Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Jinsia gani kwani?
Kama wa kike, wapeleke chumba kwao mbembleza hadi walale
Kama wa kiume fukuza chumbani kwako, Ata Kwa kulala usiwaonyeshe , watajua Wenyewe wakitaka walale sebuleni kwenye sofa
 
Wahamishe tu weka ukauzu ukiwahurumia ety wanalia utalala nao hadi wawe wakubwa anza leo wapeleke chumba chao wakilia wambie atakae lala kesho namletea zawadi wakigoma wahadithie au wasomee hadithi watasinzia wenyewe, kama napo bado unawajua wanao tumia mbinu unazozijua lakini hakikisha kufikia jumapili wawe wamehama humo jumapili tunasubiri feedback mama wawili
 
Kuna lile jicho la mwana ukome wazaz wa kike mnaelewa ukimpa mtoto ambaye Hana madekezo anaelewa Hilo jicho la mama linamaanisha nin

Kama hujui kutoa saut Kwa mtoto au watoto wako wewe ngojea fedheha siwez ongea na mtoto mara mbilimbili kama vile nabembeleza anyonye Kofi moja anaendanalo Hadi kitandan [emoji51]
Ila nyiee🤒
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
wewe hamia kwenye cumba chao watakuffuata,wakikufuata rudi chumbani akwako hawatakufuata!!
 
Ndo mnalea mashoga na matahirah.... Ni aibu hata kuandika haya maneno....
Pole sana na tena ukome kuita kizazi changu ni mashoga na mataahira..... Hukunisaidia kuingia leba sasa hayo maneno yako yaelekeze kwenye kizazi chako na ukoo wako najua Kuna mapungufu mengi kayafanyie kazi. Nakuonya koma niseme mimi ila wanangu waheshimu sana sipendi ujinga narudia staki kuingiziwa ujinga kwenye familia yangu
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Kama watot wanaitwa junia au precious jua una kazi maana Hawa watot Huwa hawaskii kabsaa
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Hama ww nenda chumba kingine waachie huko/ wakikufata huko unawaacha unarudi kwa mwanzo.

Usiwaamshe wakiwa wamelala
 
Mnawadekeza sana watoto.
Ni kuwakunjia tu sura na kuwaambia ni marufuku kulala chumbani kwangu. Watoto wanaelewa.
Huyo wa miaka minne akielewa basi na mdogo wake ataelewa taratibu.
Demi naomba mtoto..
 
labda kuna kitu kinawaogopesha

filamu za kutisha labda, hadithi fulani, giza...

nakumbuka hizi zilinisumbua sana nilivyokuwa mdogo

kama kuna kitu kinawaogopesha unawafundisha kusali tu unawaambia wasiwe waoga waoga, you help them find their courage.
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?

Tough love is a way kumlea mtoto! Ukikaribia kulala Nenda kulala naye huko akisinzia ondoka; akiamka usiku kaza, usikimbie kumkumbatia, Tabia ya yeye kupenda kulala kwako ulianzisha wewe na wewe unaivunja taratibu
 
Pole sana na tena ukome kuita kizazi changu ni mashoga na mataahira..... Hukunisaidia kuingia leba sasa hayo maneno yako yaelekeze kwenye kizazi chako na ukoo wako najua Kuna mapungufu mengi kayafanyie kazi. Nakuonya koma niseme mimi ila wanangu waheshimu sana sipendi ujinga narudia staki kuingiziwa ujinga kwenye familia yangu
Unawaharibu hao watoto. Otherwise watafutie baba awe anakusaidia. Yaani unashindwa waambia fanya ABC wakafanya? Ndo matokeo yake tunaona kizazi cha sasa hivi kimelegea legea. Sisi ukoo wetu tusingeruhusu huo upuuzi. Ni ukoo wa Simba. Uliingia leba utuzalie mchekea? No way. Mimi sitoruhusu huo ujinga na ukiendelea na huu wazimu nitakuadhibu wewe na kumwambia aliyekuzalisha achukue vitoto vinaharibiwa.
 
Back
Top Bottom