Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Dah sidhani kama nitafanya sherehe, sina hobby na hizo harakati japo mama ndio anaforce, mimi ni msabato nimemwambia wife, nikishatoa mahali mimi nakubeba tutaenda kufunga ndoa kwa mchungaji baadae, asipotaka basi.
Hilo la kumbeba kimya kimya ndiyo hatotaka

Bora mfanye sherehe ya watu 20 tu vinginevyo utanuniwa ndani hadi uchoke. Wanawake akili zao wanazijua wenyewe wakitaka jambo lao 🙌🤗
 
Kwa hiyo huyu kenge nisimuamini Sana? Lkn sababu ya kufunga hiyo ndoa ni mimi maana nilitaka kumridhisha bibi yangu na sio wanafiki wachache kuja kufurahia matunda yangu maana kuna misoto mingi nilipitia baada ya kubaki bila wazazi.... Tunapanga tufunguke kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya ndoa.
Nashauri uendelee kumwamini Mume wako, japo Siku hizi Wanaume tukiwa wachepukaji hatuchelewi kutelekeza familia pamoja na kufungishwa Ndoa za Serikali

Ninyi mnataka sana Makaratasi ya Ndoa ili iwasaidie kwenye mgawanyo wa Mali as mnajua Wanaume huwa tunatangulia Kufariki Dunia kabla yenu 🤗
 
Mimi sherehe ya harusi hapana 😀😀
Gauni laki 2
Makeup 50000
Hina. 20000
Viatu. 30000
Pombe hakuna
Mziki. Hakuna



Nilichoplan kwenye ndoa yangu ni dinner Kwa familia zote mbili baada ya ndoa kufungwa
Nitaandaa na natapika mwenyew 😂😂😂
 
Picha lilianza, nilipeleka sherehe yangu kijijini, that way nilipunguza gharama kwa asilimia zote.

Kanisaji, Kufunga ndoa kanisani kuligharimu mavazi, mimi, bibi harusi, wasimamizi, watoto nk.. kuwavalisha wazee wangu na wakwe, hapo ni pesa ya kutosha.

Ukumbi, tulitumia 50k kukodisha ukumbi wa shule, mapambo 100k imeisha.

Usafiri, ndugu waliotoka town na ma rav4, Harrier, vanguard zote hizo zilitumika at a zero cost.

Misosi, ng'ombe mmoja, kuku wa kienyeji 50, ndafu, keki na misosi mingine at a very low cost.

Faida, kuwafurahisha sana wazee wa kijijini kwangu. Kupunguza gharama kubwa sana, kuwaleta wakwe zangu wote kujua binti yao anaolewa wapi...etc
 
Do u mean it? Ili ikiwezekana tufanye ya watu 10 tu 😎😎
Akikubali harusi ya watu 10 huyo usimcheleweshe

Huyo lazima atakuwa na uchungu na hela zenu in future 🤗

Wanawake wa hivyo unaweza kumwachia Hela ya Matumizi shilingi 350,000 Kwa Mwezi unakuta anaitumia Kwa kujibana hadi kurudisha Chenchi ya 75k 😜
 
Yeah anakubali hana mambo mengi hapendi mambo ya ukumbi wala kupoteza hela kununua vilevi hata mahari yake kataja ya kawaida tu
Huyo anafaa Mkuu

Ukiweza mfurahishe Kwa kumpeleka Church Mwezi Ujao 🤗
 
Nashauri uendelee kumwamini Mume wako, japo Siku hizi Wanaume tukiwa wachepukaji hatuchelewi kutelekeza familia pamoja na kufungishwa Ndoa za Serikali

Ninyi mnataka sana Makaratasi ya Ndoa ili iwasaidie kwenye mgawanyo wa Mali as mnajua Wanaume huwa tunatangulia Kufariki Dunia kabla yenu [emoji847]
Acha nichange karata zangu vizuri nimtafutie kizibiti mwendo cha serikali au kanisani
 
Ndo naitaka maana hapo atakua kaisha zaidi yangu na heshima juu za kutosha.
Hahaha ......ila una mahesabu makali sana Mkuu 😅

Yaani unataka hata ukisikia anachepuka huko nje uwakatalie watu, kwamba kama anapiga ndani kimoja huko nje hakuna atakuwa anafanya 😜🙌
 
Hahaha ......ila una mahesabu makali sana Mkuu [emoji28]

Yaani unataka hata ukisikia anachepuka huko nje uwakatalie watu, kwamba kama anapiga ndani kimoja huko nje hakuna atakuwa anafanya [emoji12][emoji119]
Umejuaje yani nataka kesho yake iwe juu yangu.
 
Picha lilianza, nilipeleka sherehe yangu kijijini, that way nilipunguza gharama kwa asilimia zote.

Kanisaji, Kufunga ndoa kanisani kuligharimu mavazi, mimi, bibi harusi, wasimamizi, watoto nk.. kuwavalisha wazee wangu na wakwe, hapo ni pesa ya kutosha.

Ukumbi, tulitumia 50k kukodisha ukumbi wa shule, mapambo 100k imeisha.

Usafiri, ndugu waliotoka town na ma rav4, Harrier, vanguard zote hizo zilitumika at a zero cost.

Misosi, ng'ombe mmoja, kuku wa kienyeji 50, ndafu, keki na misosi mingine at a very low cost.

Faida, kuwafurahisha sana wazee wa kijijini kwangu. Kupunguza gharama kubwa sana, kuwaleta wakwe zangu wote kujua binti yao anaolewa wapi...etc
Hii ilikaa poa sana Mkuu

Unafanya sherehe at minimum cost, halafu Wazee kule Kijijini wanaona uliwapa heshima kubwa sana Mkuu

Hata kama una ndoto za Ubunge miaka ijayo, unapata uungwaji Mkono wa kutosha 🤗

Watu tuna mahesabu ya mbali 😅
 
Back
Top Bottom