Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
😳😳😳😳😳😳 Elimu ni muhimu sana.Tunawekaga shuka kutenganisha sehemu ya wazazi kunyanduana na sehemu ya watoto kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳😳😳😳😳😳 Elimu ni muhimu sana.Tunawekaga shuka kutenganisha sehemu ya wazazi kunyanduana na sehemu ya watoto kulala
Pole sana sina muda wa kubishana na nimemwambia koma.Unawaharibu hao watoto. Otherwise watafutie baba awe anakusaidia. Yaani unashindwa waambia fanya ABC wakafanya? Ndo matokeo yake tunaona kizazi cha sasa hivi kimelegea legea. Sisi ukoo wetu tusingeruhusu huo upuuzi. Ni ukoo wa Simba. Uliingia leba utuzalie mchekea? No way. Mimi sitoruhusu huo ujinga na ukiendelea na huu wazimu nitakuadhibu wewe na kumwambia aliyekuzalisha achukue vitoto vinaharibiwa.
DuuuuTafuta mapicha ya kutisha tisha bandika ukutani mafuvu💀☠️☠️👽majeneza, madragons.
Watapakimbia wenyewe usiku...😆
Unawaharibu hao watoto. Otherwise watafutie baba awe anakusaidia. Yaani unashindwa waambia fanya ABC wakafanya? Ndo matokeo yake tunaona kizazi cha sasa hivi kimelegea legea. Sisi ukoo wetu tusingeruhusu huo upuuzi. Ni ukoo wa Simba. Uliingia leba utuzalie mchekea? No way. Mimi sitoruhusu huo ujinga na ukiendelea na huu wazimu nitakuadhibu wewe na kumwambia aliyekuzalisha achukue vitoto vinaharibiwa.P
Pole sana sina muda wa kubishana na nimemwambia koma.
Wazazi kama nyie ndio mnatengeneza watu ambao ni psychopathic na panya road ambao wamejazana mtaani wanasumbua watuTafuta mapicha ya kutisha tisha bandika ukutani mafuvu💀☠️☠️👽majeneza, madragons.
Watapakimbia wenyewe usiku...😆
Watu hawaelewi wanapenda kuwanyanyasa watoto wakidhani ndio kuwafundisha.P
Pole sana sina muda wa kubishana na nimemwambia koma.
Kanywe chai kwanza utulize wenge.Wazazi kama nyie ndio mnatengeneza watu ambao ni psychopathic na panya road ambao wamejazana mtaani wanasumbua watu
Mafuvu 💀 ☠️ ☠️Duuuu
Kwanba mtoto anaogopa picha ya jeneza?
Huwa inatumika nguvu kuwatoa, vilio ni kama kunakuwa na Msiba mpk unajisikia vibaya Mtoto anavyolia mlangoniAkirudi inakuwaje? Bado wanakuja chumbani kuchungulia love making?
Stori ni ndefu sanaIna maana wazazi wako hawakukupa malezi ya kuwa mke bora na mzazi bora?
jibu ni hayupo acha kuzunguka mbuyu, acha watoto walale na wewe mpaka pale baba mjengo atakaporudi ndio mtajua mnafanyajeBaba yao yupo japo kwasababu za Kimajukumu kuna muda huwa anakuwa mbali na Nyumbani
Pole. Kwanini unataka kulala peke yako?🤔Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Ngoja niwaige, nimeipenda ni nzuri sana hii.Fanya utakachoona sahihi usilee mtoto eti kwa kuwa Kuna mtu alifanya hivi!
Mfano
Mapacha wangu wa kwanza nimelala nao mpaka miaka 8 wenyewe wakaanza kunikimbia na kwenda kwenye chumba Chao!!! Hawa wengine Wana miaka 7 na tunalala wote , lakini hapa kwangu Kuna chumba ambacho ni kama club Kuna muziki humu maana mume wangu ni mpenzi wa muziki sasa hicho chumba tumekiboresha tumeweka kitanda ,friji maana sisi ni walevi plus huo muziki sasa humo tumefanya special kwa ajili ya mizagamuo tu.... Kulala tunalala chumbani kama kawaida na watoto
Naaamini muda ukifika wenyewe wataomba uwaandalie chumba Chao.
Pole.Pole sana na tena ukome kuita kizazi changu ni mashoga na mataahira..... Hukunisaidia kuingia leba sasa hayo maneno yako yaelekeze kwenye kizazi chako na ukoo wako najua Kuna mapungufu mengi kayafanyie kazi. Nakuonya koma niseme mimi ila wanangu waheshimu sana sipendi ujinga narudia staki kuingiziwa ujinga kwenye familia yangu
Inaweza kusaidia nadhani.Tunawekaga shuka kutenganisha sehemu ya wazazi kunyanduana na sehemu ya watoto kulala
Inasemekana middle class families ndò zimekubuhu kwa hii tabia ya kudekeza watoto mwishowe huyo mzazi ndo atakuwa wa kwanza kupiga mayowe kuomba msaada kwa tabia mbaya za dogo anayemdekeza sasa.Mnawadekeza sana watoto
Chumba specialy kwa mizagamuano...aloh watu mna mihela hadi mnatengeneza chumba cha kudinyana.Fanya utakachoona sahihi usilee mtoto eti kwa kuwa Kuna mtu alifanya hivi!
Mfano
Mapacha wangu wa kwanza nimelala nao mpaka miaka 8 wenyewe wakaanza kunikimbia na kwenda kwenye chumba Chao!!! Hawa wengine Wana miaka 7 na tunalala wote , lakini hapa kwangu Kuna chumba ambacho ni kama club Kuna muziki humu maana mume wangu ni mpenzi wa muziki sasa hicho chumba tumekiboresha tumeweka kitanda ,friji maana sisi ni walevi plus huo muziki sasa humo tumefanya special kwa ajili ya mizagamuo tu.... Kulala tunalala chumbani kama kawaida na watoto
Naaamini muda ukifika wenyewe wataomba uwaandalie chumba Chao.
mimi nakuelewa, tatizo baadhi ya wachangiaji hapa wanapotosha kwa kuwa hawana watoto/hawana experience. Mzazi hawezi kulala usingizi wakati mtoto yupo mlangoni kwake analiaHuwa inatumika nguvu kuwatoa, vilio ni kama kunakuwa na Msiba mpk unajisikia vibaya Mtoto anavyolia mlangoni
Ni kweliInasemekana middle class families ndò zimekubuhu kwa hii tabia ya kudekeza watoto mwishowe huyo mzazi ndo atakuwa wa kwanza kupiga mayowe kuomba msaada kwa tabia mbaya za dogo anayemdekeza sasa.