Ulitumia muda gani kupata mtaji wa milioni 3 kwa kutumia mshahara wako?

Niliingia kwenye mchezo wa kupeana pesa sh 300000 kwa mwezi tulikuwa 5 ..mzunguko wa kwanza nlikuwa mtu wa mwisho kupokea..mzunguko wa 2 nikawa wa kwanza kupokea hivyo nkawa nimeipata ndani ya miezi 6..nlifungua biashara ambayo bado naendelea nayo kwa zaidi y miaka 5 sasa imenisaidia sana.
 
Usiwaze ivyo hapa utapigwa chenga Kun Wana wanaipata zaidi ya hyo kwa mkupuo sema Bata lake usiwaze kinaanza ijumaa ..Bongo hapa vijana wanapataga sana kila mwezi zaidi ya mil 3 Sema labda saving maana hapo Kuna mafuta gari unakuta harrier na inazunguka siku Saba zote ukiachana na tano za kazini mbili wanaenda vijana wakifika mfano bagamoyo anakodisha hotel,,Kuna Wana wako Moro ila Bata zao zipo dar wanakuja kama wako mtaani tu ijumaa wako hapa jumapili wako Moro kupiga kazi.

Kusave na kupata tofauti kwa kupata watu wengi wanaipata ila kusave ndo balaa lingine. Kuna familia ishu kusomesha kodi ya mexa daily ,mke nae matunzo nguo mara kusuka vilaki laki vinakutoka
 
Uzi wa kiwaki maana mishahara haifanani sijui unataka kujua nn, Kuna watu hiyo 3m anai save kwa mwezi mmoja
 
Uzi wa kiwaki maana mishahara haifanani sijui unataka kujua nn, Kuna watu hiyo 3m anai save kwa mwezi mmoja
Sawa una gross ya 4m

Statutory deduction? Mikopo? Madeni? Wategemezi? Bata zako?

Point yake iko sawa tu
 
Safi sana mkuu, sema km umeweza kufuata hayo masharti yote uliyoandika basi upo vizuri sana
 
Wow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…