Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubahiriSitofanya sherehe ya harusi...
Gauni langu nataka liwe zuri sanaaa... nipige picha za ukumbusho nikitoka kanisani
Baada ya kanisani kila mtu akale kwao!
Utaingia kwenye record za dunia kama mwanamke pekee ambaye hakutaka shereheSitofanya sherehe ya harusi...
Gauni langu nataka liwe zuri sanaaa... nipige picha za ukumbusho nikitoka kanisani
Baada ya kanisani kila mtu akale kwao!
Katika jambo ambalo sitojaribu ni hili bora tuu nipate mtu anayelijua jijiKabisa Mkuu
Unaweza kumchukua Binti Kijijini huko then akifika Mjini ni anabadirika zaidi ya Zuwena wa Prof Jay 😅
Hupendi sherehe ama hupendi kuharibu hela za kufanyia maendeleo Kwa kufanya sherehe?Sitofanya sherehe ya harusi...
Gauni langu nataka liwe zuri sanaaa... nipige picha za ukumbusho nikitoka kanisani
Baada ya kanisani kila mtu akale kwao!
Kwanini Ndoa ya Mkeka?Alhamdulillah mimi nimepiga ndoa ya mkeka juzi, na hela ambayo ningekamuliwa kwenye mahari imepona na kuamua kuihamishia kwenye kufanya stock ya chakula na mambo mengine madogo madogo ya kusogeza maisha mbele.
Ukifanya ya kimya kimya huokoa gharama aisee, changamoto Kuna Mwanamke anapenda kuolewa kimya kimya? 😜Kwa kweli ndoa yangu bado sijapata picha itakuwaje? Lakini ndoa ya kiserikali chap na baada ya hapo tunaelekea home itanifaa sana. Sitamani kutumia hata milioni 1 kwa ajili ya shughuli hiyo.
Tatizo ndo hiloHahaha........ila wengi wakifika Mjini hubadirika 🙌
Ya nilikuwa napima kina cha maji basi mguu ukaingia wote. Ikawa hakuna jinsi zaidi ya kupewa jumla niogelee vyovyote nitakavyo.Kwanini Ndoa ya Mkeka?
Umlitia Mimba Binti wa watu nini? 😜
Hesabu zake kali sana.Huyo ana uchungu na hela ya Mr wake 😅😜
Sipendi ile hali ya kupigia watu simu kuwakumbusha michangoHupendi sherehe ama hupendi kuharibu hela za kufanyia maendeleo Kwa kufanya sherehe?
Ni zubeda mkuu😅😅Kabisa Mkuu
Unaweza kumchukua Binti Kijijini huko then akifika Mjini ni anabadirika zaidi ya Zuwena wa Prof Jay 😅