Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha..mimi alijaza room nzimaHahaha.......wasingekuwa wanalilia harusi Kila Siku 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha..mimi alijaza room nzimaHahaha.......wasingekuwa wanalilia harusi Kila Siku 😅
Hahahahaha..upande wa kwao walikua vzr na wengiItakuwa alikuwa na marafiki wengi na pia maybe alikuwa mtoaji kwenye shughuli za wenzie
🤣🤣🤣🤣🤣 babu unatusingizia hatuwezi kufanya hivyo!!!Walichepuka ndiyo lakini sio kama ninyi wa kisasa
Bora uchepuke na Mmoja but unakuta unachepuka ni Kijiji kizima, ukisema uwapange wanajaa Coaster ya Buguruni - Kawe 😅🙌
Hata kama babu. Nyie babu na bibi zetu ndo mnaotusukuma vijana kwenda siko. Anyways wenye hela waserebuke...wasio nazo wahenderee kuiga mpk wakufe...😅😅😅😅😅Watanzania tunapenda shughuli Mkuu 😅
Ilikuwa simple sana, tulifanyia kijijini miaka hiyo kwa hela hiyo watu walikula wali nyama (hasa watoto wa mtaa) na soda ,kuimba nyimbo,kucheza na kufurahi.Hiyo lazima ilikuwa classic and simple
Kuna watu wanataka harusi za milioni 20 alafu wao Wana kianzio cha laki 5 🙌
Hongera Mkuu, Shemeji anaonekana alikuwa mwelewa.Ilikuwa simple sana, tulifanyia kijijini miaka hiyo kwa hela hiyo watu walikula wali nyama (hasa watoto wa mtaa) na soda ,kuimba nyimbo,kucheza na kufurahi.
Mke wangu nakumbuka alichangia laki mbili na sabini elfu, kiasi kilichobaki nilitoa hela yangu maana hatukuchangisha mtu zaidi ya kuwasafirisha wazazi tu (baba na mama)
Eti Wahenderee😅 🙌Hata kama babu. Nyie babu na bibi zetu ndo mnaotusukuma vijana kwenda siko. Anyways wenye hela waserebuke...wasio nazo wahenderee kuiga mpk wakufe...😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 babu mbona na nyie mnatusevu dada muuza parachichiUnadhani hatuoni Majina mlivyotusevu kwenye simu zenu.
Kweli Mimi Leo hii wa kuseviwa Fundi Gereji 😜🙌
Hahaha..........hiyo ni Kwa Vijana wa hovyo, ila sisi Wazee lazima tusevu Majina mazuri mazuri ili kumpa changamoto Bibi yenu.🤣🤣🤣🤣 babu mbona na nyie mnatusevu dada muuza parachichi
Abbaya na kanzuHiyo inatosha kufanya activities Gani Mkuu?
Safi sana mktoka hapo mnaendelea na ile kazi ya kuu ya kuongeza viumbe vipya😋Abbaya na kanzu
😀😀😀😀Safi sana mktoka hapo mnaendelea na ile kazi ya kuu ya kuongeza viumbe vipya😋
😃😃😃Wewe kiboko abaya la elf 50Abbaya na kanzu