuwa mkubwa mno - flashing za ovyo ovyo bila mpangilio, hata usiku nikiwa na my wife wangu, message zinatumwa bila mpangilio, mizinga isiyo na mpango etc etc. Yaani nilikuwa nakosa raha na uhuru, especially ninaporudi home. Baada ya kufikiri kwa muda nikagundua na kuamua kuwa haina maana yoyote kuendelea na maisha yale wakati nina kitu ndani.

So, since then, nipo clean!

Kujua tu watu wangapi wamecheat, mara ngapi, na mke/mume wa mtu etc sio issue sana, nadhani baada ya ''poll' yako, then tuje uanzishe poll nyiingine na kutafyta why watu wanaamua ku ''cheat''. Ni tamaa za kawaida tu, ufisadi (yes!), opportunity imejitokeza, shida, kutotosheka ndani ya mahusiano yao, tabia tu etc
 
Mada ngumu na nzito lakini ni vizuri watu wakawa wakweli huenda wengine wakapata uponyaji kupitia mada hii.

Nimewahi kusema huko nyuma kuwa ninamshukuru Mungu bado niko salama mpaka sasa.

Ndoa yangu ni ya miaka tisa sasa na sijawahi kutembea nje ya ndoa. Hata kabla ya kuoa sikuwahi kulala na msichana/mwanamke yeyote kwa sababu zifuatazo;

1. Nilihesabu kulala na msichana/mwanamke ambaye si mke wangu ni kumkosea Mungu (Dhambi)
2. Niliogopa kuwa nikilala na msichana raha/utamu nitakaopata kwake nitakuwa naulinganisha na utamu atakaokuwa ananipa mke wangu. Comparison hiyo niliogopa ingekuja kuniathiri na kujikuta sitosheki kwa mke wangu.
3. Sikutaka awepo msichana/mwanamke yeyote ambaye angemdharau mke wangu kisa alitangulia kulala na mimi.

Hivyo hata baada ya kuoa sababu hizo ndizo bado zinanifanya nisitembee nje ya ndoa. Pamoja na kuwa na majaribu ya kuwa mbali na mke wangu kwa miezi kadhaa kwa sababu ya kazi lakini navumilia kwani nikirudi nyumbani inakuwa kama ndo tumerudi honey moon ya miaka tisa iliyopita.

Nawashauri ambao hawajawahi kwenda nje ya ndoa/hawajawahi kucheat wasifanye hivyo na hii itawapa kuwafurahia wenzi wao na kufurahia ndoa zao.
 
......Sijawahi cheat na wala sitokuja kucheat, ndoa yangu almost ni miezi 6 sasa. Na kabla ya ndoa mimi na my hubby tuliweka kanuni kwamba kama mmoja wetu atakuja cheat basi ndio utakuwa mwisho wa ndoa yetu.
 
...... Mimi na my hubby tuliweka kanuni kwamba kama mmoja wetu atakuja cheat basi ndio utakuwa mwisho wa ndoa yetu.

Si mpaka ujue kama kacheat au umkamate live!?

Kuna watu hata wakibambwa, wanasema it wasnt me!
 
Si mpaka ujue kama kacheat au umkamate live!?

Kuna watu hata wakibambwa, wanasema it wasnt me!

............Mwenzako akicheat lazima utaona dalili tu, hivyo akicheat no discussion ni divorce tu.
 
............Mwenzako akicheat lazima utaona dalili tu, hivyo akicheat no discussion ni divorce tu.

Hapana bana.......kufikiria divorce ni kwenda mbali mno Pretty. Discussion kwanza
 
......Sijawahi cheat na wala sitokuja kucheat, ndoa yangu almost ni miezi 6 sasa. Na kabla ya ndoa mimi na my hubby tuliweka kanuni kwamba kama mmoja wetu atakuja cheat basi ndio utakuwa mwisho wa ndoa yetu.

Wajameni kuachana katika ndoa siyo rahisi hivyo...kikubwa tuombeane mungu tufike bandarini salama. Nyingine zinaweza kuwa longolongo maana hujafa hujaumbika.
 
kwa mlioko Marekani na mnajua mmewahi kucheat mnayo haki ya kutojibu swali hili kwa mujibu wa Mabadiliko ya 5 ya katiba ya marekani! - so mnaruhusiwa kusema "I plead the fifth" in the tradition of Dave Chapelle! Kumbuka lolote utakalosema hapa ukipuuzia haki yako hiyo laweza na litatumiwa dhidi yako kwenye mahakama ya chumbani.

Kwa upande wangu, I plead the fifth!
 
............Mwenzako akicheat lazima utaona dalili tu, hivyo akicheat no discussion ni divorce tu.

Aaah wapi! Kuna wengine hakuna cha dalili wala nini. Na hata kama unaona dalili hiyo haimaanishi chochote kwa sababu unaweza ukawa uko insecure tu. Na so called dalili si kumkamata mtu red handed kwa hiyo dalili hazithibitishi chochote.
 
kwa mlioko Marekani na mnajua mmewahi kucheat mnayo haki ya kutojibu swali hili kwa mujibu wa Mabadiliko ya 5 ya katiba ya marekani! - so mnaruhusiwa kusema "I plead the fifth" in the tradition of Dave Chapelle! Kumbuka lolote utakalosema hapa ukipuuzia haki yako hiyo laweza na litatumiwa dhidi yako kwenye mahakama ya chumbani.

Kwa upande wangu, I plead the fifth!

You...of all people...you plead the fifth?....Lol
 
Mh! Hii mada! Binafsi nashindwa hata kujisemea kimoyo moyo kuwa niliwahi kucheat kwani nahisi kama wife ananisikia na roho inanisuta.
 
Wakubwa mmezunguka lakini hakuna alojibu hoja hapa. Binafsi sijawahi kucheat. Niko single for life for the sake of God's service that i vowed to offer to his people!
 
Sijui jinsi ya kuweka poll hapa, hope mods will do the needful.

Naomba tu kujua wangapi humu kama wako kwenye ndoa na kwa umri wa ndoa zao wameshaengage in sexual activities na watu tofauti na wenza wao. (cheating). Na pia kwa wale ambao ni singles, wangapi wamesha cheat na waume au wake za watu? Kuweni free tu ili tujue statistics za hapa Tz kwenye hili swala, tusibishanie maneno. Kwa vile wengi sana wanasema its normal to cheat i hope hatutaogopa kuvote hapa.
Kwa mfano. kama wewe ni single sema "mimi ni single sijawahi au nimewahi kucheat na mke au mume wamtu"
kama wewe ni married sema ' Mimi ni married na nimesha wahi kucheat mara kadhaa"

Pia addition information unaweza kutueleza uliewahi kucheat naye ni same person au different people over a certain time, hata sababu zilizokupelekea kucheat pia would be appreciated. Je spouse wako alijua, aliwahi kuhisi au amelala usingizi wa pono, yani hajui kinachoendelea.
Tuwe wakweli basi. thanks.

....duuuh, mshafikishana mpaka kwenye masuala ya kuungama sasa? aaah, endeleeni tu mimi bado kwanza....nitaungama siku nyingine.
 
Back
Top Bottom