Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

Mnawadekeza sana watoto.
Ni kuwakunjia tu sura na kuwaambia ni marufuku kulala chumbani kwangu. Watoto wanaelewa.
Huyo wa miaka minne akielewa basi na mdogo wake ataelewa taratibu.
Wee kweli mke....
 
Nahisi umeishi nao kwa ukaribu pasipo mtu mwingine kuwa involved maana watoto wana kawaida ya kulilia kulala pengine kama watu mpo wengi.

Kwa hiyo kama wamekomaa na wewe komaa bila huruma 😁

Imagine mtu mzima kuachika ni shughuli pevu, sasa mtoto itakuwaje kwa mama yake 😁😁
 
Uwe una amka usiku una vaa kinyago afu unawatisha watapakimbia wenyewe Ila njia hii sio sahihi,au wakati wamelala unawaachia chumba unaenda kwingine midekezo na mazoea yanawasumbua
 
Kuna lile jicho la mwana ukome wazaz wa kike mnaelewa ukimpa mtoto ambaye Hana madekezo anaelewa Hilo jicho la mama linamaanisha nin

Kama hujui kutoa saut Kwa mtoto au watoto wako wewe ngojea fedheha siwez ongea na mtoto mara mbilimbili kama vile nabembeleza anyonye Kofi moja anaendanalo Hadi kitandan [emoji51]
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
mimi wakwangu mmoja anamiaka 6 na mwingine anamiaka 3,, nijuzi tu wameanza kulala chumba chao napo ni baada ya huyu mkubwa kushangaza,, kaamka asubuh kaenda kufanya usafi chumba kingine halafu anatuambia leo nawahama nahamia kwenye chumba changu mimi na mdogo wangu,, hvo nakushauri hata hao wako waache ikifika muda wenyewe watahama.
 
Umesema wanakulazimisha,maaana yake wanakuchukulia poa na wanavuka mipaka.Sasa ni muda wako kama mama kuwalazimisha.
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Ni kusema nao tu. Kwamba unawaonyesha wao ni wakubwa sasa.
Labda nikuulize, ukiwahamisha, wanarudi kwako kwamba huko chumbani unakowahamishia, wanaogopa giza?
 
Fanya utakachoona sahihi usilee mtoto eti kwa kuwa Kuna mtu alifanya hivi!
Mfano
Mapacha wangu wa kwanza nimelala nao mpaka miaka 8 wenyewe wakaanza kunikimbia na kwenda kwenye chumba Chao!!! Hawa wengine Wana miaka 7 na tunalala wote , lakini hapa kwangu Kuna chumba ambacho ni kama club Kuna muziki humu maana mume wangu ni mpenzi wa muziki sasa hicho chumba tumekiboresha tumeweka kitanda ,friji maana sisi ni walevi plus huo muziki sasa humo tumefanya special kwa ajili ya mizagamuo tu.... Kulala tunalala chumbani kama kawaida na watoto
Naaamini muda ukifika wenyewe wataomba uwaandalie chumba Chao.
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Ongea Nao tararibu
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo 😀 😀 😀 😀😀😀

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Upumbavuh tu. Yaani kuna mbinu za kumwachisha mtoto kulala chumbani mwako? Badala ya kumpeleka tu anakotakiwa na kumwambia kuanzia sasa unalala hapa? Ndo maana mashoga wanazidi kuwa wengi.
 
Fanya utakachoona sahihi usilee mtoto eti kwa kuwa Kuna mtu alifanya hivi!
Mfano
Mapacha wangu wa kwanza nimelala nao mpaka miaka 8 wenyewe wakaanza kunikimbia na kwenda kwenye chumba Chao!!! Hawa wengine Wana miaka 7 na tunalala wote , lakini hapa kwangu Kuna chumba ambacho ni kama club Kuna muziki humu maana mume wangu ni mpenzi wa muziki sasa hicho chumba tumekiboresha tumeweka kitanda ,friji maana sisi ni walevi plus huo muziki sasa humo tumefanya special kwa ajili ya mizagamuo tu.... Kulala tunalala chumbani kama kawaida na watoto
Naaamini muda ukifika wenyewe wataomba uwaandalie chumba Chao.
Ndo mnalea mashoga na matahirah.... Ni aibu hata kuandika haya maneno....
 
Back
Top Bottom