Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

P
Unawaharibu hao watoto. Otherwise watafutie baba awe anakusaidia. Yaani unashindwa waambia fanya ABC wakafanya? Ndo matokeo yake tunaona kizazi cha sasa hivi kimelegea legea. Sisi ukoo wetu tusingeruhusu huo upuuzi. Ni ukoo wa Simba. Uliingia leba utuzalie mchekea? No way. Mimi sitoruhusu huo ujinga na ukiendelea na huu wazimu nitakuadhibu wewe na kumwambia aliyekuzalisha achukue vitoto vinaharibiwa.
Pole sana sina muda wa kubishana na nimemwambia koma.
 
P

Pole sana sina muda wa kubishana na nimemwambia koma.
Unawaharibu hao watoto. Otherwise watafutie baba awe anakusaidia. Yaani unashindwa waambia fanya ABC wakafanya? Ndo matokeo yake tunaona kizazi cha sasa hivi kimelegea legea. Sisi ukoo wetu tusingeruhusu huo upuuzi. Ni ukoo wa Simba. Uliingia leba utuzalie mchekea? No way. Mimi sitoruhusu huo ujinga na ukiendelea na huu wazimu nitakuadhibu wewe na kumwambia aliyekuzalisha achukue vitoto vinaharibiwa.
 
Miezi sita wakianza menu wanalala side bed humo humo chumbani....
Mwaka wanahamia next door, kulia mwanzoni lazima ila kulia hakujawahi ua mtoto...
Akilia wiki akiona hamna mabadiliko anachill (na nna watoto wengi kinyama)

Hao wako huyo mkubwa kunja sura ikibidi tandika viboko...
Mdogo nenda nae polepole hata ukimchapa hawezi elewa... ila akiona mkubwa kahama na yeye atafata..

Exclusive soft parenting ni scam
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Pole. Kwanini unataka kulala peke yako?🤔
 
Fanya utakachoona sahihi usilee mtoto eti kwa kuwa Kuna mtu alifanya hivi!
Mfano
Mapacha wangu wa kwanza nimelala nao mpaka miaka 8 wenyewe wakaanza kunikimbia na kwenda kwenye chumba Chao!!! Hawa wengine Wana miaka 7 na tunalala wote , lakini hapa kwangu Kuna chumba ambacho ni kama club Kuna muziki humu maana mume wangu ni mpenzi wa muziki sasa hicho chumba tumekiboresha tumeweka kitanda ,friji maana sisi ni walevi plus huo muziki sasa humo tumefanya special kwa ajili ya mizagamuo tu.... Kulala tunalala chumbani kama kawaida na watoto
Naaamini muda ukifika wenyewe wataomba uwaandalie chumba Chao.
Ngoja niwaige, nimeipenda ni nzuri sana hii.
 
Pole sana na tena ukome kuita kizazi changu ni mashoga na mataahira..... Hukunisaidia kuingia leba sasa hayo maneno yako yaelekeze kwenye kizazi chako na ukoo wako najua Kuna mapungufu mengi kayafanyie kazi. Nakuonya koma niseme mimi ila wanangu waheshimu sana sipendi ujinga narudia staki kuingiziwa ujinga kwenye familia yangu
Pole.
Usichulikulie serious sana comment zetu, saa nyingine tuna comment tukiwa na mood mbaya.
 
Tunawekaga shuka kutenganisha sehemu ya wazazi kunyanduana na sehemu ya watoto kulala
Inaweza kusaidia nadhani.
Ila maisha haya!
Ukisha zaa mtoto hesabu freedom yako furaha umeitoa sadaka, ni mpera mpera mpaka unairudia ardhi!

Sometime wanaokataa kuoa wana hoja ya kuungwa mkono.
 
Fanya utakachoona sahihi usilee mtoto eti kwa kuwa Kuna mtu alifanya hivi!
Mfano
Mapacha wangu wa kwanza nimelala nao mpaka miaka 8 wenyewe wakaanza kunikimbia na kwenda kwenye chumba Chao!!! Hawa wengine Wana miaka 7 na tunalala wote , lakini hapa kwangu Kuna chumba ambacho ni kama club Kuna muziki humu maana mume wangu ni mpenzi wa muziki sasa hicho chumba tumekiboresha tumeweka kitanda ,friji maana sisi ni walevi plus huo muziki sasa humo tumefanya special kwa ajili ya mizagamuo tu.... Kulala tunalala chumbani kama kawaida na watoto
Naaamini muda ukifika wenyewe wataomba uwaandalie chumba Chao.
Chumba specialy kwa mizagamuano...aloh watu mna mihela hadi mnatengeneza chumba cha kudinyana.
Kweli wacha tusake hela
 
Huwa inatumika nguvu kuwatoa, vilio ni kama kunakuwa na Msiba mpk unajisikia vibaya Mtoto anavyolia mlangoni
mimi nakuelewa, tatizo baadhi ya wachangiaji hapa wanapotosha kwa kuwa hawana watoto/hawana experience. Mzazi hawezi kulala usingizi wakati mtoto yupo mlangoni kwake analia
 
Inasemekana middle class families ndò zimekubuhu kwa hii tabia ya kudekeza watoto mwishowe huyo mzazi ndo atakuwa wa kwanza kupiga mayowe kuomba msaada kwa tabia mbaya za dogo anayemdekeza sasa.
Ni kweli
 
Back
Top Bottom