Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Tatizo uwezo, kama mpo tayari kula makande sawa, karibuniUkiona nafasi inaruhusu gharamia Kila kitu then utuite kuja kufinya cha mtume tu 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo uwezo, kama mpo tayari kula makande sawa, karibuniUkiona nafasi inaruhusu gharamia Kila kitu then utuite kuja kufinya cha mtume tu 😜
mchumba hebu sikiliza ushauri toka kwa Mzee wangu. Kunjua moyo nifanye kweli. Why tuwafaidishe wenye ukumbi wakati tunaweza save hela tukajenga kibanda chetu 😎Akikubali harusi ya watu 10 huyo usimcheleweshe
Huyo lazima atakuwa na uchungu na hela zenu in future 🤗
Wanawake wa hivyo unaweza kumwachia Hela ya Matumizi shilingi 350,000 Kwa Mwezi unakuta anaitumia Kwa kujibana hadi kurudisha Chenchi ya 75k 😜
Utamsaidia sana Mume wako, maana gharama za harusi zitatumika kufanya shughuli nyingine ya Uwekezaji 🤗Mimi sherehe ya harusi hapana 😀😀
Gauni laki 2
Makeup 50000
Hina. 20000
Viatu. 30000
Pombe hakuna
Mziki. Hakuna
Nilichoplan kwenye ndoa yangu ni dinner Kwa familia zote mbili baada ya ndoa kufungwa
Nitaandaa na natapika mwenyew 😂😂😂
😀😀Kabisa Kuna mambo mengi ya kufanyaUtamsaidia sana Mume wako, maana gharama za harusi zitatumika kufanya shughuli nyingine ya Uwekezaji 🤗
Alishanidokeza kwa uchache anavyotamani iwe.Nimependa hiyo
Harusi ni gharama, unaweza kugharamia hela nyingi kwenye harusi baada ya sherehe mnabaki na Madeni tu 🙌
Wazee tutawablendia makande yenu 😂Kwakuwa umejua Babu yenu Sina meno Kwa Uzee ndiyo unataka kunikomesha Kwa kupika Makande kwenye harusi yenu 😜
Babu nahitaji maini maini na Vyakula laini laini tu 🤗
Ni kweli kabisaHahaha .........nilisoma sehemu kwamba Wanawake Wana uwezo Mkubwa wa ufahamu kuliko sisi Wanaume.
Ndiyo maana inashauriwa tuoe Wanawake tuliowazidi Umri walau miaka 7 na kuendelea
Andaa muda wako tu, lazima tukualike 😅Hahaha ..........msitusahau kutupikia maini tu Wazee wenu Siku hiyo 😅
Mara nyingi ndugu ndiyo hupenda sherehe ziwe kubwa kiasi gani, ninyi maharusi mnaweza mkawa na common sense yenu shida ikawa Kwa hao ndugu 🙌Alishanidokeza kwa uchache anavyotamani iwe.
Ila mama mkwe ameshamwambia kwamba amechangia sana za watu na yeye ndiye kaka pekee ktk familia yao 😂😂Tutaenda tu na conclusion yake.
Wengine tumechangia sana work mates
Ofisini kwetu kuna amount ni lazima kwa kila staff, unataka hautaki, hiyo ya lazima unaitoa.
Itafahamika. Na hao ndugu watasomeshwa waelewe tu…Mara nyingi ndugu ndiyo hupenda sherehe ziwe kubwa kiasi gani, ninyi maharusi mnaweza mkawa na common sense yenu shida ikawa Kwa hao ndugu 🙌
Tena Ukute mnacheza na Vikoba ndiyo balaa
😂😂😂Tatizo uwezo, kama mpo tayari kula makande sawa, karibuni
Basi sawa mkuu. Ngoja bibie akunjue nafasi, nianze michakatoLazima nitakuja Mkuu, labda mseme mnaenda kufanyia kwenye ile Sayari ya Bwana Elon Musk ili kutunyima Ubwabwa wenu 🤗
That's niceItafahamika. Na hao ndugu watasomeshwa waelewe tu…
Sio kila kikoba kina heka heka
Chetu ni weka/ kopa. Michango kuchangiana marufuku