Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Baba yao iko wapi?Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Lala nao chumbani kwao, wakisinzia toka nenda kwakoHebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Njia sahih.Lala nao chumbani kwao, wakisinzia toka nenda kwako
Hii imekaa vizuriLala nao chumbani kwao, wakisinzia toka nenda kwako
Ngoja nijaribu hili inaweza kuleta matokeo mazuriLala nao chumbani kwao, wakisinzia toka nenda kwako
Sijaona ulazima wa kutumia bakora hapa Mkuu, sitamani kuwa Mzazi ambaye Wazazi wangu walikuwa kwanguTia bakora hao acha kudekeza hizo junior
Sisi wengine hatuna ushauri maana hicho chumba cha pili hakipogoHebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
NILITAKA KUMJUZA VIVYO HIVYOLala nao chumbani kwao, wakisinzia toka nenda kwako
Baba yao yupo japo kwasababu za Kimajukumu kuna muda huwa anakuwa mbali na NyumbaniKama Baba yao hayupo lala nao tu mpaka waanze shule. Miaka 2 bado mdogo kulala mwenyewe
Sisi wengine hatuna ushauri maana hicho chumba cha pili hakipogo
AsanteMtoto wa miaka 4 alitakiwa awe ameshazoea, kisha wa miaka 2 kama ameacha kunyonya unakuwa unampeleka kwa mwenzie akipata usingizi..
Mtoto wa miaka 4 anapaswa uwe umeshamfundisha kwamba kile ndo chumba chake na kitanda chake, awe anajua muda wa kulala, ukimpa maelekezo kalale aende willingly.
Mtoto anafundishwa akiwa bado mdogo, ila haujachelewa anza sasa.
Siku za kwanza kwanza atalia sana, lkn ndo kukua kwenyewe, mzazi unapaswa uweke boundary kwa mtoto, ukisema no mtoto ajue hapa kimeumana, siyo kuwadekeza dekeza tu kwa kuogopa kuwaliza.
Baba yao yupo ila kuna muda anakuwa mbali Kikazi ndio maana wamezoea kulala na mimi ChumbaniBaba yao uko wapi?
Mimi mwenyewe nitashindwa kulala kwa kuogopa aiseeTafuta mapicha ya kutisha tisha bandika ukutani mafuvuπβ οΈβ οΈπ½majeneza, madragons.
Watapakimbia wenyewe usiku...π