Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Naam tuachane na ile mambo ya kukopa. Tuchukulie ile akiba kidogo inayoweka kutokana na mshahara wako tu unaolipwa kama umeajiriwa.
Uliweza kutumia miezi, miaka ama decade ngapi kupata mtaji wa Tshs. Milioni 3?
Mjadala huu utasaidia waajiriwa wengi kujijua wapo kwenye hali gani kulingana na mishahara yao.
Haya karibuni.
Uliweza kutumia miezi, miaka ama decade ngapi kupata mtaji wa Tshs. Milioni 3?
Mjadala huu utasaidia waajiriwa wengi kujijua wapo kwenye hali gani kulingana na mishahara yao.
Haya karibuni.