Ulisikia muziki huu kwa mara ya kwanza Ukiwa wapi?

Ulisikia muziki huu kwa mara ya kwanza Ukiwa wapi?

Jose hakuwa akimiliki any disco 82/83, japo I was still a kid lakini kulikuwa na number of young dudes(na Jose akiwemo) waliokuwa wakipiga kwenye houseparty za zama hizo. Unajua zile vyombo vya nyumbani lakini ndiyo vinatumika kwenye home yards au summits na mna-enjoy sana tu.
Back to the topic: Robert 'Kool' Bell, JT and others(Kool and the Gang) enzi za hizo wengine tulikuwa watoto hata houseparty hizo labda kuzingulia madirishani but I used to love music na niliimba in my own funny ways lmao. Childish yeah but it was all vibe.
Pale Morogoro Bilibi ilikuwa inapiga kwenye kumbi za starahe, siyo majumbani, na DJ wake mkuu (nimesahau jina lake) alikuwa na undugu na DJ wa Clouds (au Mawingu) ya Dar es Salaam ambaye nadhani alikuwa ni Joseph Kusaga.
 
Bilibi ilikuwa inapiga kwenye kumbi za starahe, siyo majumbgani, na DJ mkuu (nimesahau jina lake) alikuwa na undugu na DJ wa Clouds ya Dar es Salaam.
I know the guy since childhood, ila utotoni madisco nimeanza kuyafahamu nilipoanza form one. Before that I didn't know any discotheque na hata boogie dances kama za YMCA nimeanza kwenda nikiwa form one.
 
Kaoma (Loalwa Braz)- Lambada

Huyo mwimbaji Loalwa Braz mwenyewe alifariki 2017; hao watoto wawili walioweka chachu kwenye wimbo huo walichukua maisha ya tofauti kabisa baada ya hapo. Yule mvulana Chico alimua kuwa mchungaji kwenye kanisa la kiprotestant, na yule msichana Roberta akawa mcheza sinema.


View: https://www.youtube.com/watch?v=-hosJTEjYQ4
 
Jose hakuwa akimiliki any disco 82/83, japo I was still a kid lakini kulikuwa na number of young dudes(na Jose akiwemo) waliokuwa wakipiga kwenye houseparty za zama hizo. Unajua zile vyombo vya nyumbani lakini ndiyo vinatumika kwenye home yards au summits na mna-enjoy sana tu.
Back to the topic: Robert 'Kool' Bell, JT and others(Kool and the Gang) enzi za hizo wengine tulikuwa watoto hata houseparty hizo labda kuzingulia madirishani but I used to love music na niliimba in my own funny ways lmao. Childish yeah but it was all vibe.

Labda anamuongelea Kaka yake ila jina ndio kakosea au?
 
Franklin Boukaka alinyongwa mwaka 1972; alitoa wimbo huo mwaka 1970 ukampa umaarufu sana na kusababisha apendwe sana na wanamapinduzi wa wakati huo waliochukia wakoloni weupe kuondoka na kupata wakaloni weusi; jambo hilo lililomfanya achukiwe na viongozi wa Congo wakati huo na kusababisha anyongwe.
Mobutu seseko alikuwa katili sana.Inasemekana hata luambo makiadi alipitia misukosuko Kwa mobutu
 
Back
Top Bottom