Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 na sakosi ya ofisi kama ikoMimi napewa mshahara ili nilipe madeni tu savings nmeachia NSSF
🤣🤣miaka mi3Ati kwa mshahara wako unaweza fikisha 3million kwa muda gani?
Sisemi chochote kwa sasa...🤣🤣miaka mi3
Na sio mimi ndio nazisave
Ni saccoss ya ofisi inanisaidia kwa kunikata juu kwa juu kabla hizo chenji chenji hazijanifikia.
SemaaaaSisemi chochote kwa sasa...
Hapana cha utundu, some things will remain between you and me...Semaaaa
Yan kwamba mie nafikisha 3m within a quarterly 🤣Hapana cha utundu, some things will remain between you and me...
Najua unaweza kufikisha hiyo 3million kwa salary moja tu...Yan kwamba mie nafikisha 3m within a quarterly 🤣
😂🤣 nakubaliNajua unaweza kufikisha hiyo 3million kwa salary moja tu...
Mkuu hata mwezi bado haujapinduka wewe ushabakiza elfu42, kwa staili hiyo mwezi unapinduka wewe umeshakata lingi.Mshahara wa Septemba hapa nimebkiwa buku 42, hiyo m3 hadi nistaafu mazee.
Uzi wa kiwaki maana mishahara haifanani sijui unataka kujua nn, Kuna watu hiyo 3m anai save kwa mwezi mmojaNaam tuachane na ile mambo ya kukopa. Tuchukulie ile akiba kidogo inayoweka kutokana na mshahara wako tu unaolipwa kama umeajiriwa.
Uliweza kutumia miezi, miaka ama decade ngapi kupata mtaji wa Tshs. Milioni 3?
Mjadala huu utasaidia waajiriwa wengi kujijua wapo kwenye hali gani kulingana na mishahara yao.
Haya karibuni.
😅😅😅😂😂😂 na sakosi ya ofisi kama iko
Sawa una gross ya 4mUzi wa kiwaki maana mishahara haifanani sijui unataka kujua nn, Kuna watu hiyo 3m anai save kwa mwezi mmoja
Safi sana mkuu, sema km umeweza kufuata hayo masharti yote uliyoandika basi upo vizuri sanaHii saving ni nzuri sana maana mimi nilipima nikajiuliza kama nakopa lakini maisha yanenda kwa nini nisijiwekee tabia ya kusave kiasi sawa na makato ya bank
Ila unatakiwa ufungue account tofauti na ile ya mshahara ambayo masharuti yake ni kama ifuatavyo.
1. Mshahara ukitoka kabla ya kufanya chochote toa pesa moja kwa moja kwa wakala unaiweka kwenye hiyo saving account yako.
2. Simu banking iwe ya kupata taarifa pesa imeingia au kutoka tu. Pia hiyo sms ikiingia ifute ili usiwe unajiwekea kumbukumbu ya pesa ulioyonayo .
3. ATM card ifungie kabisa kwenye kabati ili usije kupata dharura kubwa ukataka kuitoa .
4. Ukiwa na shida usije fikiria hata siku moja kuwa una pesa kwenye account tumia account yako kama unakomba pesa chota yote.
5. Usijiwekee mawazo kuwa utasave Mshahara tu hata ukipata pesa yoyote tenga kiasi kidogo angalau kuanzia asilia 10.
6. Usiwe unaiwazia hiyo pesa kwa kitu chochote.
Mimi nimeanza toka mwaka jana matokeo nimeyaona na nikajilaumu sana kwa kuwapa mabenki pesa .
Mwisho uwe na moyo wa uvumilivu sana
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
WowNiliingia kwenye mchezo wa kupeana pesa sh 300000 kwa mwezi tulikuwa 5 ..mzunguko wa kwanza nlikuwa mtu wa mwisho kupokea..mzunguko wa 2 nikawa wa kwanza kupokea hivyo nkawa nimeipata ndani ya miezi 6..nlifungua biashara ambayo bado naendelea nayo kwa zaidi y miaka 5 sasa imenisaidia sana.