Hongera sana MkuuNdoa ya kiislamu, kanzu na kilemba nlikuwa navyo tayari, shela la Bi harusi tulikodi Kwa 20k tu, 10k nilimpa aliyenifunga kilemba kichwani. 20k nilimpa mdogo wa mke wangu ambae aligoma kupisha mlangoni wakati naondoka na dada yake Hadi nitoe chochote kitu.
Msafara wa magari matatu langu moja na mengine walijitolea washkaji wa kazini kwangu, mpiga picha pia alikuwa mshkaj wa kazini ambapo alitumia camera ya ofisini pia. Hayo yote ni nje ya mahari.
Nkarudi nyumbani na mke kiroho safi
Hivi haiwezekani ku-hire Kampuni ifanye kazi ya kukusanya michango kama zilivyo Kampuni za kukusanya madeni? πSitakiii...!π
Mambo ya kupigiana simu kulia watu wakuchangie yamepitwa na wakati
Mchango ni hiari sio lazimaHivi haiwezekani ku-hire Kampuni ifanye kazi ya kukusanya michango kama zilivyo Kampuni za kukusanya madeni? π
Usipotoa mchango jamaa wanatoa notice ya kukufirisi ππ
Nilidhani atakuwa ni Mpare yule, maana alitoa ombi maalumu la kulipa mahari yako Kwa Installments wakati wenzake huwa wanalipa yote cash π πYule sio mpare babuπ
Ndoa subiri mjukuu umri uende kidogo.
Hapana! Nikitimiza miaka 25Nilidhani atakuwa ni Mpare yule, maana alitoa ombi maalumu la kulipa mahari yako Kwa Installments wakati wenzake huwa wanalipa yote cash π π
Hivi ulisema akusubiri hadi umalize PhD yako kule Japan eeh π€
Mchunge mjukuu wako asije akapeperuka π
Nagandisha ili nisizeeke babuπMjukuu umeanza lini tabia ya kugandisha Umri kama Tanzania sweetheart
Yeye umri wake uligandia kwenye 28 huu Mwaka wa 7 sasa hauongezeki ππ
Ila huyo alitisha, akasema yanini kutumia hela yote kufanyia harusi wakati Sina Mtaji wa biashara π€πKuna ndugu alichangisha mchango double 100k, hakutaka kamati hela anakusanya mwenyewe
Location ya ukumbi ilivyotoka watu wakaenda mimi nilikua mmojawapo, nilienda badala ya baba
Tumefika pale kumbe sherehe inafanyika kwa ndugu yake cz nyumba ina uwanja mkubwa, mziki wameeka flash
Watu walisonya sana kisa 100k zao wengine wakajuta kutoa
Ila bufee lilivyofunguliwa tulifurahi msosi wa maana unajiwekea mwenyewe
Kufupisha, tulivyotoka kanisani tulienda nyumbani kwa kaka ake kula then kila mtu kwao na 100k za watu alichukua kuanzia Maisha.
Ni mpango mzuri Mkuu, lakini huyo Mkeo mtarajiwa atakubali mfanye harusi ndogo?Binafsi nimepanga hivi:
Wazazi wa binti nawapatia zawadi yao.
Binti yao nampatia naye zawadi,
pia na wazazi wangu halafu tunafanya sherehe ya kawaida maana harusi sio ndoa Mkuu!
Wengine tumekwenda kwenye harusi ambazo kadi kuchangia ni 70K na double ni 120K ila zimedumu kwa miezi kadhaa tu. Na kuna wengine tumekwenda kwenye harusi simple tu ila mpaka leo bado wanaishi.
TAKE HOME: NDOA SIO HARUSI NA HARUSI SIO NDOA.