Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Nimeshamaliza uzazi. 58 nowNdio. Watakutibu mke wangu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshamaliza uzazi. 58 nowNdio. Watakutibu mke wangu..
So ni mwendo wa kupigana miti na watoto wakishuhudia au mnasubiri mchana wakienda shule?Sisi wengine hatuna ushauri maana hicho chumba cha pili hakipogo
Hapana Demi. Vibaya hivyo. Utaniua kwa pressure..Nimeshamaliza uzazi. 58 now
Hata hili linahitaji ushauri? Kizazi cha wazazi dhaifuHebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Mtu anakwambia chumba changu kifanyeni stoo Mimi nabaki humu humu halafu anaendelea na shughuli zakeMnawadekeza sana watoto.
Ni kuwakunjia tu sura na kuwaambia ni marufuku kulala chumbani kwangu. Watoto wanaelewa.
Huyo wa miaka minne akielewa basi na mdogo wake ataelewa taratibu.
Wazungu kuanzia kakiwa kichanga kanalala kwenye kitanda chake kile cha kutumbukia huko sebleni. Kakishtuka ucku wanaamka kuja kukatizama.Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Tuliahisha hadi wakati mwingine mazingira yatakapo ruhusuSo ni mwendo wa kupigana miti na watoto wakishuhudia au mnasubiri mchana wakienda shule?
Mimi bibi yako ujue,acha kunong'ang'aniaHapana Demi. Vibaya hivyo. Utaniua kwa pressure..
Mpaka nijihakikishie. Kama hio ndio gear yako ya kunifukuza, ninalikemea hilo pepo katika jina lake yeye..Mimi bibi yako ujue,acha kunong'ang'ania
Mwambie kuwa wewe ni babu.Mpaka nijihakikishie. Kama hio ndio gear yako ya kunifukuza, ninalikemea hilo pepo katika jina lake yeye..
"...🎼🎶Nakupenda bibi kizee! Nakupenda kikongwe🎵..."Mimi bibi yako ujue,acha kunong'ang'ania
Moyo wa mtoto umejaa na ujinga fimbo itautoa, sasa wewe waendekezeHebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Huko ni kuwanyanyasa watoto miaka miwili na minne awafukuze eti watajua wenyewe!! aendelee kulala nao huku akiwafundisha taratibu kulala chumba chao mwisho watazoea bado wadogo hao inaonekana hujazaa badoJinsia gani kwani?
Kama wa kike, wapeleke chumba kwao mbembleza hadi walale
Kama wa kiume fukuza chumbani kwako, Ata Kwa kulala usiwaonyeshe , watajua Wenyewe wakitaka walale sebuleni kwenye sofa
Umesema kweli, wazazi kama hao wanasumbuliwa na uchoyo siyo vyema kuwatenga watotoHii sio sawa kwa ustawi wa familia. Kila kitu inatakiwa familia ijumuike pamoja isipokuwa muda wa kulala tu watoto walale chumba chao.
Sasa huyo jamaa hata kula tu anawatenga watoto? Ana uhakika gani huko jikoni kama watoto wanakula vizuri wanashiba? Usikute beki tatu ndio anabugia minofu yote watoto wanaambulia mifupa tu.
Hivi inachukua mda gani had mtoto azoee?Nina karibia mwaka sasa napambana…dogo akiamka anakuja kugonga mlangoni,basi shughuli yangu ni kuhama vyumba tu usiku had natamani kulia 😒Hamia chumbani kwao kwa muda, wakilala unasepa