Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

Umewahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?

  • NDIO

    Votes: 48 60.0%
  • HAPANA

    Votes: 33 41.3%

  • Total voters
    80
mmefikia wapi na mahesabu yenu..... :brick:

sijawahi cheat,ila sina mipaka! mtu akinitongoza...siangalii huyu ni mume wa mtu ama sio!...na habari ndio hii!

nyie mnaoswear hapa,kuwa waume zenu hawajawahi cheat,nina hamu ningepata 'wasaa' hata kama mchache na waume zenu...:target::target:.

Roselyn1 hii kauli tata sana kwangu nimeambulia zero ..sijaelewa kabisa maelezo yako yaliyofatia baada ya hapo
 
Roselyn1 hii kauli tata sana kwangu nimeambulia zero ..sijaelewa kabisa maelezo yako yaliyofatia baada ya hapo
Hujaelewa nini FL1? Anawatahadharisha msiringie sana waume zenu, sababu akipata nafasi ya kuwaona.....
 
Hujaelewa nini FL1? Anawatahadharisha msiringie sana waume zenu, sababu akipata nafasi ya kuwaona.....

full kujiamini ...chako kipende na kiringie bwana usipokiringia wewe ndo huyo Roselyn1 anakwapua na kuanza kukuringishia
 
unaweza kuanzisha mada na wewe kisha ukaweka maswali unayotaka yajibiwe na ntakuja kuyajibu huko kwenye thread yako. kama hujisikii kujibu unaweza pita kimyakimya, sio wewe tena kunitngia mimi cha kuuliza.
Pole sana Carmel, sikujua hauko tayari kukutana na challanges bali unapenda kusikia kile unachokijua. Samahani endelea na porojo zako
 
mmefikia wapi na mahesabu yenu..... :brick:

sijawahi cheat,ila sina mipaka! mtu akinitongoza...siangalii huyu ni mume wa mtu ama sio!...na habari ndio hii!

nyie mnaoswear hapa,kuwa waume zenu hawajawahi cheat,nina hamu ningepata 'wasaa' hata kama mchache na waume zenu...:target::target:.
Naomba twende PM Rosey

Samahani kama nimewakwaza wengine.
 
Marriage Man with boys kuna wife wa mtu alikuwa kama waifu wangu kabla ya kuoa , maana kila mara nilimpata na naamini nilikuwa namchosha saana lakini baadae nikaona si sahihi nikalazimisha kuua uhusiano ingawa ilileta ugomvi mkubwa saana mpaka nikabadilisha namba za simu , cha ajabu siku mmoja nikakutana na Mume wake na kujua ni mshkaji ila alipooa mimi sikujua na alivyoniambia amemuoa nani mpaka leo napiga chenga kumtembelea kwake wakati mwingine wizi mbaya but i had great time with that woman she was Great on Be.......d !!
 
Hedeeeeeeeeeeeeeeee rosylene1 hedeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!......
 
Jamani naomba kuuliza, hivi kama ukikutana na ex wako ambaye kashaoelewa au kashaoa, mkaamua kukumbushia, hiyo nayo mnaita ku-cheat? I am just thinking aloud.

Una habari kuwa mahawala huwa hawaachani kamwe ndo hiyo kukumbushia muhimu maujuzi.
 
Hivi kuna mtu ambae ha-cheat ktk dunia hii?
Nadhani jibu limepatikana hapo toka kwangu...

Nadhani hapa dhamiri zinatushitaki kutokana na mada hii. Naona mada imegusa tabia ya wengi, ya KUCHEAT. Mimi niwahi kucheat nilipokuwa kijana, ila nimeacha baada ya kugundua kwamaba hainisaidii kitu chochote zaidi ya kunivunja heshima na kumkosea MUNGU wangu.
 
Nadhani hapa dhamiri zinatushitaki kutokana na mada hii. Naona mada imegusa tabia ya wengi, ya KUCHEAT. Mimi niwahi kucheat nilipokuwa kijana, ila nimeacha baada ya kugundua kwamaba hainisaidii kitu chochote zaidi ya kunivunja heshima na kumkosea MUNGU wangu.

na pia ungeweza kusababisha maafa ndani ya nyumba ,magonjwa au ndoa kuvunjika..well done
 
Xpin umenifurahisha sana yaani we unadhani kila mtu ni mzinzi kama wewe hahahahahahaaaaaaaaaaaa
Ntake radhi kiongozi. Mimi siyo mzinzi. Mimi ni mdumisha mila. Tofautisha hivyo vitu viwili hapo.
 
kwa mlioko Marekani na mnajua mmewahi kucheat mnayo haki ya kutojibu swali hili kwa mujibu wa Mabadiliko ya 5 ya katiba ya marekani! - so mnaruhusiwa kusema "I plead the fifth" in the tradition of Dave Chapelle! Kumbuka lolote utakalosema hapa ukipuuzia haki yako hiyo laweza na litatumiwa dhidi yako kwenye mahakama ya chumbani.

Kwa upande wangu, I plead the fifth!

Tufafanulie kwa kiswazi bana!
 
mmefikia wapi na mahesabu yenu..... :brick:

sijawahi cheat,ila sina mipaka! mtu akinitongoza...siangalii huyu ni mume wa mtu ama sio!...na habari ndio hii!

nyie mnaoswear hapa,kuwa waume zenu hawajawahi cheat,nina hamu ningepata 'wasaa' hata kama mchache na waume zenu...:target::target:.

Du, kweli kuna kila aina ya micharuko huku duniani and may God forbid.
 
Oh! Gosh! Did I tell you that you're my type? When did I do that? Sina stress yoyote ile ila nakushangaa wewe kila siku huna cha maana cha kuzungumza ila ngono tu. Hakuna topic za kutaka kujiendeleza kielimu, kibiashara n.k. ni ngono ngono ngono tu. Ukilala unawaza ngono na ukiamka unawaza ngono na kutaka kupekua maisha ya watu. Inaonyesha ni jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyokuwa finyu. Umeshafahamu wanaume wangapi na wanawake wangapi wanaocheat katika ndoa zao? na wanacheat mara ngapi kwa wiki, mwezi na mwaka? Akili finyu utazijua tu hazipotei hata kwenye kadamnasi.
Kaka/dada, sasa hizi mada za kingono ngono we unazichangia za nini? ingekuwa vema kama ungeacha kujistress kuingia huku, huku kuwe danger zone kwako, hivyo ningekuelewa. si kuna jukwaa la siasa kule, nenda kapige porojo, au better yet kuna jukwaa la uchumi nenda kajenge uchumi wa familia yao. mbona unaumia sana, tatizo ni nini? unacheat sana nini hadi unaona tunaongea yanayokuumiza roho? kama huipendi hii mada na yoyote nayoanzisha unazifunguaga za nini? na mods wame do the needful, wanaandika kabisa jina la mwanzisha thread, sasa si uwe unazipita tu ili usijikwaze? na ni nani aliyekuweka kiranja hapa ndani unaeamulia watu nini waandike na nini wasiandike? unaweza kuomba kazi kwa invisible uwe mod may be it will give the authority you really crave to have.
 
Back
Top Bottom