Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Ya nilikuwa napima kina cha maji basi mguu ukaingia wote. Ikawa hakuna jinsi zaidi ya kupewa jumla niogelee vyovyote nitakavyo.

Bila shaka wewe ni mzee mwenzang ushaelewa maana 😂😂😂
Naelewa Mkuu

Hata hivyo baada ya Ndoa ya Mkeka lazima mkafanye ile ya Makaratasi ambayo ni Serikali ama ya Kidini 🙌

Wanawake hupenda Makaratasi ili wasisumbuke kwenye urithi tukifa 🙌
 
Naelewa Mkuu

Hata hivyo baada ya Ndoa ya Mkeka lazima mkafanye ile ya Makaratasi ambayo ni Serikali ama ya Kidini 🙌

Wanawake hupenda Makaratasi ili wasisumbuke kwenye urithi tukifa 🙌
Hahaha tumepanga tutatafuta mashekh kadhaa wamalize mchezo kimya kimya. Kuhusu urithi baada ya mimi kutangulia kabda yake, nafikiri dini imeshaweka wazi kwenye hilo.

So hapatakuwa na usumbufu zaidi kwa upande wake.
 
Hahaha.........Mkuu utakuwa ume-mature sana kifikra

Tatizo sio Wanawake wote wenye huo mtazamo 🙌
Mama anatoa michango sana ya harusi
Nilimwambia asiwe anatoa zaidi ya 20k
Akaniambia anachangia ili sendoff yangu achangiwe pia
Nikamwambia sitofanya sherehe ya sendoff wala harusi.

HUo muda ni bora nipelekwe kijijini kwetu nikafundwe😎
 
Mama anatoa michango sana ya harusi
Nilimwambia asiwe anatoa zaidi ya 20k
Akaniambia anachangia ili sendoff yangu achangiwe pia
Nikamwambia sitofanya sherehe ya sendoff wala harusi.

HUo muda ni bora nipelekwe kijijini kwetu nikafundwe😎
Hahaha......Siku hizi michango mingi hadi ya Kipaimara na birthdays 🙌

Nimependa hapo mwisho kwamba Bora uende ukapigwe kipindi na Kungwi 🤗

Ukirudi lazima uwe hatari kwenye ile Sekta ya Vijana wa hovyo waipendayo 😜
 
Back
Top Bottom